Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
🙂👋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi uzi nimeupenda huu.Mimi huwa napenda sana kusalimia na huwa sijisikii vizuri kuwapita watu/mtu bila kumsalimia,lkn kuna watu wanakera sana unawasalimia lkn wao hawajibu salamu au wanakupita tu km kisiki.Tabia mbaya sana hiyo.Hello!!
Anaandika Wadiz a.k.a Baharia
Moja ya sifa na upekee wa binadamu ni utashi wa kusalimiana na kuitikia salamu.
Kumekuwapo ongezeko kubwa la ujeuri, dharau, kibri, vijana wa kiume, wa kike, baadhi yao wakubwa tu hawatoi salamu au kuitikia salamu iwe mnapishana njiani, akukute sehemu labda bar, dukani, kwenye bus, kwenye daladala.etc. Angalizo simaanishi kusalimia hovyo hovyo.
Dadadadeki kuna mfano videmu ukimsalimia haitikii salamu na hata hana tabia ya kusalimia, hakika salamu yangu isipoitikiwa natema mate na nihakikisha huyo mtu aone nikitema mate.
Ingalikuwa watu wanatilia maanani umuhimu wa salamu kama sehemu mojawapo kuu ya utashi wetu sisi binadamu maisha yangalikuwa yenye ubuheri sana.
Mungu wenu wa kanisani na misikitini ni yupi?, malezi na makuzi bora ya jamii ni yanapotea.[emoji849][emoji849]
Je, tunaenda wapi kama jamii?
Wadiz.
🤣🤣🤣hakika salamu yangu isipoitikiwa natema mate na nihakikisha huyo mtu aone nikitema mate
Tatizo unataka kuishi maisha ya kijijini kwenu mjini. Mjini wanasalimiana watu wanaofahamiana tu.Hello!!
Anaandika Wadiz a.k.a Baharia
Moja ya sifa na upekee wa binadamu ni utashi wa kusalimiana na kuitikia salamu.
Kumekuwapo ongezeko kubwa la ujeuri, dharau, kibri, vijana wa kiume, wa kike, baadhi yao wakubwa tu hawatoi salamu au kuitikia salamu iwe mnapishana njiani, akukute sehemu labda bar, dukani, kwenye bus, kwenye daladala.etc. Angalizo simaanishi kusalimia hovyo hovyo.
Dadadadeki kuna mfano videmu ukimsalimia haitikii salamu na hata hana tabia ya kusalimia, hakika salamu yangu isipoitikiwa natema mate na nihakikisha huyo mtu aone nikitema mate.
Ingalikuwa watu wanatilia maanani umuhimu wa salamu kama sehemu mojawapo kuu ya utashi wetu sisi binadamu maisha yangalikuwa yenye ubuheri sana.
Mungu wenu wa kanisani na misikitini ni yupi?, malezi na makuzi bora ya jamii ni yanapotea.[emoji849][emoji849]
Je, tunaenda wapi kama jamii?
Wadiz.
Hiyo ni ofisi au kijiwe mnakaa nje kupiga hadithiKuna jamaa aliagizwa kuja ofisini kwangu sababu ya tatizo alilokuwa nalo ambalo ningeweza kumsaidia.
Jamaa alipofika eneo la ofisi alikuta watu kadhaa nikiwemo na mimi. Alipita bila kusalimia yeyote na kwenda sehemu ilipokuwa amekaa dada wa reception.
Alipofika akaulizia jina langu ndio dada kumjibu mbona umempita hapo nje.
Kimbembe ikawa kuja tena hapo nje na kuniulizia tena ikizingatiwa hakuwa ametoa salamu na alipita katikati yetu maana ilikuwa kama tumekaa kwa mistari 2 na kuacha uwazi katikati.
Mshkaji alirudi nje kinyonge sana na kuuliza mwenye jina langu ni nani hapo. Watu wote wakauchuna kama hawamsikii na hii ilichangiwa na kutosalimia hata aliporudi mara ya pili japo aliuliza kiupole.
Nilikuja kumjibu baadae baada ya kupiga simu kwa aliemulekeza ambae alinipigia na mimi.
Kabla ya kumshughulikia tatizo lake nilimchana kwanza ajifundishe ustaarabu.
na huu ndio ukomo wa fikra zako.Hiyo ni ofisi au kijiwe mnakaa nje kupiga hadithi
Wabongo wengi wana tabia za kuweka vipaumbele kwenye mambo yasiyo na umuhimu, wakati mambo ya muhimu hawaweki vipaumbele.Mimi sema ukweli salamu hua sipendi, kwanza ni kupoteza muda tu
Oiiiiiii oyooooooowengine wanaitika wouzaa!!😂
Huyo alikuwa hamnazo kabisa. Suala la kusema tu HABARI ZENU JAMANI wakati anapita alionao gumu. Hakukuwa na haja ya kuvaa miwani ya mbao Ilhali anahitaji msaada kwenye ofisi za watuKuna jamaa aliagizwa kuja ofisini kwangu sababu ya tatizo alilokuwa nalo ambalo ningeweza kumsaidia.
Jamaa alipofika eneo la ofisi alikuta watu kadhaa nikiwemo na mimi. Alipita bila kusalimia yeyote na kwenda sehemu ilipokuwa amekaa dada wa reception.
Alipofika akaulizia jina langu ndio dada kumjibu mbona umempita hapo nje.
Kimbembe ikawa kuja tena hapo nje na kuniulizia tena ikizingatiwa hakuwa ametoa salamu na alipita katikati yetu maana ilikuwa kama tumekaa kwa mistari 2 na kuacha uwazi katikati.
Mshkaji alirudi nje kinyonge sana na kuuliza mwenye jina langu ni nani hapo. Watu wote wakauchuna kama hawamsikii na hii ilichangiwa na kutosalimia hata aliporudi mara ya pili japo aliuliza kiupole.
Nilikuja kumjibu baadae baada ya kupiga simu kwa aliemulekeza ambae alinipigia na mimi.
Kabla ya kumshughulikia tatizo lake nilimchana kwanza ajifundishe ustaarabu.