Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

safi sana lazima wanywe sumu mwaka huu asante sana mleta picha!! .....na hapo lazima ni hela n
Dj Dj shikilia hapo hapo kwanza.....
View attachment 2169593

mzabzab kuna kujenga hapa?😂😂😂
deeefu hutaki wenzako wanafaidi
Hawa watumishi feki wanasababisha maneno ya kwny vitabu vitakatifu yaonekn hayana maana kabisa sasa kerubi kwenye Biblia na kuchezesha makalio wapi na Wapi jameni?
Wewe kama wewe!! wasamehe hawajui walitendalo! ..........tena kerubi ndo wale walioko ktk kiti cha Enzi km hajui!! ...labda aombe msamaha yaishe! vinginevyo ataungua moto live!
 
Mtu anashindwa kuulinda uchi wake binafsi eti serikali imsaidie iv kumbe ndo maana hii nchi haiendelei mtu Kama wewe ukipewa uongozi siutadeal na ujinga tu?
 
makalio yana kazi mbili tu:
1.kukalia
2.kuficha ile sehemu

sasa wengine makalio makubwa yenye kuficha fungus, harufu kali na mabaki ya mavi wanayatingisha tingisha bila aibu.
 
Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc Mbonele na yule mzee wa kujifanya wa Mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo, nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.

Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno, utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.

Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana, sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
Hayo ni matangazo ya biashara kama biashara nyingine.Jiongeze.
 
kutingisha makalio wakati salio benki haliongezeki. ni matumiz mabaya ya viungo
 
makalio yana kazi mbili tu:
1.kukalia
2.kuficha ile sehemu

sasa wengine makalio makubwa yenye kuficha fungus, harufu kali na mabaki ya mavi wanayatingisha tingisha bila aibu.
Hizo kazi ni zile zilitarajiwa wakati wa UUMBAJI ila baadae KIUTENDAJI zimekuja kuonekana zingine zenye nguvu zaidi:-
1. Kivutio au ULIMBO wa kunasia WANAUME.
2. Kuleta MVUTO kwa mwanaume aendelee kwenye TENDO baada ya MSHINDO wa kwanza.
 
makalio yana kazi mbili tu:
1.kukalia
2.kuficha ile sehemu

sasa wengine makalio makubwa yenye kuficha fungus, harufu kali na mabaki ya mavi wanayatingisha tingisha bila aibu.
Hayo makalio nadhani yana kazi ya ziada zaidi ya uliyosema.

Nasema hivyo kwa sababu, kazi yake ingelikuwa ni kukalia na kuficha taka taka, basi yangelifanana na ya wanaume, wote yakawa madogo kama konzi.

Lakini kuwa makubwa na malaini na mwanaume ukikutana na wa hivyo, bila kupenda lazima ugeuke, tena bila kutaka unayemuangalia akuone kama unamuangalia!

Lazima hapo kuna jambo la ziada ya sababu ulizozielezea wewe.
 
Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc Mbonele na yule mzee wa kujifanya wa Mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo, nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.

Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno, utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.

Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana, sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
mnafuata nini uko tik tok ?
kumbuka methali inasema maji ukiyavulia nguo kifuatacho .......
 
Back
Top Bottom