I'm not associated in any way with TMTsawa tmt
I'm not associated in any way with TMTsawa tmt
Inamana Ontario kakimbilia SA?Kuna kitu najiuliza...mfano mimi nimeingia ubia na Jamaicans nikawaleta Bongo, baadae tukavurugana nikachukua hela kutoka kwenye akaunti ya kampuni nikajitoa. Baada ya hapo hawa jamaa wakaanza kunitafuta kwa nguvu zote. Je ninaweza kuthubutu kwenda kutembea Jamaica?!!
Kuna "kukimbilia" na "kwenda". Learn the differenceInamana Ontario kakimbilia SA?
Aisee, kuna mahali nimemtaja mtu au SA kwenye post yangu?Inamana Ontario kakimbilia SA?
Hahahha, naona mnajaribu ku manipalute kiswahiliKuna "kukimbilia" na "kwenda". Learn the difference
Hakuna chochote kilichokua manipulated hapo. Just mere factsHahahha, naona mnajaribu ku manipalute kiswahili
Nimesema ina MAANA yaani maana yake hayo uliyoyasemaAisee, kuna mahali nimemtaja mtu au SA kwenye post yangu?
Maana niliosema ni kama nilivyoandiks,tafsiri nyungine zako.Nimesema ina MAANA yaani maana yake hayo uliyoyasema
una mpango wa kutuunguzia account zetu toka lini wewe ukawa mentor?Guys, there's a lot of cash in the market, Lets go get it
Cheers[emoji178]
Guys, there's a lot of cash in the market, Lets go get it
Cheers[emoji178]
Hivi wewe umeelewa nilichopost mimi? Unaona post yangu na pumba uliyojibu vinaendana?una mpango wa kutuunguzia account zetu toka lini wewe ukawa mentor?
ww ni Ontario! numepitia comments zako zote, nimejiridhidhaGuys, there's a lot of cash in the market, Lets go get it
Cheers[emoji178]
Aise! Tangu lini mimi nikawa Ontario?ww ni Ontario! numepitia comments zako zote, nimejiridhidha
kama forex ni rahis kama kubet sawa huku tunatokwa na jasho la akili na emitionhakuna hela ya hivyo duniani.. Forex ni kama mchezo wa kubet..
Hela inatafutwa kwa jasho...
ok good luckyKifupi sikuwahi na siwezi kujaribu kuishi kwa kubahatisha, nani kakwambia kuna hela inapatikana kwa kubahatisha..
Narudia tena Forex haina tofauti na mchezo wa kubet..ambapo aliyebet anaishi kwa kupiga ramli, ni hivyo hivyo hata kwenye forex mnaishi kwa kupiga ramli... Hakuna hela ya mteremko..