ONYO: CEO Barbra maadui mtasafiri nao kwa ndege kwenda Afrika Kusini, kuweni waangalifu

ONYO: CEO Barbra maadui mtasafiri nao kwa ndege kwenda Afrika Kusini, kuweni waangalifu

Narudia tena dada yangu kama mwaka jana uliweza kugundua mapema una mole msukule ndani ya team ukamkataa na aka force kwa nauli za maadui zetu kwenda south africa na kulala kwenye coach basi jua safari hii mziki utakuwa mkubwa sana

Niko chini ya miguu yenu uongozi wa simba, hawa wanaoitwa waandishi kuweni nao makini sana wawekeni mbali na wachezaji huko south africa najua watakuja wengi sana na lengo ila asilimia 99 yao ni nyie mpigwe goli za kutosha SIYO MARAFIKI ZETU KABISA

Msirudie lile kosa la mwaka jana kushoboka na wanaoitwa watanzania waishio south africa..maisha kule magumu na watu wana roho ngumu sana kupata maelekezo yoyote ya mtu kufanya kwa wachezaji kwa kigezo cha kukumbatian na kusalimiana watu hawashindwi nyie mkijua ni watanzania wenzenu

Ikiwezekana muingie usiku siku mbili kabla ya mechi kama orlando na mazoezi yafanyika uwanja wao siku moja kabla ya mechi msiwe na open session kama mwaka jana vs kaizer chiefs

Msisahau kubeba mtu wa uchawi (Muthi) maana jamaa wako vizuri kwa hilo

Kabala ya mechi watingisheni kwamba mmehisi kuna sumu vyumbani lalamikeni kwa kamisaa kuwatoa mchezoni siyo mnaonewa kama moroko mnakuwa kama makondoo

Msisahau kuweka watu wawili kulinda vyumba

Hii ngoma ngumu tenga fungu la maana Abbas gaza atafute hata watu wa kaizer chiefs wampe ujanja hata njia ya kwenda uwanjani siku hiyo ikiwezekana mbadili njia ya kwenda uwanjani na muwahi muda wa kutoka hotelini
Mbona unaandika vitu usivyovijuwa kama mlevi wa Chimpumu?

Uwanja upo Soweto, najuwa kwa vyovyote Simba itafikia hotel za Rose bank au au Sandton city hii ni miji ya uzunguni, sasa utaruka wapi kutoka sehemu hizo kwenda Soweto ulipo uwanja?

Ongelea kuhusu ufundi kama ni mambo ya sangoma wale ndio wenyewe na usisahau hii ni timu ya Wazulu wenyewe na tickets zimeanza kuuzwa, hii siyo habari njema kabisa kwa Simba, mechi na Kaizer haikuwa na mashabiki ila mechi hii serikali yao imeruhusu mashabiki.
 
Mbona unaandika vitu usivyovijuwa kama mlevi wa Chimpumu?

Uwanja upo Soweto, najuwa kwa vyovyote Simba itafikia hotel za Rose bank au au Sandton city hii ni miji ya uzunguni, sasa utaruka wapi kutoka sehemu hizo kwenda Soweto ulipo uwanja?

Ongelea kuhusu ufundi kama ni mambo ya sangoma wale ndio wenyewe na usisahau hii ni timu ya Wazulu wenyewe na tickets zimeanza kuuzwa, hii siyo habari njema kabisa kwa Simba, mechi na Kaizer haikuwa na mashabiki ila mechi hii serikali yao imeruhusu mashabiki.
Ebu mweleze uyo mkurupukaji, uwa wanajifanya mabingwa wa ulozi sasa wanakwenda kukutana na maprofesa kwenye ayo mambo na usishangae wakasafiri na lundo la waganga kwenda kupunguza idadi ya magoli
 
Ebu mweleze uyo mkurupukaji, uwa wanajifanya mabingwa wa ulozi sasa wanakwenda kukutana na maprofesa kwenye ayo mambo na usishangae wakasafiri na lundo la waganga kwenda kupunguza idadi ya magoli
Kwanza habari mbaya kwa Simba hawa jamaa serikali yao imeruhusu mashabiki, maana wapo kwenye lock down muda mrefu sana.

Sasa ukisikia mashabiki wenye wazimu wa soka ni hawa Ezimnyama ndio waasisi wa hayo mavuvuzela, vibe lao nashauri wachezaji wa Simba wavalishwe head phone masikioni wawekewe nyimbo za msaga sumu, maana kinyume chake wale zile vuvuzela lazima ziwatowe kwenye mchezo huku maharamia zikiwaongezea mzuka.
 
Ebu mweleze uyo mkurupukaji, uwa wanajifanya mabingwa wa ulozi sasa wanakwenda kukutana na maprofesa kwenye ayo mambo na usishangae wakasafiri na lundo la waganga kwenda kupunguza idadi ya magoli
Wataenda waganga wasiopenda maisha yao🤣🤣
 
Narudia tena dada yangu kama mwaka jana uliweza kugundua mapema una mole msukule ndani ya team ukamkataa na aka force kwa nauli za maadui zetu kwenda south africa na kulala kwenye coach basi jua safari hii mziki utakuwa mkubwa sana

Niko chini ya miguu yenu uongozi wa simba, hawa wanaoitwa waandishi kuweni nao makini sana wawekeni mbali na wachezaji huko south africa najua watakuja wengi sana na lengo ila asilimia 99 yao ni nyie mpigwe goli za kutosha SIYO MARAFIKI ZETU KABISA

Msirudie lile kosa la mwaka jana kushoboka na wanaoitwa watanzania waishio south africa..maisha kule magumu na watu wana roho ngumu sana kupata maelekezo yoyote ya mtu kufanya kwa wachezaji kwa kigezo cha kukumbatian na kusalimiana watu hawashindwi nyie mkijua ni watanzania wenzenu

Ikiwezekana muingie usiku siku mbili kabla ya mechi kama orlando na mazoezi yafanyika uwanja wao siku moja kabla ya mechi msiwe na open session kama mwaka jana vs kaizer chiefs

Msisahau kubeba mtu wa uchawi (Muthi) maana jamaa wako vizuri kwa hilo

Kabala ya mechi watingisheni kwamba mmehisi kuna sumu vyumbani lalamikeni kwa kamisaa kuwatoa mchezoni siyo mnaonewa kama moroko mnakuwa kama makondoo

Msisahau kuweka watu wawili kulinda vyumba

Hii ngoma ngumu tenga fungu la maana Abbas gaza atafute hata watu wa kaizer chiefs wampe ujanja hata njia ya kwenda uwanjani siku hiyo ikiwezekana mbadili njia ya kwenda uwanjani na muwahi muda wa kutoka hotelini
Efm na Wasafi dui
 
Hiki kijamaa ni zaidi ya kigagula.Mlio karibu na haka kajamaa,huwa hali nyama za watu kweli?Kanafiki sana.
Huyo mwingine ni shoga hata hasumbui vichwa
Hakuna wanahabari bongo wewee kuna majinga tu wana habari walikuwa kina majura, ulimwengu, stan katabalo unataka kuniambia priva na juma lokole ni wana habari? tena wakae nao mbali wsiguse hata nywele za wachezaji
 
Mnaanza kuibuka baada ya moto kuchomwa kwenye mashimo yenu?

Ninyi wachambuzi mnaweza kutumika ni Heri kuchukua waandishi wa Burundi na Kenya kuliko ninyi wabongo.Hovyo sana
Kwamba wewe una akili kuliko viongozi wa team? fanya wajibu wako kama shabiki acha kujitia kujua
 
Kwanza habari mbaya kwa Simba hawa jamaa serikali yao imeruhusu mashabiki, maana wapo kwenye lock down muda mrefu sana.

Sasa ukisikia mashabiki wenye wazimu wa soka ni hawa Ezimnyama ndio waasisi wa hayo mavuvuzela, vibe lao nashauri wachezaji wa Simba wavalishwe head phone masikioni wawekewe nyimbo za msaga sumu, maana kinyume chake wale zile vuvuzela lazima ziwatowe kwenye mchezo huku maharamia zikiwaongezea mzuka.
🤣🤣🤣
Tumekusikia paroko mzoefu wa kuishi bondeni....
 
Na mwezi huu nadhani winter time imeshaanza Simba inatakiwa iende mapema tofauti na akili ndogo za huyu mleta uzi, na mechi ikichezwa usiku maana yake baridi kali zaidi.
Umenena baba paroko mchamungu🙏
 
Mnaanza kuibuka baada ya moto kuchomwa kwenye mashimo yenu?

Ninyi wachambuzi mnaweza kutumika ni Heri kuchukua waandishi wa Burundi na Kenya kuliko ninyi wabongo.Hovyo sana
Mwandishi wa habari ana hujumu vipi team? anaenda kuwa ambia wachezaji wasikabe? bongo kuna wapumbavu wengi sana
 
Mbona unaandika vitu usivyovijuwa kama mlevi wa Chimpumu?

Uwanja upo Soweto, najuwa kwa vyovyote Simba itafikia hotel za Rose bank au au Sandton city hii ni miji ya uzunguni, sasa utaruka wapi kutoka sehemu hizo kwenda Soweto ulipo uwanja?

Ongelea kuhusu ufundi kama ni mambo ya sangoma wale ndio wenyewe na usisahau hii ni timu ya Wazulu wenyewe na tickets zimeanza kuuzwa, hii siyo habari njema kabisa kwa Simba, mechi na Kaizer haikuwa na mashabiki ila mechi hii serikali yao imeruhusu mashabiki.
Ukiijua SOUTH AFRICA vizuri huwezi kusema Soweto ni mji wa uzunguni, shida ni pale fukara anapotak kuonekana kuwa nae katembea.

Humu ni chaka kubwa sana, huwezi leta porojo hovyohovyo.
 
Back
Top Bottom