Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,960
Siamini kama Barclays SA wangeshindwa kutumia forex kujitajirisha..
Siamini nchi kama Greece ingepitia mdororo mkubwa wa kiuchumi wakati pesa za bure zipo forex..
Siamini kama Tz na nchi zingine za afrika tungetembeza bakuli wakati pesa za bure zipo..
Kwahiyo ulitaka Taifa la ugiriki au mataifa ya Africa tufanye forex nchi nzima yani tuache kazi zingine kuanzia marais mpaka wananchi wafanye Forex.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata wewe naona kabisa ni wale vijana wanakaa kwao na akili imefika mahala imekutana na gingi limeandikwa “end of thinking”