Na asiend sauzi huyu dogo watamshoot RAIA wa ile nchi wapuuzi sanaStaki kuamini kama ni tapeli, aliwezaje kusaini na kuchukua hizo hela.
Je makubaliano yalikuwaje? Nahisi ni vita vya nikose na nipate. Unitial cost zilitoka kwa nani? . Nahisi yapo ya kujifunza ndani yake kabla ya kuamua. Huenda yajayo yanatisha zaidi.
hahahaha naona leo una furaha kinyamahahaa ule ulikuwa uongo mzito sana "" tena wakiwango cha tani ...binafsi logic yake sikuiona maana jeshi la police nalo pia ni jeshi "" so unavua unavaa koti la police ili kuficha t.shirt ya jeshi la wananchi ili iweje ""? wakati hayo yote ni majeshi ya nchi na sheria za nchi zinakataza raia yoyote kuvaa nguo za hayo majeshi yote"" PALE ALIKUWA ANATAFUTA KUWA TEKA KIAKILI WATU ILI WAONE KUWA JAMAA ANAJULIKANA NA WAKUBWA "" SIWAJUA KUWA ALIKUWA ANASAFIRIA NYOTA YA KUJIFANYA KUWA YEYE NI USALAMA WA TAIFA...WAKUMBUKA MWANZO WA ILE STORY ANAJIFANYA KUWA ALIITWA NA MKUU WA USALAMA AKAWA ANATAKA AMUELEZEE KUHUSU MASUALA YA FX "" anajuwa fika ukitaka kuziteka akili za wabongo basiii jifanye upo karibu na watu ambao wananguvu ya ushawishi katika jamii"" na kweli katika hilo alifaulu """ hahaaa...basiii mimi nilivyoisoma ile story na kuona hayo matukio nika connect dots nikaona mmh hapa wanatafutwa wajinga ambao ndio huwa wali wa werevu "" "" nikajiuliza T.shirt ya jeshi na huyu mkubwa wa TISS wanaumuhimu gani wakuwepo ktika hii story """!!? kwanini asingekwenda straight tu nakutueleza dhamira ya maudhui yake ..mpaka kuanza kutupikia haya matukio...!?.."" mzee baba hadi hapo nikasema wacha nirushe mbawa mie maaana ndio sifa ya kunguru muoga "" hahaa mwisho wasiku waoga huwa wanasimama mbele ya nyumba zao nakuwaonyesha watoto wao makaburi ya mashujaa wao yalipo ""....hahaa
mkuu "" wamenikubusha mbali sana "" wajua mimi "" na kina the list ndio tulikuwa ant forex Humu ndani "" so inachekesha mnooo pindi " unapojitokeza ushuhuda mbali mbali " kuhusu haya mambo ya fx kuwa ni hoax"" wakati awali tulikuwa tunaonekana ni haters "" nakumbuka Siku ya anguko la TMT humu hapakakukalika aisee..."" Ontario mwenyew alitoka mbio ""hahahaha naona leo una furaha kinyama
Leo imeshuka mpaka dola 30 tenaa cc hearly
Kahaba Mange alisema kumbe!?Dada Mange alishawambia,mkawa wabishi
Hivi unazikumbukazile dola wanasema kwa siku naingia milioni ngapi kwa wiki naingiza milion 20 sijui au nimesahau leo imeshuka hadi kwa siku dola30hahaaa ..achana nae huyo " usikute ndio Ontario mwenyew huyo ..amekuja na I'd nyingine "" mwambie kuwa hauna njaa "" G huwa anakupa mpunga mrevu tu ..kwann uanze kupasua kichwa na mambo ya kuunguza acc....
Hakuna alieibiwa pesa clients tuko salama kabisa trade zina run kama kawaida,nampenda ontario na wenzie ila kwa kugombanaa kwenye grups wameonesha uafrica wao wa ajabu samahani kwa hili ONTARIO soon nabadilisha broker mmeniboa kwa ugomvi wenu.nahamia ECN Broker.Forex ni nzuri tu il hawa watu wameboa
Leo umekiri na ukihama utachukiwaHakuna alieibiwa pesa clients tuko salama kabisa trade zina run kama kawaida,nampenda ontario na wenzie ila kwa kugombanaa kwenye grups wameonesha uafrica wao wa ajabu samahani kwa hili ONTARIO soon nabadilisha broker mmeniboa kwa ugomvi wenu.nahamia ECN Broker.Forex ni nzuri tu il hawa watu wameboa
Alivyokuwa anapambana hadi anapigwa banNavyo ogopa matusi ila ngoja tu nikukabili sasa hivi imekuwa wamekuboa ? Naona kibao cha u turn kileeee unakaribia kukifikia
Nakumbuka vyema madame "" na miongoni ya hao clients nihuyu hapa... CCNP Engineer ...kuna Uzi aliufungua akawa anasema kuwa kwa siku moja alikuwa anaingiza Ml.1""" hahaa majuzi kati kaja nauzi anaomba ushauri Anataka akope million 5 " kisha aache kazi akafanye biashara "" hahaa...yaani mtu anayeingiza..ml.1 per day kumbe hata ml.5 bado inamtoa jasho la makalioHivi unazikumbukazile dola wanasema kwa siku naingia milioni ngapi kwa wiki naingiza milion 20 sijui au nimesahau leo imeshuka hadi kwa siku dola30
Lnafiki Spiritual, fala sana.
Likatolewa mkuku mkuku na chupi mkononi kwenye magroup yote ya TMT baada ya kuumbuliwa na wadau.
Hehehehehe.. Linafiki. Kwishaaa
huyu Cre ni wakala wa JP Market....Na Jp Ndio wanaocontrol account za clients so anasikilizwa zaidi na JP kuliko akina Ontario....cre na jp wanawazunguka akins ontario kwenye mgaoMwenye akili ndogo ni Cre, anapaniki na kuweka mambo hadharani mapema huyu ndiyo chanzo
Washaanza kulia mbona, labda kelele hazijasikika humuBado Qnet kuliza watu
Huyo dada ana mdomo mchafu sijapata wahi ona....Navyo ogopa matusi ila ngoja tu nikukabili sasa hivi imekuwa wamekuboa ? Naona kibao cha u turn kileeee unakaribia kukifikia
Unajua kuhubiri!?.. Unajua kuigiza miujiza!?.. Tufungue Kanisa mjini hapa 😀daaah"" Fanya na sisi tuje n program yetu tuweze kupuna pesa za watanzania...kabla ccm haijatoka madarakani "" maana ukija utawala mpya...utakuwa unatolea macho issue za magumashi + so hatutopata fursa ya kupiga pesa ndefu "" huu ndio wakati baba
hahaaa Mama Sabrina pitia hiyo link hapo juu"
Hivi kumbe siku hzii TMT ndio imekuwa forex duuu! Hivi hapa bongo kila anayetrade forex yupo TMT! Lo sikujua kwamba chuki inapelekea hata gurus wa forex wanakuwa kama wajinga wasiojua forex! WENGINE TUNAFANYA FOREX NA HATUIJUI HIYO TMT kwa hiyo msi generalize ikaonekana kwamba forex ni kitu kibaya na wote wanaofanya forex wapo TMT. Kuweni specific ni hizo chuki zenu kwa Ontario siyo kufanya watu waone forex kama ni kitu kibaya sana ambacho hawatakiwi kufanya! Kmkuu "" wamenikubusha mbali sana "" wajua mimi "" na kina the list ndio tulikuwa ant forex Humu ndani "" so inachekesha mnooo pindi " unapojitokeza ushuhuda mbali mbali " kuhusu haya mambo ya fx kuwa ni hoax"" wakati awali tulikuwa tunaonekana ni haters "" nakumbuka Siku ya anguko la TMT humu hapakakukalika aisee..."" Ontario mwenyew alitoka mbio ""