Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Hapa ndipo wewe bwana forex unaposhindwa kuelewa.
Watu hawana shida sana juu ya hizo takwimu za transactions.
Kinacholeta ukakasi ni tozo ya darasa la forex.
You do not want to be honest, and that is what rises doubts about you.
Kubali kwanza darasa la forex linatumika kama fursa ya kuchuma fedha, wala sio dhambi.
Kwanini hutaki ku admit hilo?
NASIKIA HATUNAE HAPA DUNIANI KABISA ILA NIMESIKIA JUUUJUU
Mpaka webiners zinataka helaHapa ndipo wewe bwana forex unaposhindwa kuelewa.
Watu hawana shida sana juu ya hizo takwimu za transactions.
Kinacholeta ukakasi ni tozo ya darasa la forex.
You do not want to be honest, and that is what rises doubts about you.
Kubali kwanza darasa la forex linatumika kama fursa ya kuchuma fedha, wala sio dhambi.
Kwanini hutaki ku admit hilo?
mkuu nimekuuliza hivyo kutokana nna sentensi yako pale juu unasema ni bora magufuli aongeze kodi ili watu wapanue akili kutafuta njia zingine za kuongeza kipato!
pia kama ktk hiyo forex kwa siku unaingiza hiyo 260K maana yake ukiacha kazi unayoifanya ukawekeza huko kwenye forex naamini baada ya wiki uta double hayo mapato utakuwa unapata 520K,ndio maana nashangaa ni mtu gani duniania ambaye hupo optimistic anaingiza kiasi hicho kikubwa cha fedha kwa siku kwa nini asiwekeze huko nguvu na maarifa yake bado anangangania mshahara wa 560K-unapendaje kazi amabyo haina tija kwako kimasilahi ??
mkuu nimekuuliza hivyo kutokana nna sentensi yako pale juu unasema ni bora magufuli aongeze kodi ili watu wapanue akili kutafuta njia zingine za kuongeza kipato!
pia kama ktk hiyo forex kwa siku unaingiza hiyo 260K maana yake ukiacha kazi unayoifanya ukawekeza huko kwenye forex naamini baada ya wiki uta double hayo mapato utakuwa unapata 520K,ndio maana nashangaa ni mtu gani duniania ambaye hupo optimistic anaingiza kiasi hicho kikubwa cha fedha kwa siku kwa nini asiwekeze huko nguvu na maarifa yake bado anangangania mshahara wa 560K-unapendaje kazi amabyo haina tija kwako kimasilahi ??
Yani laki 4 na 10 yote ni kodi aisee bongo sirudi bora nibaki zangu uku uku Sydney...Mshahara mdogo bonge la kodi duuu..Nimelipa ADA ya 130,000
vitu ninavyomiliki sasahivi kupitia FOREX ni mara 10 zaidi ya gharama nilizolipia, mimi kama mtumishi wa umma nisingeweza kwa mshahara wa TGS E 950,000 hapo hujakata kodi ubakiwe na 560k
NAMPONGEZA MAGUFULI AKATE KODI MARA 2 ILI WATU WAJIFUNZE FURSA ZINGINE NA HELSB ANONGEZE IFIKE 20%
katika kuandika mtu anawez kupitiwa najua juma mosi na juma pili hamana trda,lakini hiyo haiondoi uhalisia wa swali ambalo nimemuuliza jamaa maana hata ukitoa hizo siku 8 ktk mwezi kulingana na mapato aliyotumbia unapata bado ni makubwa kuzidi mshahaara anaupata.Jibu hoja acha kuangalia makosa madogo dogoKumbe hujui Forex na unajifanya much know nani kakwambia soko la Fx linafanya kaz siku 30 za mwez
We kweli econometrician uchwara
sio kodi pekee huyo atakuwa anakatwa na bodi ya mikopo,jumlisha NHSF na SSFYani laki 4 na 10 yote ni kodi aisee bongo sirudi bora nibaki zangu uku uku Sydney...Mshahara mdogo bonge la kodi duuu..
Yani laki 4 na 10 yote ni kodi aisee bongo sirudi bora nibaki zangu uku uku Sydney...Mshahara mdogo bonge la kodi duuu..
Bado hauifahamu forex.katika kuandika mtu anawez kupitiwa najua juma mosi na juma pili hamana trda,lakini hiyo haiondoi uhalisia wa swali ambalo nimemuuliza jamaa maana hata ukitoa hizo siku 8 ktk mwezi kulingana na mapato aliyotumbia unapata bado ni makubwa kuzidi mshahaara anaupata.Jibu hoja acha kuangalia makosa madogo dogo
So ukiwa na kipato nje ya kazi yako ndo inapasa uiache??katika kuandika mtu anawez kupitiwa najua juma mosi na juma pili hamana trda,lakini hiyo haiondoi uhalisia wa swali ambalo nimemuuliza jamaa maana hata ukitoa hizo siku 8 ktk mwezi kulingana na mapato aliyotumbia unapata bado ni makubwa kuzidi mshahaara anaupata.Jibu hoja acha kuangalia makosa madogo dogo
ukiona unaitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa yenyewe...
Apo sawa.sio kodi pekee huyo atakuwa anakatwa na bodi ya mikopo,jumlisha NHSF na SSF
Ndivyo kijana, ndio maana namsifu MAGUFULI anafungua watu akili, watu walizoea sana wizi na rushwa sahivi ni kilio usipojiongeza utaumia
acha kukwepa comment yangu nataka tushindane maisha mimi na wewe ya uhalisia.. je upo tayari..
unataja jina lako la kweli na tunaonana uso kwa uso na mashahidi wa jamiiforums...
tuone hizo laki mbili zako unazopata kila siku kwenye forex zimekupa mali kiasi gani..
mimi ni mkulima tu, mprint ma tshirt, mpiga picha na video na music producer tu wa kwaya...
kazi za mikono yangu zimenibariki... nakula.kwa jasho sio kwa kudownload hela na wizi wa ada za forex.... je upo tayari tusake mashahidi tuonane?
Hata mimi ni msomi ngazi ya degree pia nakula jasho akili za kichwa changu, pia ni mkulima kama wewe nakula matunda ya mikono yangu, PIA NI MFANYA FOREX MZURI SAAAAAAANA PIA NAKULA JASHO LA 130K
Wangeweka ushahidi,,pia wale wanaoenda darasan kusoma kwa ontario wangesema pia kwanini wasemee pm ina maana wanamuogopa ontario ama?Mi sielewi watu wanachanganyikiwa nini na huyo jamaa wakati hajawanyooshea mitutu ya bunduki.
Uende data star collage urudi nyumbani na cheti usipate kazi kama wanavyodai kazi nje nje halafu uwaite data star matapeli.
Woiiii ngoja niende kwa mangi nikanywe pepsi