Online casino zinalipa wazee, ukithubutu na ukiwa makini tu unapata pesa

Hapana kamanda. Sijawahi kucheza kamari maishani mwangu ila nafahamu watu wachache ambao kamari zimewaharibu. Inatakiwa ujuzi sana na bahati ila mwisho wa yote the odds are stacked against you na mwishowe pesa utapoteza tu. Na tatizo kubwa ni kwamba hata ukifanikiwa kupiga hela ndefu kuacha huwezi. Ndiyo kwanza unachemka. Mpaka unazimaliza tena. Na mzunguko unaendelea....
 
Naona umeamua kutoa siri yanguπŸ˜…πŸ˜…! ameniambia juz..unajua nikikuomb hela km 2000 hwa nabet?nikasema ohoo..!unaoata km ngap akasema km 5000!nikasema bas bi vyema sana ndg!mie nimesema had nimejichokea
Dah wayback masomoni nshawahi ata manzi mmoja anajua hadi kikosi cha newacastle

Tunaweka nae mikeka

Inatiki haoooo beach kula maisha

Mwe stacy nmekamiss
 
mzee wa kamali nipo hapa hebu nipe utararibu chapu niende zangu kujiunga mapema
 


Kamari ni Dhambi
 
Itabidi unielekeze mimi nacheza tunagawana faida. Bila shaka ntakuwa nimeitakatisha pesa kutoka isiyo faaa mpaka inayokubarika. Kwa sababu faida ntakuwa natoa kama mchango. Mtaji ntweka mimi wa 500K. Kazi ni kwako!
 
H Hahaha mzee umeongea ukweli mtupu
 
But do it for your own risk
 
Itabidi unielekeze mimi nacheza tunagawana faida. Bila shaka ntakuwa nimeitakatisha pesa kutoka isiyo faaa mpaka inayokubarika. Kwa sababu faida ntakuwa natoa kama mchango. Mtaji ntweka mimi wa 500K. Kazi ni kwako!
Kazi zimenibana mkuu

Hata hivyo hii michezo si mizuri kabisa

Na uhakika wa kushinda na kula ila bado siichezi

Nilimwambia sir God wewe si maskini kihivyo mpaka nitafute hela kwa njia ya kamari

Anyway maajabu yake nayaona
 
mzee wa kamali nipo hapa hebu nipe utararibu chapu niende zangu kujiunga mapema
Andika PMbet, au Meridian Tanzania au jina la kampuni yoyote maarufu kisha nenda mahali pa REGESTER then depose pesa kisha jizolee pesa.
Achana Γ±a kubashiri mipira kwa kutaka mamilioni. Cheza casino utengeneze pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…