Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Tatizo mnazidi kupenda njuruku, sasa tufanyeje na sisi tunawapenda kwa moyo wote
kwa mshahar gn w kump mkeo ww bwan ww?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mnazidi kupenda njuruku, sasa tufanyeje na sisi tunawapenda kwa moyo wote
Hapana kamanda. Sijawahi kucheza kamari maishani mwangu ila nafahamu watu wachache ambao kamari zimewaharibu. Inatakiwa ujuzi sana na bahati ila mwisho wa yote the odds are stacked against you na mwishowe pesa utapoteza tu. Na tatizo kubwa ni kwamba hata ukifanikiwa kupiga hela ndefu kuacha huwezi. Ndiyo kwanza unachemka. Mpaka unazimaliza tena. Na mzunguko unaendelea....Chief Gambling zimewahi kukujeruhi nini?
May be ni bahati, kuna wakati nilikuwa napiga pesa sana PMbet kupitia HOT 7 ndugu yangu aliposikia akasema nimfundishe, alipigwa pesa mpaka alijuta.
PMbet baadaye walichezea server kila nilipojaribu nikaona kugumu nikawahama. Nikaenda kupiga Meridian nikakuta OK, now PMbet nako kuna mchuzi.
... 😅😅😅Na hawa ndo wanaume zetu wacheza kamari!
Dah wayback masomoni nshawahi ata manzi mmoja anajua hadi kikosi cha newacastleNaona umeamua kutoa siri yangu😅😅! ameniambia juz..unajua nikikuomb hela km 2000 hwa nabet?nikasema ohoo..!unaoata km ngap akasema km 5000!nikasema bas bi vyema sana ndg!mie nimesema had nimejichokea
Dah wayback masomoni nshawahi ata manzi mmoja anajua hadi kikosi cha newacastle
Tunaweka nae mikeka
Inatiki haoooo beach kula maisha
Mwe stacy nmekamiss
Hapana kamanda. Sijawahi kucheza kamari maishani mwangu ila nafahamu watu wachache ambao kamari zimewaharibu. Inatakiwa ujuzi sana na bahati ila mwisho wa yote the odds are against you na mwishowe pesa utapoteza tu. Na tatizo kubwa ni kwamba hata ukifanikiwa kupiga hela ndefu kuacha huwezi. Ndiyo kwanza unachemka. Mpaka unazimaliza tena. Na mzunguko unaendelea....
Itabidi unielekeze mimi nacheza tunagawana faida. Bila shaka ntakuwa nimeitakatisha pesa kutoka isiyo faaa mpaka inayokubarika. Kwa sababu faida ntakuwa natoa kama mchango. Mtaji ntweka mimi wa 500K. Kazi ni kwako!Hapana mzee mimi sio mdau
Ila hayo mambo nayajua vizuri sana
Nikiamua hata sasa hivi nipate laki mbili naipata by that way
Sema dini hairuhusu ila ninayajua vizuri
Bado nachunguza bible kama inaruhusu haya mambo
Ila hakuna kitu kirahisi kwangu kama hiyo michezo hakuna either kws big odds or low odds
Hahaha mzee umeongea ukweli mtupuWadanganye bahati yako wailalie mlango wazi (kama walivyofanya kwenye Forex). Gambling is a hell of a drug na ikikukolea hata kokeini cha mtoto. Utauza mpaka vijiko [emoji16][emoji16]
Isitoshe michezo yote hii inaendeshwa kwa mehesabu. Kuliwa lazima utaliwa tu utake usitake. Ni suala la muda tu !!!
But do it for your own riskChief Gambling zimewahi kukujeruhi nini?
May be ni bahati, kuna wakati nilikuwa napiga pesa sana PMbet kupitia HOT 7 ndugu yangu aliposikia akasema nimfundishe, alipigwa pesa mpaka alijuta.
PMbet baadaye walichezea server kila nilipojaribu nikaona kugumu nikawahama. Nikaenda kupiga Meridian nikakuta OK, now PMbet nako kuna mchuzi.
Kazi zimenibana mkuuItabidi unielekeze mimi nacheza tunagawana faida. Bila shaka ntakuwa nimeitakatisha pesa kutoka isiyo faaa mpaka inayokubarika. Kwa sababu faida ntakuwa natoa kama mchango. Mtaji ntweka mimi wa 500K. Kazi ni kwako!
Teh .... 😅😅😅😅😅ahhhhaaaa...ila ww ni sukari ya warembo..stry zako nyingi uko huko
Teh .... 😅😅😅😅😅
Niko wapi tena
Alkua mdada mmoja hivi rafiki yangu tu
No hooking sister
Andika PMbet, au Meridian Tanzania au jina la kampuni yoyote maarufu kisha nenda mahali pa REGESTER then depose pesa kisha jizolee pesa.mzee wa kamali nipo hapa hebu nipe utararibu chapu niende zangu kujiunga mapema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh umeona mbali sana na umeongea kwa uchungu, even me nawasikitikia sanaNa hawa ndo wanaume zetu wacheza kamari!
We kididi tumzee wa kamali nipo hapa hebu nipe utararibu chapu niende zangu kujiunga mapema
Addiction isiyosababisha magonjwa