Ocean road
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 631
- 304
- Thread starter
-
- #81
I hhhhuuuu mtt mzur usiifananishe mi na malofa domo zege km HaoNilitaka kusema hivyo hivyo umeniwahi
Ahahaaaaa pole
We km huna demu kumbatia mto hizi levo ujafikiaWazungu huwa wanasema
"A Real Soldier doesn't boast before the battle, BUT after it"
Sasa hapa ndio napata kuelewa Domo zege ni nani na gentle Ms ni kina nani, msiseme sikuwashtua.
Cc. Demi
Cc. Muosha rungu
Cc. Yajutu
Sasa Ocean Road kakojoe tu ukalale dogo subiri vyuo vifunguliwe tu, kuwa mpole.
Sent using Jamii Forums mobile app
we zeeero Sema nikugawie cheti kamojaWanafanana kila kitu akili ndogo!
King'ang'anizi
DJ sepetu
Waomba niniNaomba
Waomba nini
Anne mambo uko poa sio
Aliekwambia dem ni msichana ni naniLeo nawaonya nyie mazee mnaonyatia madem wa watu mnazuga na interview, kumbe ndo Gia ya kuwatongoza kwanza interview zenyewe hamjui mnauliza maswali ya kindezi tu yaan nye darasani ndo wale wanafunz tulikuwa tuwapiga konz na mnatuchekea interview Za kishamba waachen wtt wazur hawana time na nyie washamba kwanza msela unasaund km demu mimi nimepga vidato Sita na mwaka uu natimba chuo ila we sijui wa kujiita muosha sufiria na uyo boya konor anamsumbua demi achen ushamba
Mi ndo mzee Wa mavurugu waulize God na Jose ndo wananielewa nikishawaka mahasira ndo utaacha shobokea madem Za watu kuwafanyie interview wengine sio madem zangu
Nigger iam crazy in love with my Angel's find your own girls
Wa kishua
We Connor watakufungia Na haka ka id shauri yk chunga domo!!we zeeero Sema nikugawie cheti kamoja
Wa kishua
Zinawatoa vijana roho....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nenda chuo dogoKuna madomo zege wanatuma interview km Kiki ntaenda nao bampa to bampa
Wa kishua
We zeeero kuandika tu huwez utabongaje na madem wakali km hawaIla jamaa ni mjanja sana ametaja majina ya watu waliokuwa ktk interview ya Jana akijua demi atakuja isitoshe akaweka id yake ya Connor kana conor ili kujificha apime upepo Wa mtongozo wake kwa demi kama ulikuwa Na matunda yeyote!!
Upo Connor! Unajificha ktk shamba la karanga!
DJ sepetu
dogo chunga kauli zako nitakubeba mzima mzimaNo. Hiyo si bangi. Ni ushamba tu na utoto
Niaje mzee BabaWacha niangalie mpira...asante kwa taarifa hizi
Nipo mzee BabaNifundwe namna ya kutumia private message nawatext madem ni nawakubalii
Karibu jf tukufunde.....[emoji23] [emoji23]