Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Unajua kuhubiri!?.. Unajua kuigiza miujiza!?.. Tufungue Kanisa mjini hapa 😀
hahaa...hivi huwaga unaiperuzi akili yangu nini !?? Jana " kuna mtu nilitoka kuongea nae suala kama hili aisse....."" hilo ulosema ndio jambo lenye afya sasa"" hebu tuanze huo mchakato aisee..."" kuigiza hilo suala sio tatizo mkuu""
 
Acha Misukule na mifuata upepo ya forex izidi kupungua tubaki wachache wenye kujielewa.
 
Hivi kumbe siku hzii TMT ndio imekuwa forex duuu! Hivi hapa bongo kila anayetrade forex yupo TMT! Lo sikujua kwamba chuki inapelekea hata gurus wa forex wanakuwa kama wajinga wasiojua forex! WENGINE TUNAFANYA FOREX NA HATUIJUI HIYO TMT kwa hiyo msi generalize ikaonekana kwamba forex ni kitu kibaya na wote wanaofanya forex wapo TMT. Kuweni specific ni hizo chuki zenu kwa Ontario siyo kufanya watu waone forex kama ni kitu kibaya sana ambacho hawatakiwi kufanya! K
mzee baba " najuwa kuwa " FOREX haihusiki na TMT kabisaaa hilo nalielewa " lakini sasa hili suala la TMT limekuwa kama samaki mmoja aliyeoza ndani ya kapu " ukiuziwa samaki na muuzaji "" kisha yule samaki akawa ameoza "" sidhani kama "kesho Yke ''utadiriki tena kununua samaki" wengine kwa ''huyo mfanya biashara maana utakuwa 'unahisi kuwa samaki '''wake wote ni wabovu tu"" na hiki ndio kilichotokea hapa ""
 
Hivi kumbe siku hzii TMT ndio imekuwa forex duuu! Hivi hapa bongo kila anayetrade forex yupo TMT! Lo sikujua kwamba chuki inapelekea hata gurus wa forex wanakuwa kama wajinga wasiojua forex! WENGINE TUNAFANYA FOREX NA HATUIJUI HIYO TMT kwa hiyo msi generalize ikaonekana kwamba forex ni kitu kibaya na wote wanaofanya forex wapo TMT. Kuweni specific ni hizo chuki zenu kwa Ontario siyo kufanya watu waone forex kama ni kitu kibaya sana ambacho hawatakiwi kufanya! K
halafu yakupasa ujue kuwa hakuna mtu Mwenye chuki na huyo so called Ontario " but tuko hapa kama sehemu ya Jamii na tuna haki ya kudiscus chochote kile ambacho kina jiri katika Jamii Yetu " kiwe ni kizuri au nikibaya...vyote vina nafasi ya kujadiliwa kwaajili ya manufaa ya ustawi wa Jamii Yetu """ so huyo Ontario na TMT yake wote wanaingia katika sehemu ya Jamii" hawawezi kuepuka " mijadala " iwe ni kwa mazuri au kwa mabaya "
 
hahaa...hivi huwaga unaiperuzi akili yangu nini !?? Jana " kuna mtu nilitoka kuongea nae suala kama hili aisse....."" hilo ulosema ndio jambo lenye afya sasa"" hebu tuanze huo mchakato aisee..."" kuigiza hilo suala sio tatizo mkuu""
😀😀 Nitafutie mama wa kanisa mwenye ushawishi kwanza aanze kutoa shuhuda nimembadili mengine yatajilipa kule MMU.
 
😀😀 Nitafutie mama wa kanisa mwenye ushawishi kwanza aanze kutoa shuhuda nimembadili mengine yatajilipa kule MMU.
haha haha wapo wengi ninao "" ngoja nimpange kwanza ""
 
FNB hii benki si ilishafungwa hapa nchini??? au zilikuwa siasa? maana hiyo na kenzake hivi vilifungiwa kwa kutakatisha pesa za waarabu
 
Back
Top Bottom