KWA Iyo yule aliekua anapata mil MOJA maisha yako hivyo miaka sita ,punguzeni na mamishara yenu huko,leo mhudum wa bunge,au sectary / mfagiaji wa ofisi kwenye wizara yote mshahara wake ni Kama secretary wa kwenye halmashauri,mfagiaji wa kwenye alimashauri, au wa Ikulu na japo elim wanalingana ,hakuna sifa Hapa nchi hii inaubaguzi Sana hii
Sasa Mungu anasema 2025 Kama uchaguzi utakuepo AMEkATAA hata iweje hamtoboi, asema Bwana , huwezi Tesa watu wa Mungu ambao mmeumbwa sawa tofauti ni madaraka tu ,usilipwe, niliyasema haya KWA Mwendazake, na nayarudia tena serikali ya ccm mnatesa watu, mnakiuka utu ,haki na usawa ,Kama ilivyo Katika miiko yenu, nimemaloza tunzen huzi huu