Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Hapa kuna makundi matatu, yaani TMT, Clients na JP markets.

Nmesikiliza wakati yule msukuma anaongea na mtu wa JP markets kwa njia ya simu, naona kwa maelezo ya yule dada ni kama JP markets wamejiondoa kwenye responsibility ambayo ilikuwa ni ya kwao, and the reason behind ni kwasababu wao wanazo hela za clients ndio maana hilo jukumu la kuopen legal case wamewaachia clients wenyewe kitu ambacho sidhani kama kimekaa sawa.

Wa kuopen Case alikuwa ni Cre lakini kama ni kweli kuna gari la TMT analishikilia kama lake, sioni akitoboa kwenye hiyo case.

Labda naomba naomba niwaulize swali moja clients ambao mlikuwa bado mpo TMT, Ninachokumbuka kwenye kudeposit tulikuwa tunatumia account ya TMT je na kuwithdraw mlikuwa mnachukua hela kutoka kwenye hiyo account ya TMT??? Kama jibu ni hapana, basi JP markets hawakutakiwa kufreeze account zenu sababu the contract was between yeye na TMT naa siyo nyinyi clients.
 
Then nawashangaa watu waliokomalia kusema wametapilowa 50M. You can't judge a case by listening only a single side. Tanzanians please don't be biased. Afterall this movement was meant to be a financial freedom creator but it turned out to be some peoples' way of showing their hate to kid Ontario
acha ujinga wewe ontario ameiba pesa za client wake
 
Wahanga wa TMT acheni blah blah.Hapa hamna zaidi ya kumfungulia Ontario kesi ya wizi wa kuaminiwa.
 
Issue siyo Ontario anasemaje,issue ni fedha TMT account zimechotwa zote kinyume na taratibu.Matokeo clients mmekwama kuendesha shughuli za forex-Buy&Sell.
Dahhh, sasa utamshtaki vipi mtu wakati huu bado hamna vielelezo boss?
 
Hii ishu ingekuwa kwa wenzetu huko wanakothamini sheria,kuna watu wangekuwa mahabusu saizi wanasubiri kesi zao kusikilizwa kwa pilato
 
Raman ilikua iv

Apo mwanzo Ontario alitekwa na mtu aliefahamiana nae uko SA akijulikana kama createn kwa fursa ya forex, kwel Ontario alielewa somo na akaanza movements
Kwakua hii movements uwe katka usalama zaid inabd usimame kama mentor (kwa sababu kutrade kuna loss/profit ila mentor utakua na uhakika mzur tu wa mkwanja) bas Ontario akayajenga vzur na createn ampge tafu hii movements aieneze bongo
Kwa kias kikubwa createn ndio alisimamie TmT kufkia pale na conditions moja wamtumie yeye as a brokers kama JP market

Ili uwateke vzur wabongo Ontario alijua inabd angalau wasauz (cree na rea) lakn pia wakachukuliwa sehem ya kampun kwa kupewa share

Kikos mtu nne
Ontario as a masterplan
Createn as a mastermind
Rea as a psychologist ( soften mind)
Crea events planner(kuchezesha akil za wabongo)

Sku za mwanzo profit flows ilikua nzur sana, apo inamaana mkwanja unatoka kwa createn uku Ontario akizd kuwashawsh watu na rea akzd kuwa soften mind (kaz ya Crea bado apo)

The time to get back, wakaanza kuwayumbsh faida ya sku 6 inapotea ndan ya sku moja (ijumaa) na cha nyongeza juu
Kwasabab waliandaliwa psychological ilikua ngum kusanuka mapema,
Rea alimalza kaz yake akarud SA, Crea anaanza kaz yake ya events planner anatengeneza drama ili kuwaaminsha watu( yan ugomv wa kampun na vtu kama hvyo)
Ontario anavuta mkwanja wake anaenda SA
Bado crea anawatengenezea drama (events planner)

Kwaio mtu tatu tayar wapo SA, bado Crea tu

Na Crea tym yoyote kutoka sasa ataingia SA ambapo mtu nne watakutana tena pale Jo'burg vit virefu na mtoto Ontario mpenda kula kula uku clients wakitumiwa screenshots za drama

Hakuna kesi ya utapeli, na utapel unasomewa kabisa.
Kuna watu wamepinga hii circle plan

Nilizungumzia watu wanne, lakn nafs moja ikiplay two parts(Crea & createn)

Ontario got skills from createn, na alivyoanza movements aliomba tafu kwa createn baada ya kuafikiana akaja kuandaa mazingira jamiiforum
Createn anakuja bongo kama crea, weng hawakujua kama ndio man alieanzsha hii harakat kwa Ontario walijua Ontario kamuajir yeye pamoja na rea

Crea alikua ni mbovu sana kwenye kutoa indicators kias cha kwamba weng walikua wanapata loss(yan mtu aliemfundsha Ontario anakua mbovu??)

Crea alikua anavujsha siri za kupishana kiswahil kwa kampun (like walikua wanaish kwa short-term kick kuaminsha watu kama wapo nao pamoja sana)

Crea alikua hawez kukubal amaintain constant profit flow at the same time akisimama kama createn(jp market broker) ana get loss

After a long period of time baada ya watu kupasuka sana crea anakuja na drama hii "JP market n mbaya coz n market maker" apo alisimama as a crea sio createn[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Rea alikua anatumia lugha ya ulimi na kuinspire watu juu ya morden life end how you can survive like white people do. Kama mlifatilia Uzi wa HUMBLE alishawai andika jamaa is true man na sfa nyng
Kaz ya rea ilikua kusoften mind tu

Nimejarbu kuconect mistar ya latitude na longitude kupata raman kamil lakn bado mstar wa ikweta na prime meridian naikosa kukamilsha tukio zima

Kama mwanamke akiandaliwa vzur inakua ngumu kuamin kama ndan ya dakk2 wazungu hao, ndio all victims wa TMT mmeandaliwa muda mrefu so inakua ngum kuamin kama mmepigwa, mnapigwa na mtapigwa ad mfike peak the kilimanjaro
 
Kuna watu wamepinga hii circle plan

Nilizungumzia watu wanne, lakn nafs moja ikiplay two parts(Crea & createn)

Ontario got skills from createn, na alivyoanza movements aliomba tafu kwa createn baada ya kuafikiana akaja kuandaa mazingira jamiiforum
Createn anakuja bongo kama crea, weng hawakujua kama ndio man alieanzsha hii harakat kwa Ontario walijua Ontario kamuajir yeye pamoja na rea

Crea alikua ni mbovu sana kwenye kutoa indicators kias cha kwamba weng walikua wanapata loss(yan mtu aliemfundsha Ontario anakua mbovu??)

Crea alikua anavujsha siri za kupishana kiswahil kwa kampun (like walikua wanaish kwa short-term kick kuaminsha watu kama wapo nao pamoja sana)

Crea alikua hawez kukubal amaintain constant profit flow at the same time akisimama kama createn(jp market broker) ana get loss

After a long period of time baada ya watu kupasuka sana crea anakuja na drama hii "JP market n mbaya coz n market maker" apo alisimama as a crea sio createn[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Rea alikua anatumia lugha ya ulimi na kuinspire watu juu ya morden life end how you can survive like white people do. Kama mlifatilia Uzi wa HUMBLE alishawai andika jamaa is true man na sfa nyng
Kaz ya rea ilikua kusoften mind tu

Nimejarbu kuconect mistar ya latitude na longitude kupata raman kamil lakn bado mstar wa ikweta na prime meridian naikosa kukamilsha tukio zima

Kama mwanamke akiandaliwa vzur inakua ngumu kuamin kama ndan ya dakk2 wazungu hao, ndio all victims wa TMT mmeandaliwa muda mrefu so inakua ngum kuamin kama mmepigwa, mnapigwa na mtapigwa ad mfike peak the kilimanjaro

Anway... are you trading forex? maana nimekuwa confused kwenye hayo maneno niliyoyahighlight kwa rangi nyekundu.
 
Kuna watu wamepinga hii circle plan

Nilizungumzia watu wanne, lakn nafs moja ikiplay two parts(Crea & createn)

Ontario got skills from createn, na alivyoanza movements aliomba tafu kwa createn baada ya kuafikiana akaja kuandaa mazingira jamiiforum
Createn anakuja bongo kama crea, weng hawakujua kama ndio man alieanzsha hii harakat kwa Ontario walijua Ontario kamuajir yeye pamoja na rea

Crea alikua ni mbovu sana kwenye kutoa indicators kias cha kwamba weng walikua wanapata loss(yan mtu aliemfundsha Ontario anakua mbovu??)

Crea alikua anavujsha siri za kupishana kiswahil kwa kampun (like walikua wanaish kwa short-term kick kuaminsha watu kama wapo nao pamoja sana)

Crea alikua hawez kukubal amaintain constant profit flow at the same time akisimama kama createn(jp market broker) ana get loss

After a long period of time baada ya watu kupasuka sana crea anakuja na drama hii "JP market n mbaya coz n market maker" apo alisimama as a crea sio createn[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Rea alikua anatumia lugha ya ulimi na kuinspire watu juu ya morden life end how you can survive like white people do. Kama mlifatilia Uzi wa HUMBLE alishawai andika jamaa is true man na sfa nyng
Kaz ya rea ilikua kusoften mind tu

Nimejarbu kuconect mistar ya latitude na longitude kupata raman kamil lakn bado mstar wa ikweta na prime meridian naikosa kukamilsha tukio zima

Kama mwanamke akiandaliwa vzur inakua ngumu kuamin kama ndan ya dakk2 wazungu hao, ndio all victims wa TMT mmeandaliwa muda mrefu so inakua ngum kuamin kama mmepigwa, mnapigwa na mtapigwa ad mfike peak the kilimanjaro
We jamaa nae ungekaaga quiet. Hujui unachoandika
 
Mali ya mjinga huliwa na mjanja....dogo kawaingiza watu wazima mjini.

Acheni upuuzi, fanyeni kazi na acheni na kutafuta short cut kwenye maisha. ...mbaf
 
Nlikuwa na msoma sana kwenye magrop anahamasisha mkacheka sana. Alinishawishi kidogo ningie mtegoni
 
Back
Top Bottom