KERO Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?

KERO Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Najaribu kukata tiketi kwa njia ya mtandao lakini sifanikiwi, mfumo haufanyi kazi, nifanyeje?

Habari wadau. Kumekuwa na changamoto kubwa hasa kwenye ukataji wa ticket online. Suala hili limekuwa linaenda kimya kimya bila kutolewa ufafanuzi. Sifahamu hili linatokea by coincidence au limepangwa. Kama train imejaa ni kwanini mfumo hausemi kwamba train imejaa kama ilivyo mifumo mingine ya ukataji ticket? Limebakia suala la Sisi abiria kujipa majibu wenyewe kwamba huenda train imejaa ndio maana mfumo inasumbua.
Tunaomba uongozi walifanyie kazi hili suala Kwa haraka na weledi ili raia tuweze pata huduma stahiki.

Pia soma: TRC: Tumewakamata Watu kadhaa waliokuwa wanafanya ulanguzi wa tiketi za SGR na kufanya udanganyifu
 
IMG_20240728_004954.jpg
IMG_20240728_004924.jpg

Habari wadau. Kumekuwa na changamoto kubwa hasa kwenye ukataji wa ticket online. Suala hili limekuwa lianenda kimya kimya bila kutolewa ufafanuzi. Sifahamu hili linatokea by coincidence au limepangwa. Kama train imekaa ni kwann mfumo hasemi kwamba train imejaa kama ilivyomifumo mingine ya ukataji ticket? Limebakia suala la Sisi abiria kujipa majibu wenyewe kwamba huenda train imejaa ndo maana mfumo inasumbua.
Tunaomba uongozi walifanyie kazi hili suala Kwa haraka na weledi ili raia tuweze pata huduma stahiki.
 
View attachment 3054510View attachment 3054511
Habari wadau. Kumekuwa na changamoto kubwa hasa kwenye ukataji wa ticket online. Suala hili limekuwa lianenda kimya kimya bila kutolewa ufafanuzi. Sifahamu hili linatokea by coincidence au limepangwa. Kama train imekaa ni kwann mfumo hasemi kwamba train imejaa kama ilivyomifumo mingine ya ukataji ticket? Limebakia suala la Sisi abiria kujipa majibu wenyewe kwamba huenda train imejaa ndo maana mfumo inasumbua.
Tunaomba uongozi wanifanyie kazi hili suala Kwa haraka na weledi ili raia tuweze pata huduma stahiki.
Walioandaa mfumo kama ni watanzania tegemea huo ujinga.
Wasomi wetu ni mabogus sana.Au ni uwezo mdogo tu.
Utakuta kuna watu ni maprofesa wanajusifu ila wanatoa graduates wa hovyo ambao ndio wanatufanyia mambo hayo
 
View attachment 3054510View attachment 3054511
Habari wadau. Kumekuwa na changamoto kubwa hasa kwenye ukataji wa ticket online. Suala hili limekuwa lianenda kimya kimya bila kutolewa ufafanuzi. Sifahamu hili linatokea by coincidence au limepangwa. Kama train imekaa ni kwann mfumo hasemi kwamba train imejaa kama ilivyomifumo mingine ya ukataji ticket? Limebakia suala la Sisi abiria kujipa majibu wenyewe kwamba huenda train imejaa ndo maana mfumo inasumbua.
Tunaomba uongozi wanifanyie kazi hili suala Kwa haraka na weledi ili raia tuweze pata huduma stahiki.
Kwa ufupi ni kwmaba ukiendabmituoni hizo siti amabzo ziko weak inamana trenu imrjaa.mfano Leo Niko Dodoma ni kweli treni ya sgr kened adra jwa jpili zimejaa
 
Back
Top Bottom