Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

Tiktok Snapchat

Hapana aisee he'll nope [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 

kukosa ajira haisababishi ufanyeumalaya. dubai kuna malaya wengi sana na wengi wao wana ajira marekani kuna malaya wengi na kunaajiri za kumwaga. umalaya uni ukosefu wa mafundisho ya dini kwa waislamu mzazi atampeleka mwanae madrasa ya kupiga dufu mtoto akitoka hapo ni mwimbaji wa bongo fleva au kama ni msichana ndio hao wanao fuatisha nyimbo katika tik tok
 

hongera umesema la maana
 
Matako !!!!! matako mtu analia????? kweli......si unayo yako???shida iko wapi???...labda ungeumia huna gari /nyumba/Elimu....hapo sawa.....lkn eti kabisaaa una lilia ule mtaro ule Mchafuuu!!! wkt na wewe unao??? soon utaokota makopo!

Na Weye bana una tatizo la Msingi!! ...hivi humu Duniani kuna mtu hana Makalio??? tena waweza kuta weye yako ni makubwa zaidi ya hao! hao!!...sasa kwa nini utamani cha jirani yako wkt na wewe unayo ya kwako??..sasa nakupa Dawa hii buuureeeee.....

weka vioo viwili uyaangalie ufaidi usiku weeee!! uyache zeee tani yako usilale! .......yaani hata ukitaka kuweka vidole weka ........wewe tu!! kwani nani anakuona bana??? utapo kinai .... hutakuja kulia lia tena hapa kuhusu matako!!
 
Umenikumbusha ngoja nikamuangalie dada mmoja huko insta hyo ndo kazi yake ila ni mtoto mashallah kweli.
Ni raha kuangalia dada wa wenzako ila usiombe siku umuone dadaako
 
Iz ze branch ofu APP zat iz uzed tu rimaind yu ifu yu a singo

Kikubwa nilichokiona tiktok ni couples 'zinazoringishia' namna mahusiano yao yanavyoendelea vizuri
Ni kwel wanaringishia mahusiano yao, lkn pia wanapiga pesa kupitia hao followers wao
 
Umenikumbusha ngoja nikamuangalie dada mmoja huko insta hyo ndo kazi yake ila ni mtoto mashallah kweli.
Ni raha kuangalia dada wa wenzako ila usiombe siku umuone dadaako
Umenikumbusha wale wa Challenges za nyimbo za ki South Africa. Ni hatari aisee
 
wanapromote bidhaa nyingine ambayo wengi hamuitumii, wanajaribu kufanya marketing ili wateja wawe wengi..... ukiona dada anatabia yakuchezesha mitako ujue chakula hiyo aka anapiga miguu yooote...na mafuta anayo.... kazi kwako..
 
Cha kushangaza wale Walioko Chuo ndio mahodari sana katika kuyachezesha makalio labda ndio wanachosomea na kupata Shahada mbalimbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…