Online casino zinalipa wazee, ukithubutu na ukiwa makini tu unapata pesa

Online casino zinalipa wazee, ukithubutu na ukiwa makini tu unapata pesa

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
4,580
Reaction score
7,943
Uzi huu hauhusu kupigia chapuo kampuni yoyote ya betting. Wanasema kizuri kula na ndugu yako.
Nimecheza Biko, Tatu mzuka kwa kutarajia mamilioni nimeishia kuambulia pesa kidogo toka BIKO, nimecheza online keno sijapata pesa niliyotarajia.
Nimecheza hizi keno za wachina za mitaani, hizi ndio hovyo kabisa.
Sasa nimeingia kwenye Online casino toka Play Master na Meridian Betting nimeona mafanikio ingawa si makubwa.
Ila nina uhakika wa kutengeneza 20k-100k per day. Sasa hivi dhiki ya kusubiria mshahara kama kijiji kinavyosubiria Mwenge sina.
Hizi games ukifanikiwa kuchagua nzuri na ukiwa na bahati unapiga pesa.
Yaani kati ya siku 5 ninazocheza, siku 3- 4 nakula Mimi huku siku za kuliwa ni 1-2.
Nimefanya vitu kadhaa kupitia pesa ya hizi slots(I can't explain here)
Kama u jasiri jaribu kucheza hizi games toka kampuni yoyote ile ila isiwe kampuni ya Mbongo au ya Mchina.
Simu yako na pesa kidogo ndio mtaji wako.
 
Huu upepo wa Mzee Magu usipotumia akili kidogo badala yake ukatumia mabavu lazima uumbuke.
Nshawahi jaribu kwa hela ndogo nlkula pesa si kidogo sana yaani

Sema hii michezo si mizuri for me i was just playing for leisure ....

Kajaribu meridian horse racing au instant play usiwe na papara na pesa katika odd tatu ndogo zaidi penda kuweka ile ya pili au ya kwanza ila kwa pesa nyingi !
 
Nshawahi jaribu kwa hela ndogo nlkula pesa si kidogo sana yaani

Sema hii michezo si mizuri for me i was just playing for leisure ....

Kajaribu meridian horse racing au instant play usiwe na papara na pesa katika odd tatu ndogo zaidi penda kuweka ile ya pili au ya kwanza ila kwa pesa nyingi !
Kumbe nawewe ni mdau!!!!
Ila tajaribu j2, takuletea majibu.
Mimi nachezaga slots games tu.
 
Kumbe nawewe ni mdau!!!!
Ila tajaribu j2, takuletea majibu.
Mimi nachezaga slots games tu.
Hapana mzee mimi sio mdau

Ila hayo mambo nayajua vizuri sana

Nikiamua hata sasa hivi nipate laki mbili naipata by that way

Sema dini hairuhusu ila ninayajua vizuri

Bado nachunguza bible kama inaruhusu haya mambo

Ila hakuna kitu kirahisi kwangu kama hiyo michezo hakuna either kws big odds or low odds
 
Hakuna pesa rahisi kijana tumia ubongo uwo
Yes, hakuna pesa rahisi wala ya kuokota. Hata ile unayoipata baada ya mtu mwingine kupoteza haijaokotwa bali imepatikana kwa jasho au akili.
Surely, kuna pesa inayopatikana bila jasho ila zinahitaji uthubutu na akili.
 
Hapana mzee mimi sio mdau

Ila hayo mambo nayajua vizuri sana

Nikiamua hata sasa hivi nipate laki mbili naipata by that way

Sema dini hairuhusu ila ninayajua vizuri

Bado nachunguza bible kama inaruhusu haya mambo

Ila hakuna kitu kirahisi kwangu kama hiyo michezo hakuna either kws big odds or low odds
Kununua hisa ni haramu au halali?
Maana hisa nazo ni kama bahati nasibu(kamari).
 
Wadanganye bahati yako wailalie mlango wazi (kama walivyofanya kwenye Forex). Gambling is a hell of a drug na ikikukolea hata kokeini cha mtoto. Utauza mpaka vijiko [emoji16][emoji16]

Isitoshe michezo yote hii inaendeshwa kwa mehesabu. Kuliwa lazima utaliwa tu utake usitake. Ni suala la muda tu !!!
 
Ni kubet mbio za farasi Au?

Meridian mwenzake na kina Greenwich na Equator ama?

Hata Sielewi hata kinacho zungumziwa, Casino kama casino ninazo jua mimi zile night clubs au?

Au ni betting kama betting nyingine sport pesa na nyingine zinazo tangazwa kwenye radio?
 
Wadanganye bahati yako wailalie mlango wazi (kama walivyofanya kwenye Forex). Gambling is a hell of a drug na ikikukolea hata kokeini cha mtoto. Utauza mpaka vijiko [emoji16][emoji16]

Isitoshe michezo yote hii inaendeshwa kwa mehesabu. Kuliwa lazima utaliwa tu utake usitake. Ni suala la muda tu !!!
Chief Gambling zimewahi kukujeruhi nini?
May be ni bahati, kuna wakati nilikuwa napiga pesa sana PMbet kupitia HOT 7 ndugu yangu aliposikia akasema nimfundishe, alipigwa pesa mpaka alijuta.
PMbet baadaye walichezea server kila nilipojaribu nikaona kugumu nikawahama. Nikaenda kupiga Meridian nikakuta OK, now PMbet nako kuna mchuzi.
 
Ni kubet mbio za farasi Au?

Meridian mwenzake na kina Greenwich na Equator ama?

Hata Sielewi hata kinacho zungumziwa, Casino kama casino ninazo jua mimi zile night clubs au?

Au ni betting kama betting nyingine sport pesa na nyingine zinazo tangazwa kwenye radio?
Ukifungua account kwenye hizi kampuni za betting utaenda mahali pameandika CASINO kule utachagua game uipendayo utacheza.
Ni vyema ukacheza za free kwanza ili upige hesabu ujue IPI inalipa
 
Yes, hakuna pesa rahisi wala ya kuokota. Hata ile unayoipata baada ya mtu mwingine kupoteza haijaokotwa bali imepatikana kwa jasho au akili.
Surely, kuna pesa inayopatikana bila jasho ila zinahitaji uthubutu na akili.

Haya ni matumizi mabaya ya akili mkuu achana na pesa za bahati nasibu ingia mtaani fanya kazi
 
Back
Top Bottom