Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Watetezi wa Ontario nendeni sasa mkamsaidie mwenzenu, amepata ugonjwa wa hatari wa Akili, hali ni tete huko. Sijui madeni yamemzidi, pesa za ujanja ujanja hazipo tena au laana ta kuwatapeli watu.Daah mwamba tumuombee aisee.View attachment 2684143
Simply a KARMAKwa wale wageni wa JF na wale watetezi nguli wa Ontario, mnapaswa kujua haya kuhusu Utapeli wa Ontario.
1. Aliwaaminisha watu humu uongo mwingi kuhusu kutajirika kupitia Forex.
2. Aliwatumia watu humu kama fursa rahisi ya yeye kutajirika huku akiwaaminisha kuwa anataka kuwasaidia kupitia Forex.
3. Aliwapotosha watu kimakusudi waliwe pesa zao kupitia Forex ili yeye apate pesa.
4. Aliwaunganisha watu humu na matapeli wa Forex ili avune pesa.
Ohoo wabongo mshamrogaDaah mwamba tumuombee aisee.View attachment 2684143
ChaiYap kiasi chake,niliinvest mwaka wa kwanza tu,wa pili nikahamia bitcoin mpaka leo nipo huko...
Amini kwamba ukianza kutrade forex huku ukiwa na mtaji wa mil 1,utasahau kubet
Umesahau ule uzi wake wa matrektaKwa wale wageni wa JF na wale watetezi nguli wa Ontario, mnapaswa kujua haya kuhusu Utapeli wa Ontario.
1. Aliwaaminisha watu humu uongo mwingi kuhusu kutajirika kupitia Forex.
2. Aliwatumia watu humu kama fursa rahisi ya yeye kutajirika huku akiwaaminisha kuwa anataka kuwasaidia kupitia Forex.
3. Aliwapotosha watu kimakusudi waliwe pesa zao kupitia Forex ili yeye apate pesa.
4. Aliwaunganisha watu humu na matapeli wa Forex ili avune pesa.
Leta hoja sio unakazana na chai chai,chai gani unayoizungumzia?Chai
Sawa ONTARIOLeta hoja sio unakazana na chai chai,chai gani unayoizungumzia?
Acha dharau,unapopnga uwe na hoja.
alipiga zaidi ya bilion,akatapeliwa milion 500
Nilianza kumsoma kwenye uzi ule wa matrekta ya kukodi na kulima. Alini motivate sana, ingawa ukisoma katikati ya mistari thread ile ilikuwa na chumvi kibao. Ila namkubali kwa hustle zake by the way. Get rich or die tryin'Umesahau ule uzi wake wa matrekta
Kapiga kamba nyingi sana mle
Akavuta wajinga wajinga wengi
Achane naye huyu dogo hajui kua forex imejaa matapeli. Ipo kampuni ulaya walilipia matangazo kwenye premier league lakini walikuja nao kujulikana nii matapeli wa Romania.Mimi najua forex kuliko wewe bado mdogo usiseme IB ya ku-iintroduce broker elewa hata spreads hujui naona😅😅
Watu sio kupata commision alikuwa anashirikia na broker ambaye hajasaliwa kuunguza account yeye ndo mtoa signals.
Ndo maana nikakwambia hujui kitu ..Hii alisema baada ya kugombana na kigogo kule twitter mwenyewe wewe sijui kama ulikuwa unajua hata maana ya forex.
Unajua hata criterias za kuchagua broker?
Hao jamaa wote ta wale top wana kesi za utapeli ..Ila kuna watu hawajui.Achane naye huyu dogo hajui kua forex imejaa matapeli. Ipo kampuni ulaya walilipia matangazo kwenye premier league lakini walikuja nao kujulikana nii matapeli wa Romania.
Mara pa unajiona kwenye hii pichaDogo mgeni nini humu? Huyu bwana mdogo alitapeli watu hela zao kwa kuwadanganya watatajirika kupitia forex. Alianzisha semina uchwara alikusanya watu wasomi na wazima. Wote waliotoa hela zao ziliyeyuka hadi leo.
View attachment 2595590
Hahahaa dah nmecheka adi watu wamenishangaaMzee wa JANGID...hahaha kuna nanga zlipigwa zlilia na kutoa mwano kama mbwa kaona jini...