Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

tuseme ukweli tu!!! wanapendeza buana vile vitako vkibinuka hivi vikarudi hivi! weweee! mnato tupu!! ni wabunifu na weye mwenzangu na mie huwezi kuwapata wa hivo kwa nini usiumie roho???

wadada twende kazi......bundle la nani kwanza!!... sikia sasa .ukitaka kuwakomoa na wewe binua kibamia chako! binuuuuuu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna woiiiiiiih.
 
Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc mbonele na yule mzee wa kujifanya wa mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.

Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.

Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
Kwani wao kujibinua makalio inakuaffect?. Acha roho mbaya serikali Ina mambo mengi japo yakipuuzi
 
Mkuu ume download Tiktok kwa kuchelewa sana kulifungua hilo pazia, tayari siku nyingi nadhani ungelikuwa ushatoa neno!

Kuna kawimbo fulani ka amapiano sijui kanaitwa "amajuu"! Mwimbaji kama anapiga chafya!

Ebanaee wadada wanakapenda hako na wanavyocheza sasa, ni matusi matupu!

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mkuu

Amajuu ndio nini hiyo
 
Mkuu sio hadi huko mbona wanabinua makalio hadharani siku hizi....

Vijana wa kisasa wana entertain sana huo upuuzi,,, so wanapewa wanachotaka...

Ni kama zile enzi za mwanya na dimpoz...

Ni trend tu,, Mchunge mwanao
 
Instagram Ina ubaya?. Sema mnawafollow Akina ambaruti ndoshida
Haina ubaya mkuu, sema nimechoka hii mitandao ukisema kila unaokuja ujiunge itakuwa shida, nikaamua niliyonayo inatosha, FB, Twitter, WhatsApp, jf, VK, YouTube
 
Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc mbonele na yule mzee wa kujifanya wa mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.

Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.

Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
Msiwe hampitwi na chochote hapa duniani, muwe na kiasi kwa kila jambo.

Binafsi hiyo mitandao hata siijui maana yake ni nini mbali na kuwa nayo tu katika simu yangu.
 
Sijui mimi ndo mshamba ila kuna mitandao sijawahi hata kujiunga nayo mfano:
1. TikTok
2. Snapchat
3. Instagram ( hii nilijiunga nikakuta ni umalaya tu nikafuta akaunti yangu fasta 2015)

4. Facebook (nilifuta application kwenye simu yangu, naichunguliaga mara chache sana kwa mwezi kupitia laptop tu)

5. WhatsApp (nilifuta kwenye simu yangu ya kila siku, naivizia mara moja moja kwenye simu ambayo situmii. Hata line inayotumika huko siyo yangu ila ndo hivyo)

Kimsingi nimekuwa very much against social media. Kwa sasa nadhani JF ndo natumia sana.
Jiondoe na JF pia
 
Sijui mimi ndo mshamba ila kuna mitandao sijawahi hata kujiunga nayo mfano:
1. TikTok
2. Snapchat
3. Instagram ( hii nilijiunga nikakuta ni umalaya tu nikafuta akaunti yangu fasta 2015)

4. Facebook (nilifuta application kwenye simu yangu, naichunguliaga mara chache sana kwa mwezi kupitia laptop tu)

5. WhatsApp (nilifuta kwenye simu yangu ya kila siku, naivizia mara moja moja kwenye simu ambayo situmii. Hata line inayotumika huko siyo yangu ila ndo hivyo)

Kimsingi nimekuwa very much against social media. Kwa sasa nadhani JF ndo natumia sana.
Duh! Na wee ni noma hadi whatsap, umri wako na kipato chako mkuu ningependa kukijua.
 
Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc mbonele na yule mzee wa kujifanya wa mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.

Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.

Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
Acha USHAMBA kwani nani kakuzuia na Wewe KUCHEZESHA?
 
Kwa style hii hatujengi...aisee huyu hatari jamani alafu wanawake wapuuzi wanasema eti nyama ile ile...weee huyo akikukatikia hivyo lazima uuze nyumba ya urithi
jenga mzee pisi kali haipoi ghetto
 
Duh! Na wee ni noma hadi whatsap, umri wako na kipato chako mkuu ningependa kukijua.

Natatimiza miaka 40 hivi karibuni na kipato changu ni kama 4-5m kwa wastani kila mwezi. Iko shida kwani mkuu?
 
Wanachezesha makalio kama makerubi ili wapate pesa.
Hawa watumishi feki wanasababisha maneno ya kwny vitabu vitakatifu yaonekn hayana maana kabisa sasa kerubi kwenye Biblia na kuchezesha makalio wapi na Wapi jameni?
 
Back
Top Bottom