ooooh my ni ngumu kuamini lakini.....

ooooh my ni ngumu kuamini lakini.....

Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.


IT CANT BE.

Nikikumbuka ahadi niliyoweka madhabahuni nikiangalia pete yangu ya ndoa. Nikiangalia miujiza Mungu aliyonitendea .........nachukua simu nampigia mrs Nguli namwambia I LOVE U SO MUCH DEAR.
 
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.

IT CANT BE.

safi sana huna budi kuushukuru uumbaji wa mwenyezi mungu na kula kwa macho tu
haikatazwi
 
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.

IT CANT BE.
machozi yananilengalenga!eeh roho wa mungu endelea kuwa karibu na broda nguli!
hivi ndivyo kina baba wote walipaswa kuyakabili vishawishi ,amen!
 
machozi yananilengalenga!eeh roho wa mungu endelea kuwa karibu na broda nguli!
hivi ndivyo kina baba wote walipaswa kuyakabili vishawishi ,amen!

Naungana na wewe kusema Amen
Nguli ubarikiwe sana
 
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.


IT CANT BE.

Nikikumbuka ahadi niliyoweka madhabahuni nikiangalia pete yangu ya ndoa. Nikiangalia miujiza Mungu aliyonitendea .........nachukua simu nampigia mrs Nguli namwambia I LOVE U SO MUCH DEAR.

thats why I told JS bado kuna uwezekano wa kupata mume mwema tu!!!
samaki mmoja akioza SI wote wataoza!!!
 
Pearl amekimbilia wapi jamani Kekue unaondoka bila kuaga
 
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.


IT CANT BE.

Nikikumbuka ahadi niliyoweka madhabahuni nikiangalia pete yangu ya ndoa. Nikiangalia miujiza Mungu aliyonitendea .........nachukua simu nampigia mrs Nguli namwambia I LOVE U SO MUCH DEAR.

Unavyoandika kama ya kweli hivi...😱
 
Mimi nikikutanaga na msichana mwenye mvuto/mkali/kishawishi nasemaga moyoni mwangu no! No! No! Nguli, Hakuna kama mrs Nguli.....tamaa zikizidi namkumbuka little handsome Nguli....najenga picha wamekuja na my beautiful wife hospital kunijulia hali na wamenilitea chakula na juice wakati aliyenipa huo ugonjwa ameshanikacha. Namwona little Nguli analia kaburini kwangu ansema I love ya dad I love u so much but y gone so soon??? my beautiful wife hapo KAZIMIA jinsi alivyonipenda na niliyomtenda.


IT CANT BE.

Nikikumbuka ahadi niliyoweka madhabahuni nikiangalia pete yangu ya ndoa. Nikiangalia miujiza Mungu aliyonitendea .........nachukua simu nampigia mrs Nguli namwambia I LOVE U SO MUCH DEAR.
Eti? Ngoja nicheki na shigongo, unajua sana kuandika hadithi asee!

safi sana huna budi kuushukuru uumbaji wa mwenyezi mungu na kula kwa macho tu
haikatazwi
Macho yale siyo? Imeandikwa ukitamani tu, tayari ushazini. Sasa si heri ufaudu moja kwa moja.

machozi yananilengalenga!eeh roho wa mungu endelea kuwa karibu na broda nguli!
hivi ndivyo kina baba wote walipaswa kuyakabili vishawishi ,amen!
Ila kina mama wao hawapaswi. Mnanichekeshaga sana nyie!

Naungana na wewe kusema Amen
Nguli ubarikiwe sana
Haya, twende kazi!

thats why I told JS bado kuna uwezekano wa kupata mume mwema tu!!!
samaki mmoja akioza SI wote wataoza!!!
Endeleeni kujidanganya tu. Endelea tu mamushka!

Unavyoandika kama ya kweli hivi...😱
Bingooooo! At least kuna mtu anajua kusoma katikati ya mistari hapo. Unastahili Senksi niliyokugongea.
 
Kwani muhudumu wa bar anakasoro gani,kitu ambacho wanawake hawataki kujifunza kuwa,mapenzi hayahusishi shughuli ya mtu bali ni kitu ambacho kinahusisha hisia zaidi.May his soul rest in peace!!
 
Ni vema kumwabudu Mungu ili kukwepa tamaa za Ibilisi kwani bila Mungu hata ukipata mademu woooooote hutoridhika!
 
kumbe hayana ukweli bwana kinywaji baridi?

Sidhani kama NGULI akipata KISHAWISHI anampigia "My wife wake"... "Eti Wife i love u so much!" mara nyingi mimi ama jinsia yetu ya kiume tukiudhiwa huko kwenye..... ndo "tunakumbuka Home" Masanilo upo????😀😀😀
 
870078 said:
Unavyoandika kama ya kweli hivi...😱

Wandungu niliyoyaeleza ni IMANI yangu ya DINI, UPENDO wangu kwa familia yangu na sio lazima kumlazimisha msomaji aamini nilichoandika by the way Mungu ndie anayejua Moyo wa mtu na sio maandishi kwenye screen.


870099 said:
Eti? Ngoja nicheki na shigongo, unajua sana kuandika hadithi asee!
Bingooooo! At least kuna mtu anajua kusoma katikati ya mistari hapo. Unastahili Senksi niliyokugongea.

Nguli
user_invisible.gif

Nguli is a God fearing Man Edit
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
 
Inatisha na inatia huruma. Penda usipende wanawake ni chanzo. Mwambie mkeo siku moja mtumie staili ya kuchuma mchicha usikie majibu yake. Wanawake nao wabadilike, na waache tabia ya kusema si tumefanya jana, unataka kila siku, wengine hata mchana hawataki. Unadhani mimi nitafanya nini? Ni kwa bar maid tu. Tuombe Mungu atuondolee pepo hili la ngono.
 
Sidhani kama NGULI akipata KISHAWISHI anampigia "My wife wake"... "Eti Wife i love u so much!" mara nyingi mimi ama jinsia yetu ya kiume tukiudhiwa huko kwenye..... ndo "tunakumbuka Home" Masanilo upo????😀😀😀
Baba Yetu uliye Mbinguni
Jina lako litukuzwe....................
Kwa kuwa Ufalme ni wako na nguvu na utukufu hata milele
Watu wote semeni AMINA!
 
Kwani muhudumu wa bar anakasoro gani,kitu ambacho wanawake hawataki kujifunza kuwa,mapenzi hayahusishi shughuli ya mtu bali ni kitu ambacho kinahusisha hisia zaidi.May his soul rest in peace!!

hana kasoro na ni mwanamke kama wanawake wengine ..ila tatizo moja baadhi yao hawana mwanamme mmoja ..leo ukienda wewe sawa kesho akienda Chrispin ,akienda bujibuji no worries hilo ndio tatizo ...
 
Back
Top Bottom