Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Hapa ndipo wewe bwana forex unaposhindwa kuelewa.
Watu hawana shida sana juu ya hizo takwimu za transactions.
Kinacholeta ukakasi ni tozo ya darasa la forex.
You do not want to be honest, and that is what rises doubts about you.
Kubali kwanza darasa la forex linatumika kama fursa ya kuchuma fedha, wala sio dhambi.
Kwanini hutaki ku admit hilo?
Ko mnataka bure tuuu??? yaani watu watoke SA mje mpewe training bure? imekua training ya kitchen part? hata hiyo ina michango asee