Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Sasa kujituma na tabia wapi bora?
Mimi mwanamke akiwa na tabia njema hata asijue kushughulika sana hainipi shida
Upo sahihi mkuu ila akifeli kujua kabisa kujituma hufanya wewe uibe nje kiaina yaani ni lazima upige nje.....
 
Unaijua Manyara wewe?
Naijua vizuri mkuu kwanza mi wa kaskazini, singida na manyara nimekaa...ila Tanga ni funga kazi mkuu. Niambie kwa nn nawasifia Tanga sana na siyo manyara ingawa na wao sio wabovu kiivo.
 
Upo sahihi mkuu ila akifeli kujua kabisa kujituma hufanya wewe uibe nje kiaina yaani ni lazima upige nje.....
Mkuu manjonjo mengi kwa ke ni umalaya flani wenye wizi wa mapenzi🤣🤣🤣
Mimi napenda ke awe huru, akupe miguno itokanayo na hisia za kweli.
Hawa watanga wengi hufunzwa so utapewa hamasa ya uongo...sanaa tupu
 
Mkuu manjonjo mengi kwa ke ni umalaya flani wenye wizi wa mapenzi🤣🤣🤣
Mimi napenda ke awe huru, akupe miguno itokanayo na hisia za kweli.
Hawa watanga wengi hufunzwa so utapewa hamasa ya uongo...sanaa tupu
Siyo Tanga tu hata wanyamwezi na waha bado kitandani ni mafundi ni unakuta mwanamke ana hamu ya tendo na anakupa unachotaka bila kukuibia kimalaya yaani anakupa fresh muda wowote unaotaka iwe mchana usiku au jion.😁 waafrika mapenzi muda wowote, wazungu hupenda night.
 
Siyo Tanga tu hata wanyamwezi na waha bado kitandani ni mafundi ni unakuta mwanamke ana hamu ya tendo na anakupa unachotaka bila kukuibia kimalaya yaani anakupa fresh muda wowote unaotaka iwe mchana usiku au jion.😁 waafrika mapenzi muda wowote, wazungu hupenda night.
Wachaga, wameru na Wamasai mkikutana na wanawake wa kiswahili huwa mnatelekeza wake zenu mna ushamba sana wa mnyanduano😃😃😃
 
Tanga ni sanaa ya kunyanduana huwa wanafunzwa namna ya kumteka me.
Hakuna jipya waongo tu
Tanga wanajua kujiweka kaka, yaani wanawake wa kule kwenye kujistiri na kujiremba, na misosi na ongea yao ile lafudhi kaka huwezi mlinganisha na mnyaturu au mmbulu, kanda ya kati warangi pekee ndiyo wazuri na wanyiramba kidogo hao wairaq ni wazuri zaidi ya warangi au wanafanana...broh hawa totoz nawajua vizuri.

ukija wameru wa arusha wale wapo kama wanyarwanda fulani hivi.....ila Tanga ni special case na baadhi ya wapare kidogo sana ila hawa na dada zangu wakichagga mule mule tu makalio kama wahindi 😅😅😅
 
Wachaga, wameru na Wamasai mkikutana na wanawake wa kiswahili huwa mnatelekeza wake zenu mna ushamba sana wa mnyanduano😃😃😃
Tena mkubwa sana kaka, ushamba tunao sana na sababu ni kuwa wanawake wetu wengi hawajui kumjali na kumpenda mwanaume.
 
Tanga wanajua kujiweka kaka, yaani wanawake wa kule kwenye kujistiri na kujiremba, na misosi na ongea yao ile lafudhi kaka huwezi mlinganisha na mnyaturu au mmbulu, kanda ya kati warangi pekee ndiyo wazuri na wanyiramba kidogo hao wairaq ni wazuri zaidi ya warangi au wanafanana...broh hawa totoz nawajua vizuri.

ukija wameru wa arusha wale wapo kama wanyarwanda fulani hivi.....ila Tanga ni special case na baadhi ya wapare kidogo sana ila hawa na dada zangu wakichagga mule mule tu makalio kama wahindi 😅😅😅
Unashangaza sana.
Kuna watoto wa kichaga wazuri mnoo.
1. Wamachame maumbo makali sana
2. Wamarangu warembo sema mapepe
3. Kuna warombo nao mmmh
 
Unashangaza sana.
Kuna watoto wa kichaga wazuri mnoo.
1. Wamachame maumbo makali sana
2. Wamarangu warembo sema mapepe
3. Kuna warombo nao mmmh
Wazuri ila kazi zao mbovu hazina maajabu wao wanajua pesa tu.....madoido, maajabu hawana kaka, mtoto wa kimakonde au wakitanga anaamka saa tano anashindia kanga moko na ukizidisha kazi analoweka nguo zako zote kwenye maji na kazini huendi😁😁🤣🤣
 
Tena mkubwa sana kaka, ushamba tunao sana na sababu ni kuwa wanawake wetu wengi hawajui kumjali na kumpenda mwanaume.
Kuhusu wanawake qarwmbo mimi hata hawabisumbui.
Udogoni nimekulia Ethiopia huko kuna watoto kama malaika.
Maza yangu ana asili ya Rwanda nimeishi 5yrs na mpenzi wangu wa kwanza alikuwa mtusi so nimeona warembo na nimekua nao hata hawanitishi kivile.

Singida nimeishi, Tabora kidogo, Tanga nimeishi barabara ya 17 majani ya chai.

Wairaq na warangi nimeishi nao sana.

Mtwara na Lindi huko siwajui kivile.
 
Wazuri ila kazi zao mbovu hazina maajabu wao wanajua pesa tu.....madoido, maajabu hawana kaka, mtoto wa kimakonde au wakitanga anaamka saa tano anashindia kanga moko na ukizidisha kazi analoweka nguo zako zote kwenye maji na kazini huendi😁😁🤣🤣
Tunatofautiana sana mkuu.
Mimi mwanamke mswahilu hata sina mvuto nao.

Nagongana na Watanga sana na ninawapotezea, sipendi ujinga huo kabisa bora hata gogo la kichaga🤣🤣
 
Kuhusu wanawake qarwmbo mimi hata hawabisumbui.
Udogoni nimekulia Ethiopia huko kuna watoto kama malaika.
Maza yangu ana asili ya Rwanda nimeishi 5yrs na mpenzi wangu wa kwanza alikuwa mtusi so nimeona warembo na nimekua nao hata hawanitishi kivile.

Singida nimeishi, Tabora kidogo, Tanga nimeishi barabara ya 17 majani ya chai.

Wairaq na warangi nimeishi nao sana.

Mtwara na Lindi huko siwajui kivile.
Mkuu na wewe una wajua vizuri sana hadi wa Ethiopia na siwapo kama wairaq au kuna pisi zilizoshushwa na sir God🤣🤣
 
Mkuu na wewe una wajua vizuri sana hadi wa Ethiopia na siwapo kama wairaq au kuna pisi zilizoshushwa na sir God🤣🤣
Daah waethiopia wako kama malaika bablai achana na hiyo mbegu kabisa.
 
Tunatofautiana sana mkuu.
Mimi mwanamke mswahilu hata sina mvuto nao.

Nagongana na Watanga sana na ninawapotezea, sipendi ujinga huo kabisa bora hata gogo la kichaga🤣🤣
Wachagga mimi nimewashindwa saivi hapa niko uchaggani lakini wala sishughuliki nao kabisa....
 
Wachagga mimi nimewashindwa saivi hapa niko uchaggani lakini wala sishughuliki nao kabisa....
Kinachotutofautisha ni matarajio mkuu.
Mimi ninapenda mwanamke ambaye yuko real, biashara ya ku fake miguno, sarakasi nyingi hunikata stimu.
Ikiwa sarakasi zimetokana na hisia kali yaani ukichaa wa mapenzi hapo sawa
 
Daah hao ni wazuri mkuu kuliko wanyarwanda au ngoma ni draw tu...
Mionekano yao ni tofauri ikiwa unawafahanu vizuri.
Mimi nikimuona muethopia akiqa na Mrwanda nawatifautisha vyema
 
Back
Top Bottom