Ontario una kipaji sana, ushawishi wako ni kama mganga wa kienyeji au wachungaji feki

Ontario una kipaji sana, ushawishi wako ni kama mganga wa kienyeji au wachungaji feki

Status
Not open for further replies.
ili ajifunze siku zingine kutodharau watu asiowajua mitandaoni... akaanza kutukana mpaka mambo ya degree... msomeni ndugu yenu tangu mwanzo amekuja na mikwara gani... humu kuna watu kibao wapo vizuri hawana makelele... nilitaka dogo aje aone kwa macho kaka zake tunavyopambana na ashike adabu kujua watu tunafanya mengi tu madogo madogo na maisha yanasomeka vizuri... na hatuibiii wala kutapeli watu

Malengo yako yanaweza kuwa zaidi ya hayo. Labda nikuulize swali la msingi kwa nini umeng'ang'ania sana swala la kuonana wewe inakusaidia nini.? Unafaidika na nini.?
 
ili ajifunze siku zingine kutodharau watu asiowajua mitandaoni... akaanza kutukana mpaka mambo ya degree... msomeni ndugu yenu tangu mwanzo amekuja na mikwara gani... humu kuna watu kibao wapo vizuri hawana makelele... nilitaka dogo aje aone kwa macho kaka zake tunavyopambana na ashike adabu kujua watu tunafanya mengi tu madogo madogo na maisha yanasomeka vizuri... na hatuibiii wala kutapeli watu
Sawa mkuu umeeeleweka. Ila mimi maisha yangu siwezi kuya expose kirahisi namna hiyo. Endeleeni kubembelezana muonyeshane mali zenu
 
  • Thanks
Reactions: MC7
unajua kwa nini nimemjibu hivyo na kumuomba tushindane... soma post zake toka alivyokuja na mikwara yake... nilitaka nimuoneshe kuna hela halali nyingi tu mtaani bila kujisifia sifia... aliyeanza kujisifia ni yeye halafu anajisifia uongo sasa... msome tangu mwanzo utamuona alikujaje

Ooh sawa nimekuelewa
 
Bora niendelee kubaki kapuku kuliko kufanya biashara kichaa. Siku likitokea la kutokea nani nitamng'ang'ania shingoni.
Unaweza ukapata faida mwanzoni ili wakuvutie gepu la kupigwa hela ndefu.
 
Je ni kweli watu wanafundishwa?
Aiseee sisi watanzania hatupendani.
Forex nilifundishwa darasani formal education na sasa nimefundishwa kwenye informal education kitu ambacho kimekuwa na faida kubwa kuliko ile Foreign Exchange Market ya ifm.
Forex zinafanywa na banks zote ila kwa kuwa sasa na sisi raia tumeanza basi imekuwa shida.
 
Kwanini afanyie darasa osterbay na sio mchikichini?
So point yako ni ipi kiongozi? Ontario amesha zunguka mikoa karibu yote Tanzania... Na walio nufaika na darasa lake hawapo tena jf wanapiga hela kimya kimya....

Ww endelea kulalamika Magufuli kabana wakati kila siku watu wananunua mabenz mapya, kwa forex
 
Kwanini afanyie darasa osterbay na sio mchikichini?
So point yako ni ipi kiongozi? Ontario amesha zunguka mikoa karibu yote Tanzania... Na walio nufaika na darasa lake hawapo tena jf wanapiga hela kimya kimya....

Ww endelea kulalamika Magufuli kabana wakati kila siku watu wananunua mabenz mapya, kwa forex
 
Ukishaona mtu ameanza na showoff kwenye mitandao,mara anaposti yupo kwenye ndege,lazima upate wasiwasi nae!!,,haya mambo ya kudownload pesa hayawezi kukufikisha mahali popote,so tusipotoshe..watu wawekeze kwenye real businness.
 
Bitcoin ni currency kama ilivyo pure USD currency...

Hivyo unavyoona ponzi scheme inavyokua executed kwenye legal hard currency kama USD ndio hivyo hivyo inavyotumika soft currency kama bitcoin kufanya mabaya..Currency ni medium tu.

Tatizo ni kwamba,forex hii ya akina Ontario inafanywa kwa ngazi,kama pyramid,commission inakatwa kuanzia kwenye platform,mentor wako ,kushuka chini humu.Tree imekaa kama pyramid.Burden kubwa anabeba the last to enter.

Shida ni kwamba ni pyramid scheme at its core.

nimekuelewa kiasi kuhusu hili la forex kwamba
"Tatizo ni kwamba,forex hii ya akina Ontario inafanywa kwa ngazi,kama pyramid,commission inakatwa kuanzia kwenye platform,mentor wako ,kushuka chini humu"
sio kwamba mentorship ni kwa mda tuu halafu baada ya hapo unajitegemea? au utaendelea kulipa kitu ambacho hufanyiwi mentor? halafu pamoja na hayo kufanyiwa mentor na kulipa wala sioni tatizo ila tu tatizo ni pale huna idea yoyote mtu kaja ka introduce idea kwako na sio kwamba unapata hasara kila siku ila wewe kuna hela unapata kuna shida gani hasa hapo? kama kwa mahesabu unaendelea kuminywa tuuu yaani zaidi ya robo ya unachokipata wanachukua hiyo pyramid mpaka ikufikie kutakuwa na tatizo.

kuhusu bitcoin sina uelewa sana kuhusu hiki kitu ila pia hujanieleza mabaya yanavyofanyika na ontario atahusikaje hapo?. ahsante na karibu.
 
Mwanaume mzima eti umekalisha makalio yako ati unasema unadownload hela hiyo akili matope? Forex ni wizi kama wizi mwingine tu.
 
Mwanaume mzima eti umekalisha makalio yako ati unasema unadownload hela hiyo akili matope? Forex ni wizi kama wizi mwingine tu.
Kudownload pesa na swala la kuwa mwanaume linahusiana vipi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom