Ontario kamalizwa kishamba mno!

Ontario kamalizwa kishamba mno!

Mkuu twende taratibu..

Kwanza sijawahi kujihusisha na chochote na huyo Ontario.. Hayo malalamiko wanapost wanafunzi wake ambao pia walishawahi kunitukana kama wewe hapo unavyofanya hapa..

Pili, Forex business hajaileta wala sijaijua kwa huyo dogo.. Tulishakuwa tunaijadili humu na akina Mentor, Bavaria na wengine hata kabla ya huyo dogo hajaijua forex yenyewe..

Tatu, umesema Ontario hapati chochote kwa huyo broker, kwanini analazimisha atumike huyo pekee?

Uzuri umekuja pale pale mara ujajua kabla yake mara mentor Bavaria yan ulikua unafanya mentor kwa bavaria jus mentor tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa ontario kawashika mahala conflict of interest pole sana lakini.na kama unatumi broker mwingine yeye ontario atajuaje sabab unatrade kwa sim au laptop yako nyumbani na hao wanaotumia broker wwngine vip wao kila siku wanavuna mapesa .??? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ilikua lazima uje hiv kinyume nyume KUMBE HUJUI KITU UNABWATA BWATA KA MBWA ALIEKOSA SINDANO ZA KICHAA. kila bizness ina terms and Conditions sometimes uwe unatembela Brela pale upate elimu ndio mana TMT hawakupanga pale Jangid kwa kua wanapesa walipewa T&C za mwenye jengo pia wakapewa T&C na brela kufungua ofisi yao.Watz mshazoea kuish maisha yasio na utaratibu ndio maana ukaungua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SMH
Ukilipa ada IST unapewa terms and condition za lazima mtoto wake akimaliza hapa akasome Harvard? Nimelipa ada ya kujifunza forex, kwanini unilazimishe broker wako ndiye pekee nimtumie?

Kama hauna unachokipata kwa huyo broker, ambaye hao wanafunzi wa Ontario wanasema wazi alikuwa akiwaunguzia account zao makusudi kabisa. Kwahiyo hao wanaokuja kulalamika humu ni vichaa? Mmeshawaibia pesa, sasahivi mnawacheka sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti terms and conditions
 
Uzuri umekuja pale pale mara ujajua kabla yake mara mentor Bavaria yan ulikua unafanya mentor kwa bavaria jus mentor tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa ontario kawashika mahala conflict of interest pole sana lakini.na kama unatumi broker mwingine yeye ontario atajuaje sabab unatrade kwa sim au laptop yako nyumbani na hao wanaotumia broker wwngine vip wao kila siku wanavuna mapesa .??? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mentor na Bavaria ni watu wawili tofauti kabisa kama hujui..

Na huo mjadala tulikuwa tunaufanya wote kama wadau na hakuna aliyekuwa ananufaika kwa chochote..

Mkuu unaelewa kiswahili vizuri au tuanze kutumia kingereza? Teh teh teh
 
Ukilipa ada IST unapewa terms and condition za lazima mtoto wake akimaliza hapa akasome Harvard? Nimelipa ada ya kujifunza forex, kwanini unilazimishe broker wako ndiye pekee nimtumie?

Kama hauna unachokipata kwa huyo broker, ambaye hao wanafunzi wa Ontario wanasema wazi alikuwa akiwaunguzia account zao makusudi kabisa. Kwahiyo hao wanaokuja kulalamika humu ni vichaa? Mmeshawaibia pesa, sasahivi mnawacheka sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti terms and conditions

Ooh sifanyi forex mara sijui naijua forex kabla ya ontario mara sijui nakuaga na mentor Bavaria pambana na bavaria huko na broker wengine na uko huru ila Ontario ajawaikushikia watu mapanga watumie broker wake na atajuaje unatumia broker mwingine ili hali wewe akaunt yako hawez kusoma data zako KAJIPANGE BRO kumtetea mentor wako
 
Mentor na Bavaria ni watu wawili tofauti kabisa kama hujui..

Na huo mjadala tulikuwa tunaufanya wote kama wadau na hakuna aliyekuwa ananufaika kwa chochote..

Mkuu unaelewa kiswahili vizuri au tuanze kutumia kingereza? Teh teh teh

Lunchtime now huko East africa nenda kale na UPAMBANE NA HALI YAKO.
 
TULISHASEMA, WAJINGA NDIYO WALIWAO, TUKAONEKANA TUNA NONGWA.

SASA KAMA ANAWALAZIMISHA HADI KUCHAGUA MABROKER INA MANA KESHAWAONA NYIE WAJINGA KAWASHKA AKILI HUKU YEYE ANAPATA KAMISHEN YAKE KUTOKA KWA BROKER ANAYEMTUMIA KUWAPGA LOSE NA WAKAT HUOHUO ANAFYONZA ADA ZA MAFUNZO, YAN ANAKUPGA HUKU NA HUKU. HUU NDIYO UTAPELI TULIOMAANISHA, AKAJA ANA HOJA NYEPES ETI AMESAJILIWA, HV NAN KASEMA TAPELI HASAJILIWI?
 
Ooh sifanyi forex mara sijui naijua forex kabla ya ontario mara sijui nakuaga na mentor Bavaria pambana na bavaria huko na broker wengine na uko huru ila Ontario ajawaikushikia watu mapanga watumie broker wake na atajuaje unatumia broker mwingine ili hali wewe akaunt yako hawez kusoma data zako KAJIPANGE BRO kumtetea mentor wako
Teh teh Mentor na Bavaria hakuna broker hapo.. Mbona unashindwa kuelewa jambo dogo kama hilo?

Ontario kawatapeli watu humu, aliwaaminisha ndani ya miezi 6 watauvuna utajiri wa ajabu teh teh miezi 6 haijaisha tayari wanafunzi wake wanamtolea mapovu
 
TULISHASEMA, WAJINGA NDIYO WALIWAO, TUKAONEKANA TUNA NONGWA.

SASA KAMA ANAWALAZIMISHA HADI KUCHAGUA MABROKER INA MANA KESHAWAONA NYIE WAJINGA KAWASHKA AKILI HUKU YEYE ANAPATA KAMISHEN YAKE KUTOKA KWA BROKER ANAYEMTUMIA KUWAPGA LOSE NA WAKAT HUOHUO ANAFYONZA ADA ZA MAFUNZO, YAN ANAKUPGA HUKU NA HUKU. HUU NDIYO UTAPELI TULIOMAANISHA, AKAJA ANA HOJA NYEPES ETI AMESAJILIWA, HV NAN KASEMA TAPELI HASAJILIWI?
Teh teh teh wanasema ni TERMS and CONDITIONS.. Yaani ada nilipe Mimi na bado unichagulie broker kama sio kutaka kuniibia ni nini? Yaani hapo makusudi unanifundisha ujinga ili nikitrade nipate hasara wao wanufaike. Simple as that
 
Teh teh Mentor na Bavaria hakuna broker hapo.. Mbona unashindwa kuelewa jambo dogo kama hilo?

Ontario kawatapeli watu humu, aliwaaminisha ndani ya miezi 6 watauvuna utajiri wa ajabu teh teh miezi 6 haijaisha tayari wanafunzi wake wanamtolea mapovu

Kumbe. Hao wanafunzi walikubaliana kua miezi 6 watakua na mamilion so terms and cond. n kua within 6 months sasa wanalia nin miez 6 bado ijatimia Bro.
 
TULISHASEMA, WAJINGA NDIYO WALIWAO, TUKAONEKANA TUNA NONGWA.

SASA KAMA ANAWALAZIMISHA HADI KUCHAGUA MABROKER INA MANA KESHAWAONA NYIE WAJINGA KAWASHKA AKILI HUKU YEYE ANAPATA KAMISHEN YAKE KUTOKA KWA BROKER ANAYEMTUMIA KUWAPGA LOSE NA WAKAT HUOHUO ANAFYONZA ADA ZA MAFUNZO, YAN ANAKUPGA HUKU NA HUKU. HUU NDIYO UTAPELI TULIOMAANISHA, AKAJA ANA HOJA NYEPES ETI AMESAJILIWA, HV NAN KASEMA TAPELI HASAJILIWI?

Waambieni hao wanafunzi waende Mahakamani au polisi fullstop sio kulia lia jf [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeongea point nzuri sana ndugu yangu ingawa kuna mahala ntaku crush.
1.Ontario hana maslahi na FNB alisema tumia benk yoyote lakini FNB n rahisi kuna watu walitumia benk zingine lakini kuhamisha pesa ilikua n kwa swift code(wataalam wa mabenk watanielewa) akasema anawashauri FNB ndio rahisi


2.Kuhusu Huduma za TMT kifupi nampa Pongezi sana Tanzania tunaongoza kua na customer care mbovu lakini Pale TMT Nifa anajitahidi sana sana yule dada angu hana tatizo na mtu anasaidia sana

3.Lugha kali sijui hawaskilizi watu ontario huu ni uongo Tatizo lilikuja ni watu kutumia broker wengine wakalizwa pesa pasipo wao kujua wakaanza kulalamika na ilikua broker flani alikua na masharti Rahisi sana unaweka pesa kama sikosei hata kwa Mpesa lakin ikifika usiku akawa anaongeza Spread sasa kama uko kwenye trade na kiji account chako kina ela ndogo asubui unakuta moshi kwenye simu [emoji3].


4.Cre ni mtu 1 mstaraab sana tatizo watu nadhan approach ya kumuuliza maswali na kiingereza chenu hichi cha mchikichini akaona kama wanamdisturb.kuna muda akawa anatoa calls lakini inakuja tofaut na hapa ndio mtambur forex n kupata au kukosa hua inatokea ni kama umeenda kulima nyanya zako umevuna umezipaki upelele sokoni unakuja kugundua sokoni msimu huo nyanya zilikua nyingi sana so utapata hasara lakini sometimes utapata faida mnakumbuka mwaka fulan iringa dada kalima nyanya zikamuozea lakini ndio kama forex kuna muda unafanya analysis baadae mambo yanakua tofauti TATIZO LILIKUJA WENGI WALIKUA NA OVEREXPECTATION KUA UNALAZA MGONGO WAKO HAPO UNADOWNLOAD PESA HAYA HAO WANAOSEMA NI SCAM WAULIZE WAMESOMA VITABU GANI MPAKA SASA HII LEO HAO UKIWAULIZA “black shadow” “Moolah” au Kangaroo Tail n nin hawajui so Forex inataka kuna basic knowledge uwe nayo ndio utakua trader ambae atleast kila siku utalaza pesa,na mTz kusoma n mvivu haswa.

5.Kuhusu Bank kufunguliwa mikoani nadhani Mnajua taratibu za kibenk kufunguliwa mambo ya vibali na mambo mengine na mnajua kabisa mwaka huu masuala ya kibenk tanzania yameyumba tujipe muda tu watafungua lakini isiwe kigezo ch kumshambulia Ontario nadhan hii nguvu ingetumika kuwashambulia wanasiasa Tanzania leo tungekua na bomba zinatoa maziwa [emoji3].

6.Sina mahusiano yoyote na Ontario hanifahamu simfahamu na most of the Time sipo Tz wanaonijua wanajua hili nikikaa Tz mwezi basi kuna jambo kubwa sana nafanya kingine sifanyi forex ila naijua nje ndani na TMT nilienda kuona mazingira nilimpeleka mdogo wangu akasome na akanipa mrejesho na matunda nayaona juzi tu nimetumiwa $2000 akasema Kunywa maji hiyo pia akanieleza jinsi TMT inafanya kazi nikasema OK its Good na pia nimemtumia vitabu zaidi aweze kujua Tips na tricks za Forex.......nikasema fx itakusaidia kupata ela za vocha muda huu huna ajira bas fanya fx ili usiwasumbue wazazi ingawa pia na Loss hua anapata mfano wiki hii Pair nying zenye USD Zinafanya vizuri ila kidogo kidogo sana. why sifanyi Fx kuna kazi nafanya nakua tait sananakosa muda wa kufanya analysis zake.Lakini why naitetea kwa sabab naona Tz tatizo la ajira n gum sana kwahiyo basi vijana kuliko kukaa tu bora ufanye hata forex inasaidia kichwa kisilale saana pia huku unatafuta ajira za kujishikiza.

7.Tufike mahala tuache ujuaji nikipitia koment za watu naona kabisa Hii forex ya kutumia App ya MT4 wengi wao hawajui inafanya kazi vipi ndio maana wanakua na ubishi usio na data.


8.Kuhusu watu kutukanana nao wengi hua wanaanza kuni attack personally sasa ili kuendana nao hua na mimi narudisha majibu katika namna ambayo utakereka mpaka mwingine akaja PM akaanza kulia kwa hili mnisamehe tu sinaga simile kuna mahala fulani kijana 1 alinitukana sasa hua natembea na ile Teaser nilichomfanya nacho alisimulia kwao ni hayo tu.TAFUTA DATA KUHUSU FOREX SOME TERMS & CONDITIONS ZAKE NA ZA KILA BROKER UKIRIDHIA FANYA AU ACHA HAULAZIMISHWI NA MTU.


Jestina J.H.

Yani hapo uliposema mtu unaamka asubuhi unakuta moshi kwenye simu nimecheka kama mwehu hapa nilipo
 
Kumbe. Hao wanafunzi walikubaliana kua miezi 6 watakua na mamilion so terms and cond. n kua within 6 months sasa wanalia nin miez 6 bado ijatimia Bro.
Wameshaanza kulia na vipesa vyao vimeunguzwa.. Teh teh alafu anawaambia tuendelee Mwaka 2018 utakuwa mzuri sana hahahaha.. Dogo janja janja sana huyo
 
9f61c3b941c12eaf674c744503f5f572.jpg
 
Hii biashara ya forex Si rahis kama tunavyodhani sis ni ngumu mno na inahtaji muda sana kuiyelewa na sio kupapasa tu

Na pia hakuna sheria inayokulazimisha kchaguliwa broker katika hii biashara na ukiona MTU wa namna hyo muogope kama ukoma hafai kabisa mim nawashangaa sana eti miez 6 uvune mapesa sio kwa forex hii nayooifahamu mim
Mm nakula ubuyu tu nawachek jamaa wanavyopigwa pesa tu alafu wanakuja kulialia tu humu

Tuache kukurupuka tutapigwa sana tena sana ONTARIO endelea baba mwaka wako
 
Nina wasiwasi na uyu jestikila
Logically nikifatilia text zako kuna contradiction nyng sana

Amna mtamzania anaetetea ktu kama hauna maslai nacho
Upo bize huwez kufanya analysis, ila 27hours unashilik katka kulimwaga povu humu!!

Muwaonee huruma watanzania wenzenu, life n gumu na hali n tete sana
Maana mnawafksha points of no return ad wanaitwa mazezeta

Binafs forex n ujanja kama janja zngne

KUUNGUZA ACCOUNT NDIO KUIJUA FOREX
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Nina wasiwasi na uyu jestikila
Logically nikifatilia text zako kuna contradiction nyng sana

Amna mtamzania anaetetea ktu kama hauna maslai nacho
Upo bize huwez kufanya analysis, ila 27hours unashilik katka kulimwaga povu humu!!

Muwaonee huruma watanzania wenzenu, life n gumu na hali n tete sana
Maana mnawafksha points of no return ad wanaitwa mazezeta

Binafs forex n ujanja kama janja zngne

KUUNGUZA ACCOUNT NDIO KUIJUA FOREX
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom