Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Templer ni broker wa hovyo duniani, ana Late execution pia kuna muda anafanya candlestick zinakuwa shapes ambazo hazijawahi kuonekana duniani ili akupige. Bado sijaja kwenye suala la spreads.Hoja zote ambazo hazikuwa na mashiko dhidi ya Templerfx nilishazijibu, usiwe mvivu pitia post zilizotangulia
Watu tunaomtumia Templerfx Ndio tunajua uzuri wake
ye ndo anaechora izo candlestic? late exc,, inategemea na netwok ya eneo ulilopo kama voda usijaribu kutrade nayo kama wew ni sclaper pia season excution hua inachelewa kama v,,, ipo juu na si lazima uexcute njia salama ni kutumia stops and limit templer yupo vyema ila kama unatrade asia season yan mid nie hafai hata kama unaswing mida hio futa stop loss maana inaweza kuwa absorbedTempler ni broker wa hovyo duniani, ana Late execution pia kuna muda anafanya candlestick zinakuwa shapes ambazo hazijawahi kuonekana duniani ili akupige. Bado sijaja kwenye suala la spreads.
Maoni yangu yamejikita kwenye uzoefu wangu wa kufanya kazi na templer
Watu tulipiga sana kelele humu,tukaishia kuitwa haters
Kwahiyo mimi ndiye nilimtuma Ontario aje kuwatapeli wana JF wapenda mteremko?ivi we jamaa ni fursa gani ilishaletwa humu ukaiunga mkono?
maana wewe kila kitu ni utapeli
upo very negative mno
Achana na Wajing@ hao....siku zote wajinga hawaishi Labda Bahari ikaukeKwahiyo mimi ndiye nilimtuma Ontario aje kuwatapeli wana JF wapenda mteremko?
Keep talkin' bullshil*t female doghello dada muuza mbege.naona bado unahaha humu
Hahaha we jamaa si una uzi wako wa kupata milion 12 kwa kuwaza tuKwahiyo mimi ndiye nilimtuma Ontario aje kuwatapeli wana JF wapenda mteremko?
Yes, Mods rekebisheni heading tafadhali maana iliyopo iko kipotoshajiMods rekebisheni heading .... Mamilioni ya wana-TMT sio wanaforex
unajua maana ya ujinga ,au unaandika tu pumbaAchana na Wajing@ hao....siku zote wajinga hawaishi Labda Bahari ikauke
Ova
π πWatu tulipiga sana kelele humu,tukaishia kuitwa haters
π π π cheka tuu, unakumbuka kipindi kile cha mashambulizi?Nacheka ki-hutu....
Ujinga ndy huo mnaofanya mnapigwa tafuteni Hela msitegeme kupata Hela kwa mteremko hakuna Hela rahisi rahisiunajua maana ya ujinga ,au unaandika tu pumba
Yeah napiga piga misele badoNaona umerudi kwa nguvu zote Jose