Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
We unatafutia watu Ban tu,Jamani huu uzi siyo wa show off za mapenzi, Ujinga wenu pelekeni MMU! Mnachafua huu uzi
Hata we pia unajadiligi Ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unatafutia watu Ban tu,Jamani huu uzi siyo wa show off za mapenzi, Ujinga wenu pelekeni MMU! Mnachafua huu uzi
Humu siyo MMU, maigizo yenu yapelekeni MMU ndipo mlipoandaliwa, hapa watu wanajadili serious issues zinazohitaji kumakinikaWe unatafutia watu Ban tu,
Hata we pia unajadiligi Ujinga
Sawa nendeni MMU tumeshajua mnapendana! EishhhhNakapenda sana haka ka binti...
Kaone kwanza kalivyo kazuri...
Hebu tutoleeni ujinga na ufinyu wa akili zenu zenye size ya pilton.We unatafutia watu Ban tu,
Hata we pia unajadiligi Ujinga
Huna uwezo wa kunitoa humu wewe, nitatoka nikitaka mimi mwenyewe,Humu siyo MMU, maigizo yenu yapelekeni MMU ndipo mlipoandaliwa, hapa watu wanajadili serious issues zinazohitaji kumakinika
Wewe wacha nikustahi tu,Hebu tutoleeni ujinga na ufinyu wa akili zenu zenye size ya pilton.
Nendeni huko MMU Mkandange vizuri huku tunapeana Vitu mujarabu ambavyo kwa akili zenu za kuvukia barabara hamuwezi kung'amua zaidi ya kutuharibia our forex rhythm.
Tena vunjeni sheria ili mpigwe ban vizuri tumeshawachoka , sijawahi ona positive contribution zenu humu. Ni upuuzi upuuzi tu. Unaona notification kutoka kwenye huu uzi unajua ni kitu cha maana kuhusu forex, unakuja faster yarabiiiiiii unakutana na meseji ya Liuza dera la Mwananyamala kwa mfuga mbwa kwenye uzi unaojumuisha watanzania wachache wenye IQ kubwa.We unatafutia watu Ban tu,
Hata we pia unajadiligi Ujinga
[emoji1] Wanaboa hawa mbuzi Basi tuWe daudi punguza jazba. Hao hawajui chochote kuhusu forex achana nao
Huna uwezo wa kunitoa humu wewe, nitatoka nikitaka mimi mwenyewe,
With no reason! Kha khaTena vunjeni sheria ili mpigwe ban vizuri tumeshawachoka , sijawahi ona positive contribution zenu humu. Ni upuuzi upuuzi tu. Unaona notification kutoka kwenye huu uzi unajua ni kitu cha maana kuhusu forex, unakuja faster yarabiiiiiii unakutana na meseji ya Liuza dera la Mwananyamala kwa mfuga mbwa kwenye uzi unaojumuisha watanzania wachache wenye IQ kubwa.
Please tunawaomba mtutukane hovyo ili mpigwe ban au mjiondoe nendeni aanzishe nyuzi zenu za kuuzina madela, chupi na vikoba huku tuachieni watanzania tunaotumia vichwa vyetu kufikiri na nyie mnaotumia vichwa vyenu kufugia nywele na kuvaa mawigi ya 1800 mtuache, We are real tired of you.
Forex hamjui, usikute hata bullish candlestick mnaweza dhani ni Papuchi au Dyudyu.
Tuachieni Nafasi.
Sasa ninawasubiri mrudi ka m a Mipanya Buku ya Ileje shambani ili niwabutue vizuri mpaka mkiona nyuzi za akili muwe mnazima data au mnakimbilia vikapu vyenu vya madela na chupi mnaenda kuuza mtaani.
Masikini wee.. Poyeeee...haya [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] Aure voir[emoji1] Wanaboa hawa mbuzi Basi tu
With no reason! Kha khaTena vunjeni sheria ili mpigwe ban vizuri tumeshawachoka , sijawahi ona positive contribution zenu humu. Ni upuuzi upuuzi tu. Unaona notification kutoka kwenye huu uzi unajua ni kitu cha maana kuhusu forex, unakuja faster yarabiiiiiii unakutana na meseji ya Liuza dera la Mwananyamala kwa mfuga mbwa kwenye uzi unaojumuisha watanzania wachache wenye IQ kubwa.
Please tunawaomba mtutukane hovyo ili mpigwe ban au mjiondoe nendeni aanzishe nyuzi zenu za kuuzina madela, chupi na vikoba huku tuachieni watanzania tunaotumia vichwa vyetu kufikiri na nyie mnaotumia vichwa vyenu kufugia nywele na kuvaa mawigi ya 1800 mtuache, We are real tired of you.
Forex hamjui, usikute hata bullish candlestick mnaweza dhani ni Papuchi au Dyudyu.
Tuachieni Nafasi.
Sasa ninawasubiri mrudi ka m a Mipanya Buku ya Ileje shambani ili niwabutue vizuri mpaka mkiona nyuzi za akili muwe mnazima data au mnakimbilia vikapu vyenu vya madela na chupi mnaenda kuuza mtaani.
Masikini wee.. Poyeeee...haya [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] Aure voir[emoji1] Wanaboa hawa mbuzi Basi tu
kampe smart mzigo anakungoja asije akapiga vya mkonoWith no reason! Kha kha Masikini wee.. Poyeeee...haya [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] Aure voir
Cc Smart911
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii dunia inawatu aiseekampe smart mzigo anakungoja asije akapiga vya mkono
Tatizo hatupendi kutafiti reliability ya site husika. Templer FX hamna kitu. Kuna kasoro nyingi za kitaalamu ktk upande wa taarifa za kiteknolojia.Templer ni broker wa hovyo kwenye upande wa customer service, kuweni makini sana. Nimedeposit hela tangu wiki iliyopita kwa kutumia Vodacom il haijasoma.
Kila siku wananizungusha. Wao templer na ipay africa hawajanisaidia chochote na sijapata msaada wowote kutoka templer zaidi ya kupigwa sound tu.
Please kuweni makini na templer hii sio mara ya kwanza kusumbuliwa. Ni broker tunaepaswa kufanya nae kazi kwa jicho la tahadhari kubwa mno.
Mwisho wa siku watanzania tutafute broker makini hawa wakina templer ipo siku tutakuja kusaga meno.
Mkuu, siku na wewe huyo broker wako unaemtumia akikuibia/ kukutapeli pesa zako utafanyaje, utakaa kimya maisha yaendelee au utapambana upate haki yako?Yeyote anaeendelea kupiga domo na lawama hana tofauti na wasiojielewa.
Kama watu mmepigwa tena kwa uzembe wenu kwa sababu mlionywa mno, inabidi mchukue hatua za kisheria ingawaje mimi naona ni vigumu mno kuwatia hatiani TMT. Cha msingi inukeni na pigeni kazi.
Ninaamini kuna mambo mengi mmejifunza.
No free launch, Pigeni kazi. Kuweni na ndoto za kuwa free trader na sio kuwa trader wa kutegemea Signals lazima mtaendelea kulia mpaka mwisho wa dunia hii.
Tusome Tusome Tusome Tusome.
Mimi sijawahi kutrade na Jp Markets na wala sipo TmT ila hii saga imeniongezea mafunzo meeeeengi mno, nawashukuru sAna.
Nawashauri acheni kulalamika endlessly. Kuweni wanaume, forget. Kama kweli wewe ni well trained trader ninaamini within few months mungu atasaidia mtafika sehemu nzuri.