Ontario: Mahakama Kuu ya Canada Yatupilia Mbali Shauri la Wanaharakati Walioshitaki Barrick Kukiuka Haki za Binadamu Kwa kutumia Polisi North Mara.

Kesi ya ngedere unaipeleka kwa nyani.

Serikali ikae chini itafakari namna yawananchi kunufaika na rasirimali zao bila damu kumwagika.

Je jamii zinazozunguka migodi, Australia,New-zealand, Canada, Nevada - USA nk nazo zinafanana na wananchi wanaozunguka migodi Tanzania?..
 
Katika muendelezo wa kuzinyanyasa nchi za Afrika kupitia mahakama zao za kibeberu.

Mahakama nchini Canada imeyakataa madai ya watanzania 21 dhidi ya kampuni ya madini ya Barrik kutokana na vitendo vya mauaji ambavyo watanzania hao wamedai vikihusishwa na kampuni hiyo.

Mahakama hiyo imeyakataa madai hayo kwa kudai kuwa haina mamlaka ya kusikiliza madai ya aina hiyo.

Hili ni jambo la kusikitisha mno kwani imekuwa ni kawaida kwa mahakama za nchini Canada kutoa hukumu dhidi ya nchi yetu kwa madai ya aina yeyote ile yatayofunguliwa.

 
Waende MIGa ohh kumbe ni kuhusu mauaji…basi waje kamati kuu ya Ccm wataalamu wa kuua na kupoteza.
 
Mawakili wa hao Watanzania 21 walikuwa ni akina nani? siyo umpeleke Kibatala eti akashinde kesi Canada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…