Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Serikali ingekuwa ishawachukulia hatua kama Wana madhara maana wapo wanafanya mambo sijaona shida yeyote.

serikali si watu kama ww!!

Akili hizo hizo hoe hae ulizonazo ungekua umezaliwa koo za wanasiasa wangekua washakupenyaza na kiongozi!!

acha udumavu wa akili
 

huyo wakala wa wasomali yupo kupotosha humu
 
Juzi kuna uzi humu ulisema jamii ya kizaramo inatoweka, nikatolea mfano ujio wa kasi wa wasomali, wachina, waarabu na wahindi kuwa ni hatari kwa ustawi wa watu weusi huko mbele ya safari, nilishambuliwa sana
Wazaramo ndio Waluguru waliozamia Dar
 

We zuzu rudi shule elimu dunia huna kichwan ??

unavoongelea uislam ni kama kabila au jamii ya watu.
Uislam n iman mtu anaamua kufuata haina uhusiano na asili ya watu ebu elimika ndio maana kuna wazungu waislam, waarabu wakristo , wairan wakristo na waturuki wa islam


Uislam si kabila au race!!

kichwa maji ww
 

nenda kwao unang’ang’ania kuwaleta hapa una ardhi hapa tanzania
 
Kama wasomali wenyewe kwa wenyewe lugha, dini, taifa moja wanashindwa kuishi kwa amani
Itawezekana vipi waweze kuishi na jamii nyingine kwa amani
Ile barabara ya Arusha namanga nani asiyejua visanga vya wale wasomali wahuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili nalo neno.

Tayari wameshajipenyeza kila mahali.Makamu Mwenyekiti CCM ni msomali.Waziri wa Kilimo msomali,Rais wa TFF msomali huko Yanga ndio usiseme lazima hii jamii iliyojaa laana idhibitiwe mapema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii
 
Ongezeko linatokana na nchi yao kupoteza utulivu. Sio sawa na jamii za Kihindi au Kichina walio hapa kwa ajili ya fursa za kichumi.

Nadhani hao ndiyo wa kuhofiwa kuliko Wasomali wanaohangaika kusaka pumziko la a Amani. Wanapigania tu roho zao dhidi ya machafuko.

Ova
 

Wahindi na wachina wana kwao ni kama wazungu huwa tu kimasilahi na mwisho wa siku huondoka.
Ila usitegemee msomali au muarabu kurudi kwao never
 
Ndo maana nchi zisizocheka na kima kama china wamevunja misikiti na kufanya ofisi za serikali .maana waislamu wanawaza dini kila mahali wakati uislamu sio kabila kama uchaga .muislamu wa dubai hahusiani lolote na muislamu wa ukraine ndo maana unaona hawakupeleka hata misaada .wanapeleka palestine sababu waarabu wenzao sio uislamu
 

[mention]Kosugi [/mention] hajaona hii post atakuja hapa mbio
 
wewe na mohamed said ndio wadhamin wa makundi haram ya kigaid ya kisomali Tz,siku zenu zinahesabika.
 
wewe na mohamed said ndio wadhamin wa makundi haram ya kigaid ya kisomali Tz,siku zenu zinahesabika.
Duh, tungekuwa mabilionea, maana kama unaijuwa Kariakoo, sasa hivi restaurant nyingi sana za Wasomali, na majengo mengi makubwa makubwa ya Wasomali.
Hao watu huwawezi wewe, wamejaaliwa ujasiri. Neno "warrior" la Kingereza limetokana nao hao, katazame maana yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…