Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Yn uzinzi wote kumbe una mke wa ndoa....
sishangai magundu na malaana kukuikumba familia yako...time will tell
 
tuwekee summary ya hayo maelezo yako wengine tuko busy na kujenga nchi hatutaki hadithi ndefu
 
Huu uzi unanikumbusha mwaka 2009 nilikuwa safarini kuelekea ifakara,nilifika Moro mida ya saa 9 kutokea Arusha,ilibidi nichukue chumba katikati ya mjini sijui hata panaitwaje,baada ya kupunguza uchovu wa safari Kwa kuoga ikaninibidi niingie mtaan kutafuta msosi, bahati nzuri niliingia bar moja hivi kila kitu kinapatikana piga msosi wangu fresh then nikaanzisha gambe kitu castle lager,mhudumu aliekuwa ananihudumia ni binti mmoja wa kinyamwezi Kwa maelezo yake na yy alikuwa si mwenyeji Moro sababu toka amefika hapo Hana week 2,ninachokumbuka tu huyo dada alinipa penzi moja matata sana mpaka kesho huwa namkumbuka,mbaya zaidi siku nimekutana nae hakuwa na sim so nilimwachia no zangu mm kesho yake nikaendelea na safari yangu,baada ya kama miezi 6 nilirudi pale kumwuulizia sikumpata,mtt Aziza popote pale Ulipo upatapo huu ujumbe tuwasiliane
 
Wivu wa kike makabila mimi simjuzi ila alichonambia yeye ni mchanganyiko wa mdigo na msambaa....by the way....wewe amini utakavyo mi sipungukiwi kitu. Nmeandika kuwafunza vijana watulie ila naona mama umekuja juu.
Sioni sababu ya kutokwa povu kijana. Punguza mihemko unapokuwa "criticized".
 
ha ha ha..mkuu umechukua nafasi hii kutuma salamu kwa aziza? aisee..ulipoteza mpenzi wako mjini morogoro, ulipoteza mkanda wa kiuno..ungerudi ukamtafutie huko. wala si almas, wala si dhahabu.... ulipoteza penzi. kaka rudi morogoro kwa ajili ya aziza...

nmemkumbuka mareheme kabasele yampanya aka pepe kale na wimbo wake wa hidaya.

Huu uzi unanikumbusha mwaka 2009 nilikuwa safarini kuelekea ifakara,nilifika Moro mida ya saa 9 kutokea Arusha,ilibidi nichukue chumba katikati ya mjini sijui hata panaitwaje,baada ya kupunguza uchovu wa safari Kwa kuoga ikaninibidi niingie mtaan kutafuta msosi, bahati nzuri niliingia bar moja hivi kila kitu kinapatikana piga msosi wangu fresh then nikaanzisha gambe kitu castle lager,mhudumu aliekuwa ananihudumia ni binti mmoja wa kinyamwezi Kwa maelezo yake na yy alikuwa si mwenyeji Moro sababu toka amefika hapo Hana week 2,ninachokumbuka tu huyo dada alinipa penzi moja matata sana mpaka kesho huwa namkumbuka,mbaya zaidi siku nimekutana nae hakuwa na sim so nilimwachia no zangu mm kesho yake nikaendelea na safari yangu,baada ya kama miezi 6 nilirudi pale kumwuulizia sikumpata,mtt Aziza popote pale Ulipo upatapo huu ujumbe tuwasiliane
 
sitoi povu dada yangu kama unabisha nijaribu uone nakula vizuri msosi wenye virutubisho achana na wanaotoa povu au upepo. mi natoa cream.
Sioni sababu ya kutokwa povu kijana. Punguza mihemko unapokuwa "criticized".
 
familia yangu haina gundu..wewe kipindi kile ndo uliniletea gundu na laana kwa sasa wala sina tatizo. halafu kuna aina ya nyie wadada mnakuwa na gundu hasa wewe....nilikuwa nikitembea tu na wewe napoteza au kuibiwa pesa. toka nimekuacha mambo yameninyookea ile mbaya..... ukaoge na ujioshe vizuri pia.

Yn uzinzi wote kumbe una mke wa ndoa....
sishangai magundu na malaana kukuikumba familia yako...time will tell
 
kumbukumbu muhimu ndugu yangu...watu wajue tulikula ujana miaka ile.,sasa lakini nimeacha hiyo michezo baada ya kugundua "ZOTE TAMU" hata hivyo wanasema "Mboga moja mapishi mbalimbali"
Duh,jamaa anatunza kumbukumbu!!!mtwara 50,singida7tabora 30,we jamaa Atari sana.
 
familia yangu haina gundu..wewe kipindi kile ndo uliniletea gundu na laana kwa sasa wala sina tatizo. halafu kuna aina ya nyie wadada mnakuwa na gundu hasa wewe....nilikuwa nikitembea tu na wewe napoteza au kuibiwa pesa. toka nimekuacha mambo yameninyookea ile mbaya..... ukaoge na ujioshe vizuri pia.
hadi huku ushaharibu mkuu,...idadi Yao plz kama hutojali
 
Hilo la mtwara ndo tam ngoja nijiweke vizuri nikipata likizo nikapaone mtwara
 
umeniongezea wigo wa uelewa...swali je ulikua unatumia kinga????
 
Back
Top Bottom