Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

Kinachotutofautisha ni matarajio mkuu.
Mimi ninapenda mwanamke ambaye yuko real, biashara ya ku fake miguno, sarakasi nyingi hunikata stimu.
Ikiwa sarakasi zimetokana na hisia kali yaani ukichaa wa mapenzi hapo sawa
Oooh hapo sawa mkuu sema hujawahi pata wakukupa labda manjonjo yasiyo fake...chakula bila chumvi na viungo kinakuwa hakinogi mkuu, wachagga wanajuaga style moja ya kifo cha mende tu.....ila totoz nyingine unaeza kuta ipo ukutani kitandani ishatoka 😁
 
Mionekano yao ni tofauri ikiwa unawafahanu vizuri.
Mimi nikimuona muethopia akiqa na Mrwanda nawatifautisha vyema
Oooh kuna dizain ya meno huwa wanafanana kwenye fizi, lakini ethiopians ni weupe/black chocolate na nywele zile za kisomali, wanyarwanda wapo kama wameru wa arusha yaani ivo ivo walivo mkuu.
 
Oooh hapo sawa mkuu sema hujawahi pata wakukupa labda manjonjo yasiyo fake...chakula bila chumvi na viungo kinakuwa hakinogi mkuu, wachagga wanajuaga style moja ya kifo cha mende tu.....ila totoz nyingine unaeza kuta ipo ukutani kitandani ishatoka 😁
Mkuu usinichokoze nimwage file langu lote🤣
 
Oooh kuna dizain ya meno huwa wanafanana kwenye fizi, lakini ethiopians ni weupe/black chocolate na nywele zile za kisomali, wanyarwanda wapo kama wameru wa arusha yaani ivo ivo walivo mkuu.
April panapo majaaliwa nina rafiki zangu wanakuja group la warembo 10 wanakuja kutembea karibu ujionee utalii wa macho🤣
 
Kwa maoni yangu, mleta mada ndiye hasa mwenye tabia za kimalaya!

'Shetani akawa anamkutanisha' na malaya wenzie wa hayo maeneo aliyopita!
 
Ukifidka Tabora, nenda ukale Mbogq Saba, hapo utakutana na wadada Wakiarabu ! Yale mabaibui Wala yasikutishe ...!
Hio sehemu inaitwa "mboga saba" mkuu?,tabora imeshakua sehemu muda wowote naweza kufika
 
Back
Top Bottom