Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Daaaaaa nimependa mtiririko wa visa vyako.
Mimi nimefurahia sijui wengine.
 
Kulingana na maeneo husika na muda uliokaa, hiyo idadi ni ndogo sana wewe nae ni mvivu.
 
Halafu cha kushangaza aina ya watu kama wewe ndio mnaonekanaga wajanja sana hapa nchini.
 
hapana ngoma huwa sijui kupiga ukinambia Piano ndo ninayo.... unataka kupiga ngoma? sijui kama kuna watu wa mjini kwa sasa wanaonunua ngoma. mkuu wewe unapenda music ushawahi kaa hiyo mikoa ukarudi na ngoma? ila ngoma ukienda mwenge zinauzwa nyingi tu.
Na ngoma huna ?
 
Wewe ni mtu hatari sana katika jamii, kutembea na mama na watoto ni laana mbaya zaidi (Machukizo) abomination....
 
Back
Top Bottom