mnakosea sana mkuu. kanuni ya kutumia damu kwenye ibada haiwezi kuvunjika. uki ivunja wewe ivunje tu at ur own risk. Damu ni roho, Mungu ni roho. wewe ni mwili wa nyama, huwezi ku communicate na Mungu ambae ni roho bila ' roho' kuhusika. So kwa namna yoyote ile unapo taka kuwasiliana na Mungu au roho yoyote ile lazima ufanye hivyo kwa kutumia damu. Utumie damu gani kwa wakati gani na namna gani hilo ni suala jingin. Hata Mungu mwenyewe anasema " waniabuduo mimi huniabudu katika " roho" na kweli. Roho ni damu. Watu wanao fanya maombi kwa kutumia damu huwa wanapata majibu na mafanikio ya haraka sana kuliko wale wasio tumia damu. Akina Mussa, Ibrahim & co wote walikuwa hodari sana katika kutumia damu kuwasiliana na Mungu. Daudi kipenzi cha Mungu ali ijua siri hii ndio maana alifanikiwa katika mambo yake yote. Ndio mfalme jemedari ambae hajawahi kushindwa vita yoyote.
TO me Mchungaji anaposema " nipo rohoni " anapaswa kuwa ana maanisha kwamba yupo katika ibada ya kuwasiliana na Mungu kwa kutumia DIVINE LIQUID ambayo ninyi watu wa dunia hii mmekosa adamu mnaiita damu.