Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hello!!
Anaandika Wadiz a.k.a Baharia
Moja ya sifa na upekee wa binadamu ni utashi wa kusalimiana na kuitikia salamu.
Kumekuwapo ongezeko kubwa la ujeuri, dharau, kibri, vijana wa kiume, wa kike, baadhi yao wakubwa tu hawatoi salamu au kuitikia salamu iwe mnapishana njiani, akukute sehemu labda bar, dukani, kwenye bus, kwenye daladala.etc. Angalizo simaanishi kusalimia hovyo hovyo.
Dadadadeki kuna mfano videmu ukimsalimia haitikii salamu na hata hana tabia ya kusalimia, hakika salamu yangu isipoitikiwa natema mate na nihakikisha huyo mtu aone nikitema mate.
Ingalikuwa watu wanatilia maanani umuhimu wa salamu kama sehemu mojawapo kuu ya utashi wetu sisi binadamu maisha yangalikuwa yenye ubuheri sana.
Mungu wenu wa kanisani na misikitini ni yupi?, malezi na makuzi bora ya jamii ni yanapotea.🙄🙄
Je, tunaenda wapi kama jamii?
Wadiz.
Anaandika Wadiz a.k.a Baharia
Moja ya sifa na upekee wa binadamu ni utashi wa kusalimiana na kuitikia salamu.
Kumekuwapo ongezeko kubwa la ujeuri, dharau, kibri, vijana wa kiume, wa kike, baadhi yao wakubwa tu hawatoi salamu au kuitikia salamu iwe mnapishana njiani, akukute sehemu labda bar, dukani, kwenye bus, kwenye daladala.etc. Angalizo simaanishi kusalimia hovyo hovyo.
Dadadadeki kuna mfano videmu ukimsalimia haitikii salamu na hata hana tabia ya kusalimia, hakika salamu yangu isipoitikiwa natema mate na nihakikisha huyo mtu aone nikitema mate.
Ingalikuwa watu wanatilia maanani umuhimu wa salamu kama sehemu mojawapo kuu ya utashi wetu sisi binadamu maisha yangalikuwa yenye ubuheri sana.
Mungu wenu wa kanisani na misikitini ni yupi?, malezi na makuzi bora ya jamii ni yanapotea.🙄🙄
Je, tunaenda wapi kama jamii?
Wadiz.