Lee Swagger
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 1,063
- 1,815
- Thread starter
- #81
Hyo NomaWenyewe wanaita personality
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo NomaWenyewe wanaita personality
Kweli kabisa ukitaka kumjua wa hivi anachukia kutongozwa na ana jihami sana!! Dr Bingwa wa kina mama dR Manyonyi wa Temeke! alisema kuwa Zamani ilikuwa kwa kina mama wenye umri mkubwa tu..Jamani inabidi Twende Nao pole pole mwayaa, Watu wanapitia Mengi.
Kweli Vipotabo, ndio Mpango mzima hata Mimi najitahid Kupendelea Vimodo.Kweli kabisa ukitaka kumjua wa hivi anachukia kutongozwa na ana jihami sana!! Dr Bingwa wa kina mama dR Manyonyi wa Temeke! alisema kuwa Zamani ilikuwa kwa kina mama wenye umri mkubwa tu..
Lkn siku hizi hata Mabinti wa miaka ishirini wan tatizo hilo! ni vyema mtu ukitaka kuoa uoe kiportable! tumbo flat! tipwa tipwa litakupa shida sana!
Ukweli ambao hausemwi madem wanakula kishenzi[emoji23][emoji23][emoji23]
🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭Ni heka heka,, nashukuru Mungu Sina ndambi, pamoja na nzao zangu kadhaa,,
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏Asante
Umesema vizuri![emoji1][emoji1]
Hebu tuone baby!!!! km kweli!Ni heka heka,, nashukuru Mungu Sina ndambi, pamoja na nzao zangu kadhaa,,
Hiyo yote ili uamini😅😅😅😅Hebu tuone baby!!!! km kweli!
Naunga Mkono HojaHebu tuone baby!!!! km kweli!
Tuonyeshe wengine wahamasike. Unaweza kukata Sura na Miguu.Hiyo yote ili uamini😅😅😅😅
Hapana bado hujanishawishi,Tuonyeshe wengine wahamasike. Unaweza kukata Sura na Miguu.
Aya Endelea Kulitafakari hata..Hapana bado hujanishawishi,
Vidonge vilishapigwa marufukuChanzo kikuu ni Matumizi ya Dawa za Uzazi wa Mpango hasa Vidonge vya Uzazi wa Mpango. Wizara ya Afya wasaidieni dada zetu hali ni mbaya, fanyeni utafiti wa dawa mnazowapa kwa sasa huenda zinakinzana na homoni za Watu weusi/Afrika. Je hizo dawa ndizo zinatumika Somalia, Ethiopia nk