Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo watz mko watz mko Na interiority complex kwa Kenya, ndio maana siku zote mnalalamika kudharauliwa Na wakenya...Ukishindwa kuandika kwa kiswahili
Tumia kikuyu au kijaluo tu!!!
Hujapitia vizuri kule
Unapo sema hakuna mkenya aliye Chokoza watanzania kule ujue umekurupuka.
Watanzania wasipo ingia humu Hakuna jipya
Thread itadoda.
Ndio maana forums zakenya zipo fofofo
Full usingizini thread ya mwaka 2012 ina Reply 13!!!
Sifa ya Jf nikuchangia kokote upendapo na kuanzisha mada kokote upendapo.
Tatizo lenu wakenya mmejawa ujinga na ulimbukeni,
Hamuwezi kumaliza mada yenu humu bila kuleta Kejeli na porojo kwa Watanzania.
Mada zenu maranyingi huwa na malengo ya sifa,dharau,kejeli na vijembe.
ukibip unapigiwa
Du!Tatizo watz mko watz mko Na interiority complex kwa Kenya, ndio maana siku zote mnalalamika kudharauliwa Na wakenya...
Mimi Mara nyengine hupitia kule upande wa mambo ya tz, Na Mara nyengine huona comment za madharau Na kejeli kwa wakenya, lakini hua napita Tu bila kujali, mi hu scan thru hizo mada ili kujielimisha alafu natoka, bila hard feelings, nasahau matusi yoyote nilio yasoma.
Eti watanzania wasipoingia huku hakuna jipya, hebu jiulize kwanini watanzania hujazana humu? Mbona wakenya hawajazani Ile side nyengine ya habari za watz? Hata muanzishe mada gani ya kutukana wakenya ule upande mwengine hatutojazana ng'o, jiulize kwa nini...
Alafu upitie forum moja ya kikenya hapa News & Politics
Alafu ebu nikuulize, mbona alieanzisha Ile mada ya project za Dar aliona Ni heri aje huku upande wa Kenyan news? Lengo lake ilikua nani? Was hehe/she looking for approval from Kenyans? Ama angeanzisha ule upande mwengine haingekua Na maana?
Wakenya hauwezi ukawaeka zizi moja Kama kondoo, sisi Ni watu wamejazana kila mahali...wengine utawapata hata forum za pakistani Na china, Si Ni watu hupenda Ku explore, kila forum utatupata tukijadiliana Na watu tofauti...
mmesema miradi inayoendelea Nairobi sasa mbona ni mseto mpaka Turkana na Lamu na kenya nzima?LAKE TURKANA WIND POWER PROJECT (LARGEST IN AFRICA) 310MW
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
well saidTatizo watz mko watz mko Na interiority complex kwa Kenya, ndio maana siku zote mnalalamika kudharauliwa Na wakenya...
Mimi Mara nyengine hupitia kule upande wa mambo ya tz, Na Mara nyengine huona comment za madharau Na kejeli kwa wakenya, lakini hua napita Tu bila kujali, mi hu scan thru hizo mada ili kujielimisha alafu natoka, bila hard feelings, nasahau matusi yoyote nilio yasoma.
Eti watanzania wasipoingia huku hakuna jipya, hebu jiulize kwanini watanzania hujazana humu? Mbona wakenya hawajazani Ile side nyengine ya habari za watz? Hata muanzishe mada gani ya kutukana wakenya ule upande mwengine hatutojazana ng'o, jiulize kwa nini...
Alafu upitie forum moja ya kikenya hapa News & Politics
Alafu ebu nikuulize, mbona alieanzisha Ile mada ya project za Dar aliona Ni heri aje huku upande wa Kenyan news? Lengo lake ilikua nani? Was hehe/she looking for approval from Kenyans? Ama angeanzisha ule upande mwengine haingekua Na maana?
Wakenya hauwezi ukawaeka zizi moja Kama kondoo, sisi Ni watu wamejazana kila mahali...wengine utawapata hata forum za pakistani Na china, Si Ni watu hupenda Ku explore, kila forum utatupata tukijadiliana Na watu tofauti...