Online Engagements: Ushaidi kuntu juu ya mechi ipi ni kubwa kati ya ile ya Simba vs Al Ahyl na Yanga vs Mamelodi

Yaani hadi mashabiki karibia asilimia kubwa wanaongelea mechi ya Mamelod na kuangaika kununua jezi za Mamelod, husikii kuzungumzia mechi yao dhidi ya Al Ahly. Utafikiri Ijumaa hakuna mechi vile
 
Kwa hiyo kwa ushahidi huu utazisaidia timu zetu kutinga hatua inayofuata?
 
Yaani hadi mashabiki karibia asilimia kubwa wanaongelea mechi ya Mamelod na kuangaika kununua jezi za Mamelod, husikii kuzungumzia mechi yao dhidi ya Al Ahly. Utafikiri Ijumaa hakuna mechi vile
Aahaaaaa a

Umeongea point sana mkuu
 

Bahati mbaya CAF huamua ukubwa wa timu kwa kuangalia ranking zake tu:

 
Haswaa ni mechi iliyopangwa kionevu sana
Kwa upande wangu hamna uonevu kwa sababu mnaokutana robo fainali wote ni mabingwa, ila anatafutwa bingwa zaidi...na ukitaka kuwa bingwa, pigana na magwiji wenzako

unataka pepo iweje uogope kifo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…