Tuo Tuo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 678
- 1,202
Hivi unajua wasomali wengi Tz hujihusisha na smuggling businesses?
Km umekaa Temeke kuna wasomali wengi walibaraswa kwa smuggling.
hawa ndio mambo yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua wasomali wengi Tz hujihusisha na smuggling businesses?
Km umekaa Temeke kuna wasomali wengi walibaraswa kwa smuggling.
Serikali ingekuwa ishawachukulia hatua kama Wana madhara maana wapo wanafanya mambo sijaona shida yeyote.
Kwenye historia mm mwepesi.ila nimezama google nkakutana na hii.wabantu walikuja east africa mika 2000 hadi 500 bc yaan kabla hata yesu hajazaliwa .kisha waarabu walikuja miaka 7000 badae .zanzibar na tanzania waazi wake wa kwanza ni wa bantu.wacush wakiwemo wstusi na wasomali ardhi yao duniani ni north africa ndo kwao
Wazaramo ndio Waluguru waliozamia DarJuzi kuna uzi humu ulisema jamii ya kizaramo inatoweka, nikatolea mfano ujio wa kasi wa wasomali, wachina, waarabu na wahindi kuwa ni hatari kwa ustawi wa watu weusi huko mbele ya safari, nilishambuliwa sana
Huyo jamaa mbona anaongea utumbo??
Hajui kama katika invention waislam wanahusika .
Hajui kama hiyo hisabati na fisikia aliyosoma kuna mchango wa waislam.
Hajui kama kuna vifaa tiba viligunduliwa na waislam wakiajemi wa kiiran na kiturkmeni wazungu ndio wakafanya modification.
Hajui kama kuna kemikali za viwanda na maabara zipo zilizogunduliwa na waislam wa kiiran na kiturkmeni.
Hiyo serikali kuzipa taasisi za kikristo ruzuku ni sahihi ihojiwe maana hizo ruzuku zote hazinufaishi raia zinanufaisha watu binafsi wa hizo taasisi za kikristo huku taasisi za kiislam kama Islamic foundation na Alhikma foundation ndio wanaongoza kutoa misaada ya kijamii na wao hawapewi hata shindala ya ruzuku.
Anitajie taasisi ya kikrsto yenye msaada wa kijamii.
Pia hajui kama Tanzania hii zipo hospitali na vituo vya afya vilivyojengwa na vinamilikiwa na waislam.
Anaonekana mtoto kitaarifa.
Akili za, kijinga Sana, hizi, Amani IPI hiyo, hao, wasomali wataharibu?
Ujambazi wote unaofanywa na polisi CCM, hauoni?mtwara, waliua kijana kwa sindano ya sumu, Arusha, walimbambikia MTU kesi ya, kuhujumu uchumi, wakapora 70M, kuna wemgine walipora milioni 90,dar mchana kweupe! Hatuhitaji wasomali kuharibu Amani, Amani inaharibiwa na CCM na majambazi, wao,
Wa bongo wa Bantu, acheni wivu,msomali anakuja bongo bila kitu, ana hustle, anaanzisha biashara, hotel, nk,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]UKIONA MSOMALI ANAKUITA GAWESHI UJUE ANAKUTUKANA KUA UNAPUA NENE YA KIBANTU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wasomali wenyewe kwa wenyewe lugha, dini, taifa moja wanashindwa kuishi kwa amani
Itawezekana vipi waweze kuishi na jamii nyingine kwa amani
Ile barabara ya Arusha namanga nani asiyejua visanga vya wale wasomali wahuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiHili nalo neno.
Tayari wameshajipenyeza kila mahali.Makamu Mwenyekiti CCM ni msomali.Waziri wa Kilimo msomali,Rais wa TFF msomali huko Yanga ndio usiseme lazima hii jamii iliyojaa laana idhibitiwe mapema.
Msikilize vizuri.we mmama chizi kwei sasa hii inahusianaje na maada
Wazee wengine hovyo
Ongezeko linatokana na nchi yao kupoteza utulivu. Sio sawa na jamii za Kihindi au Kichina walio hapa kwa ajili ya fursa za kichumi.Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.
Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.
Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late
UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE
Somali bantu Vs somali
Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.
Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu
Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.
Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.
Pia waweza soma
![]()
Somali Bantu Refugees - EthnoMed
Resource providing information about Somali Bantu refugees including history and culture, traditional medicine and specific health concerns.ethnomed.org
Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.
pia waweza soma
![]()
Genocide in Somalia’s Jubba Valley and Somali Bantu Refugees in the U.S.
How do genocides end from the point of view of those most harmed? Often genocides only end when those targeted flee to a safe place. The best way to end...items.ssrc.org
Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.
Uzi huu haufai kumuudhi yeyote waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.View attachment 2871040
Ongezeko linatokana na nchi yao kupoteza utulivu. Sio sawa na jamii za Kihindi au Kichina walio hapa kwa ajili ya fursa za kichumi.
Nadhani hao ndiyo wa kuhofiwa kuliko Wasomali wanaohangaika kusaka pumziko la a Amani. Wanapigania tu roho zao dhidi ya machafuko.
Ova
Ndo maana nchi zisizocheka na kima kama china wamevunja misikiti na kufanya ofisi za serikali .maana waislamu wanawaza dini kila mahali wakati uislamu sio kabila kama uchaga .muislamu wa dubai hahusiani lolote na muislamu wa ukraine ndo maana unaona hawakupeleka hata misaada .wanapeleka palestine sababu waarabu wenzao sio uislamuWe zuzu rudi shule elimu dunia huna kichwan ??
unavoongelea uislam ni kama kabila au jamii ya watu.
Uislam n iman mtu anaamua kufuata haina uhusiano na asili ya watu ebu elimika ndio maana kuna wazungu waislam, waarabu wakristo , wairan wakristo na waturuki wa islam
Uislam si kabila au race!!
kichwa maji ww
Ndo maana nchi zisizocheka na kima kama china wamevunja misikiti na kufanya ofisi za serikali .maana waislamu wanawaza dini kila mahali wakati uislamu sio kabila kama uchaga .muislamu wa dubai hahusiani lolote na muislamu wa ukraine ndo maana unaona hawakupeleka hata misaada .wanapeleka palestine sababu waarabu wenzao sio uislamu
wewe ni mjinga na hiyo bagharashia yako.Huna jipya,, unawachukia tu Kwasababu ni waislam
wewe na mohamed said ndio wadhamin wa makundi haram ya kigaid ya kisomali Tz,siku zenu zinahesabika.Huijuwi Tanzania. Waulize Arusha na Moshi, yote ile zamani ilijaa Wasomali na Wahabashi.
Kitu ambacho hukielewi kijana ni historia yako ya ukweli.
Pwani ya Afrika Mashariki, Wasomali ni kwao, wabantu mlikuja tu kutikea nagharibi.
Msijifanye mazayuni sasa kuwa imeshakuwa yenu peke'enu hii nchi.
Unapoisikia "mbarawa" elewa kuwa ndiyo wenye asili yao. Wasomali hao.
Nenda kawaulize wazigua wakueleze.
Duh, tungekuwa mabilionea, maana kama unaijuwa Kariakoo, sasa hivi restaurant nyingi sana za Wasomali, na majengo mengi makubwa makubwa ya Wasomali.wewe na mohamed said ndio wadhamin wa makundi haram ya kigaid ya kisomali Tz,siku zenu zinahesabika.
Kwahyo umeamua unitusi tu without any reasonwewe ni mjinga na hiyo bagharashia yako.
Kama hukuelewa maudhui pole yako.una elimu ya udini[emoji23][emoji23][emoji23]elimu gan unawaza tu huyu dini gan huyu dini ipi??[emoji23][emoji23]elimu ya kobasi siyo