Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you MENEMENE TEKERI NA PERESI 🙏🙏I always admire and wish to have a sister kama wewe.[emoji1666][emoji173]
Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc Mbonele na yule mzee wa kujifanya wa Mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo, nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.
Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno, utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.
Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana, sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
Mabinti Wa kike Tz washaona wanaume hapa bongo ni warafi Wa papuchi Akiwa na Shape mbatata sura majaaliwa basi anajua ataishi mjini kupitia viungo vyake, Binti kama huyo kumbadilisha akili yake ajishighulishe ni ngumu mno na hata umpe mtaji hawezi jiajiri.
Conclusion wacha wafanye wanalotaka Muumba wa ardhi na Mbingu ndio bingwa wa kujaji binadamu[emoji41]
Matako !!!!! matako mtu analia????? kweli......si unayo yako???shida iko wapi???...labda ungeumia huna gari /nyumba/Elimu....hapo sawa.....lkn eti kabisaaa una lilia ule mtaro ule Mchafuuu!!! wkt na wewe unao??? soon utaokota makopo!Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc Mbonele na yule mzee wa kujifanya wa Mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo, nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.
Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno, utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.
Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana, sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
kwakweli sijui, Ila hisia zangu ni kwamba wanauza....sijui wanauza mbezi na mpalange au inakuaga vipi ila wanauza.Hivi wadada wanaoonyesha na kutingisha makalio yao hawaingiliwagi kinyume na maumbile kweli Evelyn Salt
Ni kwel wanaringishia mahusiano yao, lkn pia wanapiga pesa kupitia hao followers waoIz ze branch ofu APP zat iz uzed tu rimaind yu ifu yu a singo
Kikubwa nilichokiona tiktok ni couples 'zinazoringishia' namna mahusiano yao yanavyoendelea vizuri
Umenikumbusha wale wa Challenges za nyimbo za ki South Africa. Ni hatari aiseeUmenikumbusha ngoja nikamuangalie dada mmoja huko insta hyo ndo kazi yake ila ni mtoto mashallah kweli.
Ni raha kuangalia dada wa wenzako ila usiombe siku umuone dadaako
Sio baadhi ni woteWameshajua ako ndo kaugonjwa ka baadhi ya Me.
Siku zinavyozidi kwenda hivi ndo jinsi navyoiona InstagramUmenikumbusha wale wa Challenges za nyimbo za ki South Africa. Ni hatari aisee