Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
🥺🥺🥺🥺 i came from....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nkasema shida na hali ngumu hao watoto wanatoka familia duni ndio maana wanafanya kazi wakiwa na baraka za wazazi au mzaziAsiwe wako lakini
Acha kutetea upumbavu wewe.Serikali tunailaumu Kwa kusababisha maisha magumu Kwa wazazi. Hakuna mzazi anaependa mtoto wake ateseke, asisome, awe chokoraa nk.
Lakini baadhi ya wazazi wanapitia changamoto wasizoweza kuzitatua mpaka wanaamua kukimbia familia.
Elimu na njaa haviishi nyumba moja!!Lakini Elimu pekee ingeweza kuwasaidia
Hata hapa JF, mtu akiomba msaada atanangwa had ajuteeHali ni ngumu alaf hao wanaozurula mtaani hata wakikufateni muwape msaada mnawakataa alafu huku mnawaonea huruma
Hii yote inatokana na watu kuzaa zaa hovyo kama mapanya ilhali hawana uwezo wa kuwahudumia hao watoto.Ndo maana Tanzani ina wananchi wa aina ya ajabu.
Watoto wengi sana wanaacha shule wako mitaani. Kuanzia garage za magari, mama lishe, boda boda, machinga.
Panya road, na wahalifu. Wengi sana Tanzania na ni watoto kabisa.
Amelipa kodiKabla ya serikali kufanya jambo
mkuu umefanya Nini binafsi kusaidia watoto wa mitaani??
Watoto hawatakiwi kuuza mifuko, wanatakiwa kuwa shule.Kwani Kuna shida watu kuuza mifuko sasa si bora hao kuliko wale wapuuzi wanaowaza waende kuiba wapi
Mkuu, tunalia machozi ya mamba. Wakati mwingine tunashindwa kuwasaidia Kwa sababu na sisi tumebanwa kwenye angle Fulani Kwa kuwa na vipaumbele vya familia zetu.Hali ni ngumu alaf hao wanaozurula mtaani hata wakikufateni muwape msaada mnawakataa alafu huku mnawaonea huruma
Kuzaa ni mifumo ambayo Mungu alimwekea mwanadamu wakati wa uumbaji. Mwingine ana hustle anafika mpaka miaka arobaini hajatoboa, Sasa wataka asizae ili jamii imnyooshee vidole kwamba hajatimia kimaumbile?Hii yote inatokana na watu kuzaa zaa hovyo kama mapanya ilhali hawana uwezo wa kuwahudumia hao watoto.
Nachukia sana mtu anayeleta kiumbe duniani halafu kulea hawezi.
Ingekuwa kuzaa ni mpaka uwe na uwezo wa kuhudumia, Hakuna mtu angezaliwa maskini.
Wacha wajifunze katika hali hiyo, experience is a good teacher,mwisho wa siku akina Konde gang walipita humo na akina Frank knows na wengine wengi,plaese when it comes to human being tuache mengi, humo humo unaowasema kuna mtu atakuwa milionea na hakuna kumzuia na wengine wataaminiwa na kufungua matawi ya biasharaKama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.
Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.
Waziri mwenye dhamana Dkt. Gwajima D tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.
Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.
Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.
Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
Shida ni nyingi ukiwapa kazi za nguvu wanaharibu sana.Hali ni ngumu alaf hao wanaozurula mtaani hata wakikufateni muwape msaada mnawakataa alafu huku mnawaonea huruma
Mkuu, tunalia machozi ya mamba. Wakati mwingine tunashindwa kuwasaidia Kwa sababu na sisi tumebanwa kwenye angle Fulani Kwa kuwa na vipaumbele vya familia zetu.
Basi wakuu ambao mambo yenu ni mteremko mguswe kuwasaidia Hawa watoto, kuanzia wale walio jirani kabisa na ninyi..
Kama huna uwezo wa kulea na kuhudumia mtoto, Unazaa ukitegemea nani aje akusaidie majukumu?Kuzaa ni mifumo ambayo Mungu alimwekea mwanadamu wakati wa uumbaji. Mwingine ana hustle anafika mpaka miaka arobaini hajatoboa, Sasa wataka asizae ili jamii imnyooshee vidole kwamba hajatimia kimaumbile?
Kwa majibu haya,watoto wa mitaani hawataishaAmelipa kodi
Kwanini nisiwe na uwezo wa kuzaa na kulea watoto iwapo Kuna mifumo wezeshi?Kama huna uwezo wa kulea na kuhudumia mtoto, Unazaa ukitegemea nani aje akusaidie majukumu?
Watu wa namna hii ndio mnaongeza idadi ya maskini duniani na watoto wa mitaani.
Haya ni mawazo ya hovyo, zaa kulingana na uwezo wako wa kuhudumia na kuhakikisha watoto watapata huduma zote muhimu na bora.Kuzaa ni mifumo ambayo Mungu alimwekea mwanadamu wakati wa uumbaji. Mwingine ana hustle anafika mpaka miaka arobaini hajatoboa, Sasa wataka asizae ili jamii imnyooshee vidole kwamba hajatimia kimaumbile?
Hao wanachukuliwa mikoani mkuu kwa promise kedekede za uongo, it's more of education issue kuliko njaa.Kinachofanya familia zao ziwaeuhusu watumikishwe, na kinachofanya wao wakubali kutumika ni hicho alichoandika mkuu hapo juu, yaani kukosekana kwa uhakika wa chakula.
Kwa hiyo kama hakuna mifumo wezeshi utazaa halafu utegemee hao watoto walelewe na nani?Kwanini nisiwe na uwezo wa kuzaa na kulea watoto iwapo Kuna mifumo wezeshi?
Nakuuliza hivi, 👇Kukosekana na Kwa mifumo hii ndo kunakosababisha ongezeko la maskini na watoto wa mitaani.
Kila mtu ana haki ya kupata japo furaha kidogo ya kuwa na mtoto hata kama maeneo mwingine meengi atakosa furaha.
Mkuu kama una uwezo wa kutoa hakikisha unafaidisha wanaohitaji, nenda kitu cha yatima angalia kitu gani hawana, madaftari, uniform wasaidie, hawa wa mjini ni matapeli 99%Ukisema uache kutoa napo unapata nabhuruma