ONYO: Simba mpumzishe Yanga akiwa kwenye siku yake

ONYO: Simba mpumzishe Yanga akiwa kwenye siku yake

Tayariiii III!!!! Kimewaka , siku ya mwananchi kufikishwa kileleni na Kaiza Chifes imetiwa doa na huu usajili mkubwa wa miquisone
 
Aisee mashabaki wa Yanga tunajitambua mpaka basi. Yaani tuache kuifikiria siku ya Wananchi, na badala yake tuumize vichwa vyetu kwenye mambo ya kipuuzi!!

Eti kibegi!! Ujinga mtupu.
Najaribu kutazama kinachoendelea pale Lupaso hali ni mbaya sana. Poleni sana Wananchii.
 
Uto walijisahau katika hii siku yao fainali ya CAF waliona washamaliza kila kitu.
 
Hawa tunao mpaka watapike pilau la sa100
Umeona manara kalikacha bonanza kijanja anasingizia ana adhabu mbona bonanza lilipita alishiriki akiwa bado anatumikia adhabu
Haha. Linapokuja suala la timing na propaganda, Manara ni mtu smart sana. Tayari alisoma upepo mapema, akaona mambo sio mambo. Huyo amekachaa😂😂
 
Hii vita ngumu sana. Ukitumia wavulana hutoboi
🤣🤣🤣🤣
Najaribu kufikiria: Labda Simba SC ameona kama heshima yake inashuka hivi, kama mazoea zoea yameanza hivi😂😂

Ameona sasa isiwe tabu ngoja achukue heshima yake tu. Utake usitake tutaeshimiana tu. Maana hii vita si ya kitoto.
 
Haya manngoma ya kizaramo yanayojiita singeli ni hovyo na kelele kabisa.

Viingilio vikubwa vimefanya uwanja kutoka.kujaa
 
Haya manngoma ya kizaramo yanayojiita singeli ni hovyo na kelele kabisa.

Viingilio vikubwa vimefanya uwanja kutoka.kujaa
Ndiyo kwanza ni saa tisa alasiri. Mpaka ikifika saa 1 usiku wakati wa mechi, uwanja utakuwa umeshatapika kwa kiingilio hicho hicho cha kitajiri.
 
Najaribu kutazama kinachoendelea pale Lupaso hali ni mbaya sana. Poleni sana Wananchii.
Mpaka ikifika saa moja usiku, utakuja kufuta hiki ulichokiandika hapa. Tena kwa kiingilio cha elfu 10, ambacho kimsingi hakuna timu nje ya Yanga inaweza kukiweka kwa mashabiki wake.
 
Mchezaji aliyefeli ndo iwe habari kubwa?🚮
 
Leo ni Mwananchi Day kila mtu anatambua hilo "Happy Mwananchi Day, Young Africans[emoji323]

Pamoja na kutambulika kama ni Mwananchi Day, ila "haioneshi" kama ni siku yake mwananchi.

Kuna sababu nyingi zinazofanya hili tamasha kudoda siku ya leo, ikiwemo mikakati na mipango yao katika ngazi za uongozi, moja ni assumption ya kuwa msimu huu wamefanya vizuri sana, so Wananchi watakua self-motivated wenyewe.

Assumption kama hii ni mbaya sana: Coca-Cola/Pepsi ni makampuni maarufu sana ila kila siku wanatumia nguvu kubwa kujitangaza, haimaanisha watu hawazijui hizi brand na products zao, but it is human nature, watu lazima wakumbushwe otherwise watakupotezea. Hii namba moja.

Namba mbili ambayo ni kubwa sana, ni propaganda zinazoendeshwa na Simba SC "Mnyamaa". Kwa ufupi, lengo lao limefanikiwa tayari. Yanga wameingia kwenye mfumo. Wiki nzima ilikuwa ni story za "Kibegi" na suala la Jersey hadi asubuhi ya leo. Hapa nimewasamehe.

Ila mnataka kuichukua hii siku tena kuanzia saa saba mchana? Hapana. Hii haikubaliki. Kama ni Utambulisho wa "Luis" acheni haraka. Hakuna haja ya kufanya hivyo, acheni Mwananchi ajizike mwenyewe, acheni mwananchi aharibu Siku yake mwenyewe either kwa taarifa ya Mayele, kufungwa na Kaizer Chiefs, Mama J e.tc

Naamini Yanga lazima atajizika mwenyewe siku ya leo.

Then, ichukueni next week kwa kumtambulisha "Luis" mapema kabisa.
Simba bana mwenzenu anatumika nyie mnapeleka moto tu siyo fresh hivyo
 
Uto walijisahau katika hii siku yao fainali ya CAF waliona washamaliza kila kitu.
Kwa hili wamechemka sana. I think pia hiki ndicho kigezo wamwtumia hata kuweka viingilio vikubwa. Lakini mwishoni wanajikuta wanaanza kugawa ticket kwa nguvu kubwa ili kuepusha fedheha😄
 
Mchezaji aliyefeli ndo iwe habari kubwa?🚮
Okay, kufeli haimaanishi ni mchezaji mbaya. Kuna sababu nyingi zinaweza pelekea mchezaji kufail nje ya zile za uwezo binafsi wa mchezaji husika.

Anyways, Hivi amefail katika timu gani? 😄
 
Mpaka ikifika saa moja usiku, utakuja kufuta hiki ulichokiandika hapa. Tena kwa kiingilio cha elfu 10, ambacho kimsingi hakuna timu nje ya Yanga inaweza kukiweka kwa mashabiki wake.
Changamoto moja tuliyonayo watu wengi hatupo vizuri kwenye sales/marketing.

Issue kama hizi inabidi utumie client/customer-centric approach maana hao ndio walengwa husika. Je mashabiki wengi wanaweza afford kiingilio tajwa?

Hii ni sawa na kuanzisha biashara ya sweta nzito za baridi Dar, tena kile kipindi cha joto kali.
Zingatieni uchumi wa mashabiki zenu. Ona sasa mnagawa ticket bure😂😂
 
Changamoto moja tuliyonayo watu wengi hatupo vizuri kwenye sales/marketing.

Issue kama hizi inabidi utumie client/customer-centric approach maana hao ndio walengwa husika. Je mashabiki wengi wanaweza afford kiingilio tajwa?

Hii ni sawa na kuanzisha biashara ya sweta nzito za baridi Dar, tena kile kipindi cha joto kali.
Zingatieni uchumi wa mashabiki zenu. Ona sasa mnagawa ticket bure[emoji23][emoji23]
Kumbe ni simba fan?
 
Back
Top Bottom