BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Maisha ya upweke ndio yana majaribu makubwa zaidi.
Kabisa Charity....halina ubishi hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ya upweke ndio yana majaribu makubwa zaidi.
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.
IT CANT BE.
machozi yananilengalenga!eeh roho wa mungu endelea kuwa karibu na broda nguli!Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.
IT CANT BE.
machozi yananilengalenga!eeh roho wa mungu endelea kuwa karibu na broda nguli!
hivi ndivyo kina baba wote walipaswa kuyakabili vishawishi ,amen!
Maisha ya upweke ndio yana majaribu makubwa zaidi.
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.
IT CANT BE.
Nikikumbuka ahadi niliyoweka madhabahuni nikiangalia pete yangu ya ndoa. Nikiangalia miujiza Mungu aliyonitendea .........nachukua simu nampigia mrs Nguli namwambia I LOVE U SO MUCH DEAR.
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.
IT CANT BE.
Nikikumbuka ahadi niliyoweka madhabahuni nikiangalia pete yangu ya ndoa. Nikiangalia miujiza Mungu aliyonitendea .........nachukua simu nampigia mrs Nguli namwambia I LOVE U SO MUCH DEAR.
Eti? Ngoja nicheki na shigongo, unajua sana kuandika hadithi asee!Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.
IT CANT BE.
Nikikumbuka ahadi niliyoweka madhabahuni nikiangalia pete yangu ya ndoa. Nikiangalia miujiza Mungu aliyonitendea .........nachukua simu nampigia mrs Nguli namwambia I LOVE U SO MUCH DEAR.
Macho yale siyo? Imeandikwa ukitamani tu, tayari ushazini. Sasa si heri ufaudu moja kwa moja.safi sana huna budi kuushukuru uumbaji wa mwenyezi mungu na kula kwa macho tu
haikatazwi
Ila kina mama wao hawapaswi. Mnanichekeshaga sana nyie!machozi yananilengalenga!eeh roho wa mungu endelea kuwa karibu na broda nguli!
hivi ndivyo kina baba wote walipaswa kuyakabili vishawishi ,amen!
Haya, twende kazi!Naungana na wewe kusema Amen
Nguli ubarikiwe sana
Endeleeni kujidanganya tu. Endelea tu mamushka!thats why I told JS bado kuna uwezekano wa kupata mume mwema tu!!!
samaki mmoja akioza SI wote wataoza!!!
Bingooooo! At least kuna mtu anajua kusoma katikati ya mistari hapo. Unastahili Senksi niliyokugongea.Unavyoandika kama ya kweli hivi...😱
Unavyoandika kama ya kweli hivi...😱
kumbe hayana ukweli bwana kinywaji baridi?
870078 said:Unavyoandika kama ya kweli hivi...😱
870099 said:Eti? Ngoja nicheki na shigongo, unajua sana kuandika hadithi asee!
Bingooooo! At least kuna mtu anajua kusoma katikati ya mistari hapo. Unastahili Senksi niliyokugongea.
Baba Yetu uliye MbinguniSidhani kama NGULI akipata KISHAWISHI anampigia "My wife wake"... "Eti Wife i love u so much!" mara nyingi mimi ama jinsia yetu ya kiume tukiudhiwa huko kwenye..... ndo "tunakumbuka Home" Masanilo upo????😀😀😀
Kwani muhudumu wa bar anakasoro gani,kitu ambacho wanawake hawataki kujifunza kuwa,mapenzi hayahusishi shughuli ya mtu bali ni kitu ambacho kinahusisha hisia zaidi.May his soul rest in peace!!