Ontario una kipaji sana, ushawishi wako ni kama mganga wa kienyeji au wachungaji feki

Ontario una kipaji sana, ushawishi wako ni kama mganga wa kienyeji au wachungaji feki

Status
Not open for further replies.
Mkuu usiwe unapenda vitu vya bure ww ulitaka Onta asitose ada yoyote? Ww unajua gharama za kupagisha Room Os'bay kwa ajili ya hilo darasa?

Jamaa kwenye thread yake ya kwanza alitahadharisha akasema ni biashara ambayo ma bank mengi haitaki watu waijue.. Sasa nawasiwasi na baadhi ya mabank yamesha mshtukia jamaa, watu kama nyie mnatumwa kuja kuchange upepo kwenye mitandao..

Wanasema forex ni kimbunga kinakuja huwezi kukizuia kwa viganja..

Ontario ana vibali vyote vya kuendesha biashara kama ni tapeli kwanini hadi sasa hivi yupo mtaani, wakati ofisi zake zipo karibu na makao makuu ya usalama wa taifa?

Kuendekeza chuki kwa jamaa ni kujipa presha wee relax

Cc Jestkilla
Kwanini afanyie darasa osterbay na sio mchikichini?
 
Weka picha ya iyo degree

ha ha ha picha ya graduation na joho au picha ya cheti,, ha ha ha jamaa yako kuonana hataki anajijua anamiliki pumbu tu.. anasema laki 2 anapata faida kila saaa..

angekuja gheto tu angezimia hizo documents na asset hazilingani na umri... hivi anafikiri degree ni ishu zama hizi...
 
ha ha ha picha ya graduation na joho au picha ya cheti,, ha ha ha jamaa yako kuonana hataki anajijua anamiliki pumbu tu.. anasema laki 2 anapata faida kila saaa..

angekuja gheto tu angezimia hizo documents na asset hazilingani na umri... hivi anafikiri degree ni ishu zama hizi...
Degree ni ushuzi tu siku hizi
 
ukiona unaitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa yenyewe... hayo maneno ya umepiga hela nenda kawaambie ndugu zako maskini nao wapigw hela ili mjikomboe ukoo wenu kwanza...

wewe una ndugu zako maskini huwafundishi.. ila unafundisha watu usiowajua watajirike ha ha ha ha

mnaona watu mazuzu sana
Duuh umeongea jambo la kweli
 
kwa njia ya bitcoin unahisi akitushawishi kuingia humo atapigaje watu hela? weka maelezo ya kutosha usimshambulie mtu bila kuwa na maelezo ya kutetea point yako. namaanisha hiyo ya bitcoin maana hata ya forex trading kuna mtu kakuprove wrong tiyari karibu


Bitcoin ni currency kama ilivyo pure USD currency...

Hivyo unavyoona ponzi scheme inavyokua executed kwenye legal hard currency kama USD ndio hivyo hivyo inavyotumika soft currency kama bitcoin kufanya mabaya..Currency ni medium tu.

Tatizo ni kwamba,forex hii ya akina Ontario inafanywa kwa ngazi,kama pyramid,commission inakatwa kuanzia kwenye platform,mentor wako ,kushuka chini humu.Tree imekaa kama pyramid.Burden kubwa anabeba the last to enter.

Shida ni kwamba ni pyramid scheme at its core.
 
So ukiwa na kipato nje ya kazi yako ndo inapasa uiache??
Kuna watu wamesomea Kaz zao wana mahaba nazo kutoka moyoni hata wangekua wanalipwa posho tu achilia mbali mshahara wasingeziacha
hahahahh kwa Tanzania hapana eti ufanye kazi kwa mahaba ili hali upati mshahara labda iyo posho ni zaidi ya mshahara
 
acha bla bla tuonane na mashahidi wawepo.. kama upo tayari tuanzishe uzi wa kualika mashahidi... mimi najitolea mafuta na gari la mizunguko yote... tunaoneshana maisha tunayohishi.. mnakuja kwangu.. tunaenda kwako, kisha tunaanza asset tunazomiliki na documents zake.. tutajua nani mkweli..

kama kweli unapataga laki mbili kwa siku forex mbona unakuwa muoga.. au huna unachomiliki?
Mkuu hivi kwa dunia ya sasa unaanzaje kumuamini mtu kirahisi ivyo.? Nikuonyeshe kwangu, then nikuonyeshe vitu ninavyo miliki then na doc zote.? ***** kama unani set.? Hata wewe inakuingilia akilini
 
Baada ya Nyerere kusema maadui wetu wakuu ni magonjwa, ujinga na umasikini

sasa hivi maadui wetu wakuu ni

1. Chuki

2. Wivu usio na tija

3. Ubinafsi na visasi!

Na hawa maadui wanawaandama mpaka viongozi wetu wa juu wa hili taifa!

Hao maadui uliowataja wote sababu kuu ni umaskini. Umaskini ni mwiba kwetu.
 
mali ikiwa yako halali hakuna mtu anaeweza kukuibia ukiwa smart.. mfano una copy ya hati au kadi ya gari yenye jina lako hata mtu akiiba ataifanyia nini? sababu wewe una declare tu polisi zimepotea unaenda tra unapewa docs mpya..

acheni kutafuta sababu... au ofisini kwako mfano wanakuja wateja wangapi huwajui na hawakujui mbona hawakuibiii chochote.. mwizi au jambazi ni mwizi tu.. kitu ambacho cha kuficha ni hela tu ambazo zinakuwa bank labda na madini.. ila vingine vyote mtu hana jeuri ya kukuibia akiona document... cheti cha degree mfano hata akiiba bado degree yako unayo kichwani...

acheni kutafuta excuses


Mkuu hivi kwa dunia ya sasa unaanzaje kumuamini mtu kirahisi ivyo.? Nikuonyeshe kwangu, then nikuonyeshe vitu ninavyo miliki then na doc zote.? ***** kama unani set.? Hata wewe inakuingilia akilini
 
upo tayari tushindane? tutafute mashahidi.. tuone mtu wa forex anayoyasema ni kweli.. na mimi muhuni wa mtaani naekula kwa jasho nani amefanikiwa zaidi? je tuanzishe thread ya kusaka mashahidi?? tuonane weekend... gari natoa na nafuta naweka ya kubeba mashahidi na mizunguko yote

Halafu ukishajua vyote hivyo itakusadia Na nini katika maisha yako? Kama unakula kwa jasho lako shukuru Mungu kwa hilo kila MTU alikuja hapa duniani kivyake Na tutaondoka kivyetu. Na kila MTU ana jinsi ya Ku survive kimaisha so mashindano ni ya nini?
 
mjinga wewe ningekuonesha mtaani tunavyosaka hela kwa jasho sio bla bla eti laki 2 faida kwa saa... unaijua laki mbili wewe kwa saa wewe...

watu under 30 tu ila tuna drive,tuna familia, tunasomesha, tunajenga, tuna biashara ndogo ndogo za jashoooo...

sio dume zima kama demu unajivunia mafanikio ya mwalimu wako... jivunie vya kwako...

na hayo mafanikio ya uliyemtaja mnamchangia nyie mazuzu ada zenu hizo... yeye haziweki forex anaenda ziwekezea kwenye real business zinazo solve real problems kama kilimo...

njoo nikufundishe hata kuprint tshirt bure ukajikomboe bwege wewe... usipende pesa za kufikirika...

toka jasho upate hela hata ukishushia na bia yako baada ya kazi nayo inakuwa inavuja jasho

Don’t work hard work smart.Dunia imebadilika sana huhitaji kutoka jasho ndo upate pesa ila unahitaji akili na informations
 
mali ikiwa yako halali hakuna mtu anaeweza kukuibia ukiwa smart.. mfano una copy ya hati au kadi ya gari yenye jina lako hata mtu akiiba ataifanyia nini? sababu wewe una declare tu polisi zimepotea unaenda tra unapewa docs mpya..

acheni kutafuta sababu... au ofisini kwako mfano wanakuja wateja wangapi huwajui na hawakujui mbona hawakuibiii chochote.. mwizi au jambazi ni mwizi tu.. kitu ambacho cha kuficha ni hela tu ambazo zinakuwa bank labda na madini.. ila vingine vyote mtu hana jeuri ya kukuibia akiona document... cheti cha degree mfano hata akiiba bado degree yako unayo kichwani...

acheni kutafuta excuses
Malengo yako yanaweza kuwa zaidi ya hayo. Labda nikuulize swali la msingi kwa nini umeng'ang'ania sana swala la kuonana wewe inakusaidia nini.? Unafaidika na nini.?
 
unajua kwa nini nimemjibu hivyo na kumuomba tushindane... soma post zake toka alivyokuja na mikwara yake... nilitaka nimuoneshe kuna hela halali nyingi tu mtaani bila kujisifia sifia... aliyeanza kujisifia ni yeye halafu anajisifia uongo sasa... msome tangu mwanzo utamuona alikujaje

Halafu ukishajua vyote hivyo itakusadia Na nini katika maisha yako? Kama unakula kwa jasho lako shukuru Mungu kwa hilo kila MTU alikuja hapa duniani kivyake Na tutaondoka kivyetu. Na kila MTU ana jinsi ya Ku survive kimaisha so mashindano ni ya nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom