Ongezeko la Wadada Wanaonuka Mdomo. Hili ni Janga

Ongezeko la Wadada Wanaonuka Mdomo. Hili ni Janga

Oyaaa umenikumbusha mbaliii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa na demu wangu pisi kali kabisa full kunukia.....ila akifungua mdomo ayayayayayaaaaaa[emoji95][emoji95][emoji95]
 
Mi nimeacha kula vitunguu kwa sasa. Ukitaka kuamini kitunguu ni hatari ukiwa unakatakata harufu yake haitoki mikononi kwa muda mrefu hata ukikosha mikono.

Ukitaka kuamini hilo jaribu kunusa mikono ya mtu anayepika mara kwa mara utaipata hii harufu sasa wengine ndio wanapenda kula vibichi.
 
Dah sema hao masista du wanaona aibu kwenda chooni Mara kwa mara. Enyi wadada pendeni kwenda chooni kunya..jitahidi unye hata mara tano kwa siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787] harufu nyingine zinatokea tumboni.
 
Tatizo hawali mkuu ile ni harufu ya njaa ...hawa watu ni wazee wa pasi ndefu ndio maana wengi wao wanakua mtego wao ni dinner au lunch
 
Katika wanawake 10 ,unaokutana nao 8 wanafanya mapenzi kwa kunyonya mboo na jinsi wanaume wengi walivyo wachafu wadada wanapata mifangasi inasambaa kinywani-kwa hali hiyo kwa nini wasinuke kinywa?

Wadada punguzeni kunyonya mboo za Wanaume.
 
Acha tu aisee inaboaga hivi watu wote kwa.ujumla mnajisikiaje hampigi mswaki mnanuka hadi mnaboa
 
Nimevumilia kwa muda mrefu sana kulisema hili kuhusu ongezeko la wadada wanaonuka mdomo, I'm not sexist, i get grossed out by anyone with bad breath.

Lazima niwaambie ongezeko ni kubwa, kama humu wamo pia waanze usafi mara moja. Sifa ya mdada ni kuwa msafi, kuanzia kinywa, mwili na kila upande. Mdada unashindwa vipi usafi na mwanaume? Binafsi Iam a person with high level of hygiene, understand it as you wish.

Nakutana na watu tofauti wengi, basi bwana kuna siku tulikua na meeting sehemu flani. Mambo ya seminar haya, kuna mdada mmoja pisi ya kwenda kabisa, alikuwa speaker alitema madini mno kwenye ile semina. Baada ya kuisha, nikamfuata tuzungumze kidogo.

Ile kufungua mdomo tu, nikasikia harufu kali sana. Alafu anaongea faster faster. Nilikuwa natamani kuzimia hata muda wa chakula kilinishinda, i can almost smell it right now as I type this, still makes me want to throw up.

Hii ni aibu kubwa she's really beautiful, but that breath of her should be classified as a lethal weapon. Au itumike mbadala wa rungu na Hit, wadada bila kuwasema vikali hamtakua wasafi. I'm not sure it they are unaware how bad they smell.

Simaanishi muwe wasafi kama cute wife(I'm lucky that we have a great understanding match)

Lakini mjitahidi hata kidogo basi, you may strive for perfection but hygiene is a habit you have to acquire
Mimi dosari kubwa kabisa ambayo naweza kuiona kwa mwanamke ni kunuka mdomo. Tena nikishakugundua una harufu ya mdomo ujue uchumba wetu ndiyo unaenda kufa kifo cha mende very soon!
 
Tataizo hili wanalo watu wengi na linakera. Ubaya ni kwamba mtu huwezi kujijua kama unatoa harufu mdomoni. Mara nyingi hii hutokea kutokana na kutokula chochote kwa muda mrefu. Pia aina ya vyakula unavyokula inachangia. Ukikutana na mtu aliyekula kachumbali yenye vitunguu au vyakula vya spices halafu akakaa muda mrefu bila kula ni hatari. Kuondoa tatizo inatakiwa mtu anywe maji kwa wingi na pia usikae muda mrefu bila kula chochote. Kama uko kwenye ratiba ya kutokula basi ni vizuri ukatembea na mouth wash na ukawa unasukutua mara kwa mara.
Exactly, usafi wa kinywa ni Muhimu..
 
Watu wengi wanaonuka modomo sio kwamba hawapigi mswaki, la hasha. Wanapiga vzuri tu, shida ni hawajui kusafisha ulimi. Hata upige mswaki na jiwe, kama hujasafisha ulimi vizuri lazma mdomo utatema tu.
 
Nimevumilia kwa muda mrefu sana kulisema hili kuhusu ongezeko la wadada wanaonuka mdomo, I'm not sexist, i get grossed out by anyone with bad breath.

Lazima niwaambie ongezeko ni kubwa, kama humu wamo pia waanze usafi mara moja. Sifa ya mdada ni kuwa msafi, kuanzia kinywa, mwili na kila upande. Mdada unashindwa vipi usafi na mwanaume? Binafsi Iam a person with high level of hygiene, understand it as you wish.

Nakutana na watu tofauti wengi, basi bwana kuna siku tulikua na meeting sehemu flani. Mambo ya seminar haya, kuna mdada mmoja pisi ya kwenda kabisa, alikuwa speaker alitema madini mno kwenye ile semina. Baada ya kuisha, nikamfuata tuzungumze kidogo.

Ile kufungua mdomo tu, nikasikia harufu kali sana. Alafu anaongea faster faster. Nilikuwa natamani kuzimia hata muda wa chakula kilinishinda, i can almost smell it right now as I type this, still makes me want to throw up.

Hii ni aibu kubwa she's really beautiful, but that breath of her should be classified as a lethal weapon. Au itumike mbadala wa rungu na Hit, wadada bila kuwasema vikali hamtakua wasafi. I'm not sure it they are unaware how bad they smell.

Simaanishi muwe wasafi kama cute wife(I'm lucky that we have a great understanding match)

Lakini mjitahidi hata kidogo basi, you may strive for perfection but hygiene is a habit you have to acquire
NI AINA TU UNAYOKUTANA NAO NA INAWEZEKANA NI TYPE YAKO, MM BINAFSI SIJAWAHI KUKUTANA NA DEMU ANANUKA MDOMO.POLE SANA BADILI VIWANJA UTAKUTANA NA HATA MBUSU HAINA SMELL
 
Back
Top Bottom