Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Nitachukua hatua stahiki , hatua mujarabu za kupugania haki zangu na sio kulialia mitandaoni kama hawa Wadau Wa TMT. Mimi naona wanalialia tu sijaona lolote la maana wanalofanya kudai haki zao.
Mababa na wamama wazima wanapiga domo mtandaoni badala ya kuuwasha moto pale Jangid, ndip maana nasema kama hawana ujanja wowote ni bora wakae chini wahipange upya kuliko kupoteza muda for nothing.
Mababa na wamama wazima wanapiga domo mtandaoni badala ya kuuwasha moto pale Jangid, ndip maana nasema kama hawana ujanja wowote ni bora wakae chini wahipange upya kuliko kupoteza muda for nothing.