atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tabora ina watoto sana, shida wana uswahili mwingi.
Tanga ndio huwa suwachekei hao watoti.
Ukiwachekea utapotea mazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tabora ina watoto sana, shida wana uswahili mwingi.
Tanga ndio huwa suwachekei hao watoti.
Ukiwachekea utapotea mazima
Hilo hata ndio naangalia,kuna muda inabidi nichepuke ili kulinda ndoa yanguqSasa kujituma na tabia wapi bora?
Mimi mwanamke akiwa na tabia njema hata asijue kushughulika sana hainipi shida
ogea chumvi kijanaSingida, Tanga nimekaa sana, sema Tabora nimeoa toto la kinyamwezi ila sasa huyu mwanamke ataniua kwa visa...
Daaah wakuu anachosema mtoa mada japo ni miaka imepita lakini bado yapo mambo.
Huyu mwanamke ni noma sana ile nyama inapikwa inawekwa kwenye K wakati yupo period anakupa msosi baada ya hapo huruki nahisi kafanya hivo kwangu mi nikiangalia mchagga hata kuloga sijui naumia Mshana Jr ebu mtani wangu nisaidie nalogwa na mnyamwezi huku.
Kila kitu anataka asikilizwe nami nafanya hivo.
ogea chumvi kijana
Ooh sawa mkuu.ogea chumvi kijana
Waethiopia kama sijakosea wanafanana na wagunya na Kuna jamii fulani kama watu wa Kurdish ila sio wale asilia ni hawa ambao sio weupe sana.Oooh kuna dizain ya meno huwa wanafanana kwenye fizi, lakini ethiopians ni weupe/black chocolate na nywele zile za kisomali, wanyarwanda wapo kama wameru wa arusha yaani ivo ivo walivo mkuu.
Nimezunguka sana kwa tafiti zangu nimechunguza sana ..Sina upendeleo ila Kuna jambo ambalo lipo ila mm nalion kawaida wanawake wa jamii za pwani wanaogopwa sana na hizi jamii wachaga,wameru, wamasai ila sio watu wa kanda ya ziwa.Tena mkubwa sana kaka, ushamba tunao sana na sababu ni kuwa wanawake wetu wengi hawajui kumjali na kumpenda mwanaume.
Hao umezungumzia waethiopia siyo na siyo wasomali maana ni watu wawili tofauti hawa yaani ethiopians wanafanana na wairaq wa manyara.....Waethiopia kama sijakosea wanafanana na wagunya na Kuna jamii fulani kama watu wa Kurdish ila sio wale asilia ni hawa ambao sio weupe sana.
Wana Midomo ya rangi nyekundu na hili jua la bongo wengi unakuta kama Wana madoa usomi au vidoti ...Walikuwa wengi sana ila wabaguzi kinoma na kile kiswahili Chao kama wahindi
Saivi utandawazi upo mkuu....Nimezunguka sana kwa tafiti zangu nimechunguza sana ..Sina upendeleo ila Kuna jambo ambalo lipo ila mm nalion kawaida wanawake wa jamii za pwani wanaogopwa sana na hizi jamii wachaga,wameru, wamasai ila sio watu wa kanda ya ziwa.
Ila naona kwa sehemu zote ni wanawake wazuri haijalishi wanatokea upande gani sema wao wanajiona kama wapo nyuma ila tambua hata wao wanazo sifa muhimu na mambo mengi sasa yamesambaa kila kona sifa ni miaka ya 2000's kurudi nyuma.
Unamkuja mtu anasema eti mume wangu akienda singida sijui Tanga hatorudi sio kweli labda awe Malaya tu
Wanyarwwanda na wameru ni copy kwanza urefu wao tu ila tatizo la wameru wabovu ni wale wanene ila wembamba ni wazuri ...Nilisoma nao chuo Kuna dogo alikuwa ananipenda sana kila siku lazima aniulizie "shekhe yule anayeongea kama mzanzibar yupo?🤣🤣🤣Hao umezungumzia waethiopia siyo na siyo wasomali maana ni watu wawili tofauti hawa yaani ethiopians wanafanana na wairaq wa manyara.....
Wanyarwanda ni kama wameru....pia kuna wakenya fulani wapo kama wanyarwanda yaani ukiwaona unaweza usigundue kama ni wakenya au wanyarwanda. fizi nyeusi...mimi binafsi huwa nafananishwa na hao wakenya sana hadi nakereka mtu kuniita mkenya wakati mi Mtanzania...😄
Wewe mzenji kumbe au afkasti fulani hivi wa bongo 😄Wanyarwwanda na wameru ni copy kwanza urefu wao tu ila tatizo la wameru wabovu ni wale wanene ila wembamba ni wazuri ...Nilisoma nao chuo Kuna dogo alikuwa ananipenda sana kila siku lazima aniulizie "shekhe yule anayeongea kama mzanzibar yupo?🤣🤣🤣
Kama ni kahaba na mshamba usiende. Hata Kilimanjaro na Mara usiende wala MorogoroMimi Dar siendi
hakika umenena kweli isiyopingikaNa mkeo anapaligwaa hivooo hivoooo Kama wewe unavyowapaligaa wadada na wake za watuu. Kipimo unachowapimia wenzio nawe utapimiwa sawa na wao. Na familiaa mkiwa wazinzi wotee mnaelewana balaaa usidhani mkeo hajuagi anajuaa semaa anaamua kukuachaa sababu nae anajua ana yakee
Hapana mi naongea kiswahili cha mwambao wazenji na mimi vitu viwili tofauti kabisa kwanza wabaguzi picha haziendi kabisa.Wewe mzenji kumbe au afkasti fulani hivi wa bongo 😄