ONYO: Simba mpumzishe Yanga akiwa kwenye siku yake

ONYO: Simba mpumzishe Yanga akiwa kwenye siku yake

Best Daddy

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2019
Posts
950
Reaction score
1,672
Leo ni Mwananchi Day kila mtu anatambua hilo "Happy Mwananchi Day, Young Africans🎊

Pamoja na kutambulika kama ni Mwananchi Day, ila "haioneshi" kama ni siku yake mwananchi.

Kuna sababu nyingi zinazofanya hili tamasha kudoda siku ya leo, ikiwemo mikakati na mipango yao katika ngazi za uongozi, moja ni assumption ya kuwa msimu huu wamefanya vizuri sana, so Wananchi watakua self-motivated wenyewe.

Assumption kama hii ni mbaya sana: Coca-Cola/Pepsi ni makampuni maarufu sana ila kila siku wanatumia nguvu kubwa kujitangaza, haimaanisha watu hawazijui hizi brand na products zao, but it is human nature, watu lazima wakumbushwe otherwise watakupotezea. Hii namba moja.

Namba mbili ambayo ni kubwa sana, ni propaganda zinazoendeshwa na Simba SC "Mnyamaa". Kwa ufupi, lengo lao limefanikiwa tayari. Yanga wameingia kwenye mfumo. Wiki nzima ilikuwa ni story za "Kibegi" na suala la Jersey hadi asubuhi ya leo. Hapa nimewasamehe.

Ila mnataka kuichukua hii siku tena kuanzia saa saba mchana? Hapana. Hii haikubaliki. Kama ni Utambulisho wa "Luis" acheni haraka. Hakuna haja ya kufanya hivyo, acheni Mwananchi ajizike mwenyewe, acheni mwananchi aharibu Siku yake mwenyewe either kwa taarifa ya Mayele, kufungwa na Kaizer Chiefs, Mama J e.tc

Naamini Yanga lazima atajizika mwenyewe siku ya leo.

Then, ichukueni next week kwa kumtambulisha "Luis" mapema kabisa.
 
Leo ni Mwananchi Day kila mtu anatambua hilo "Happy Mwananchi Day, Young Africans🎊



Then, ichukueni next week kwa kumtambulisha "Luis" mapema kabisa.
Unateseka ukiwa wapi?

𝗦𝗣𝗢𝗥𝗧𝗣𝗘𝗦𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗡𝗖𝗛𝗜 𝟮𝟬𝟮𝟯 “𝘏𝘪𝘪 𝘐𝘮𝘦𝘦𝘯𝘥𝘢𝘢”

Christian Bella Obama atakuwepo kwenye Jukwaa la #Wananchi kukiwasha🔥🔥 siku ya Jumamosi. Umeshakata tiketi yako? #hiiimeendaaaaaa

#TimuYaWananchi
#WikiYaWananchi2023
#DaimaMbeleNyumaMwiko
 

Attachments

  • FB_IMG_1690011820677.jpg
    FB_IMG_1690011820677.jpg
    78.8 KB · Views: 2
Leo ni Mwananchi Day kila mtu anatambua hilo "Happy Mwananchi Day, Young Africans[emoji323]

Pamoja na kutambulika kama ni Mwananchi Day, ila "haioneshi" kama ni siku yake mwananchi.

Kuna sababu nyingi zinazofanya hili tamasha kudoda siku ya leo, ikiwemo mikakati na mipango yao katika ngazi za uongozi, moja ni assumption ya kuwa msimu huu wamefanya vizuri sana, so Wananchi watakua self-motivated wenyewe.

Assumption kama hii ni mbaya sana: Coca-Cola/Pepsi ni makampuni maarufu sana ila kila siku wanatumia nguvu kubwa kujitangaza, haimaanisha watu hawazijui hizi brand na products zao, but it is human nature, watu lazima wakumbushwe otherwise watakupotezea. Hii namba moja.

Namba mbili ambayo ni kubwa sana, ni propaganda zinazoendeshwa na Simba SC "Mnyamaa". Kwa ufupi, lengo lao limefanikiwa tayari. Yanga wameingia kwenye mfumo. Wiki nzima ilikuwa ni story za "Kibegi" na suala la Jersey hadi asubuhi ya leo. Hapa nimewasamehe.

Ila mnataka kuichukua hii siku tena kuanzia saa saba mchana? Hapana. Hii haikubaliki. Kama ni Utambulisho wa "Luis" acheni haraka. Hakuna haja ya kufanya hivyo, acheni Mwananchi ajizike mwenyewe, acheni mwananchi aharibu Siku yake mwenyewe either kwa taarifa ya Mayele, kufungwa na Kaizer Chiefs, Mama J e.tc

Naamini Yanga lazima atajizika mwenyewe siku ya leo.

Then, ichukueni next week kwa kumtambulisha "Luis" mapema kabisa.
UBAYA UBAYA TU

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Unateseka ukiwa wapi?

𝗦𝗣𝗢𝗥𝗧𝗣𝗘𝗦𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗡𝗖𝗛𝗜 𝟮𝟬𝟮𝟯 “𝘏𝘪𝘪 𝘐𝘮𝘦𝘦𝘯𝘥𝘢𝘢”

Christian Bella Obama atakuwepo kwenye Jukwaa la #Wananchi kukiwasha🔥🔥 siku ya Jumamosi. Umeshakata tiketi yako? #hiiimeendaaaaaa

#TimuYaWananchi
#WikiYaWananchi2023
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Kuhusu Ticket huku mtaani tunapewa bure kabisa, ila ukikataa unawezapigwa hata makofi😂😂
 
Unateseka ukiwa wapi?

𝗦𝗣𝗢𝗥𝗧𝗣𝗘𝗦𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗡𝗖𝗛𝗜 𝟮𝟬𝟮𝟯 “𝘏𝘪𝘪 𝘐𝘮𝘦𝘦𝘯𝘥𝘢𝘢”

Christian Bella Obama atakuwepo kwenye Jukwaa la #Wananchi kukiwasha🔥🔥 siku ya Jumamosi. Umeshakata tiketi yako? #hiiimeendaaaaaa

#TimuYaWananchi
#WikiYaWananchi2023
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Achana na huyo mjinga.
 
Leo ni Mwananchi Day kila mtu anatambua hilo "Happy Mwananchi Day, Young Africans[emoji323]

Pamoja na kutambulika kama ni Mwananchi Day, ila "haioneshi" kama ni siku yake mwananchi.

Kuna sababu nyingi zinazofanya hili tamasha kudoda siku ya leo, ikiwemo mikakati na mipango yao katika ngazi za uongozi, moja ni assumption ya kuwa msimu huu wamefanya vizuri sana, so Wananchi watakua self-motivated wenyewe.

Assumption kama hii ni mbaya sana: Coca-Cola/Pepsi ni makampuni maarufu sana ila kila siku wanatumia nguvu kubwa kujitangaza, haimaanisha watu hawazijui hizi brand na products zao, but it is human nature, watu lazima wakumbushwe otherwise watakupotezea. Hii namba moja.

Namba mbili ambayo ni kubwa sana, ni propaganda zinazoendeshwa na Simba SC "Mnyamaa". Kwa ufupi, lengo lao limefanikiwa tayari. Yanga wameingia kwenye mfumo. Wiki nzima ilikuwa ni story za "Kibegi" na suala la Jersey hadi asubuhi ya leo. Hapa nimewasamehe.

Ila mnataka kuichukua hii siku tena kuanzia saa saba mchana? Hapana. Hii haikubaliki. Kama ni Utambulisho wa "Luis" acheni haraka. Hakuna haja ya kufanya hivyo, acheni Mwananchi ajizike mwenyewe, acheni mwananchi aharibu Siku yake mwenyewe either kwa taarifa ya Mayele, kufungwa na Kaizer Chiefs, Mama J e.tc

Naamini Yanga lazima atajizika mwenyewe siku ya leo.

Then, ichukueni next week kwa kumtambulisha "Luis" mapema kabisa.
Luis aliyeshindwa mpira hapo Misri iwe habari ya maana? tujifunze kuwa na akili japo kidogo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom