Oparesheni 255 yaanza kazi rasmi, Freeman Mbowe apokelewa kwa kishindo Ileje

Oparesheni 255 yaanza kazi rasmi, Freeman Mbowe apokelewa kwa kishindo Ileje

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kama tulivyoeleza hapo awali ni kwamba ile kampeni kabambe ya kuelimisha Wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya na ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP WORLD ya Dubai , imeingia Kanda ya Nyasa.

Baada ya kuzinduliwa Jana huko Tunduma, leo imeingia Ileje na kupokelewa kwa kishindo na wananchi wa eneo hilo lenye miundo mbinu duni .

Haya hapa ni Mapokezi tu.

Screenshot_2023-10-22-15-24-37-1.png
Screenshot_2023-10-22-15-24-00-1.png

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
 
Inapoteza muda wako tu hapa maana kwa sasa habari ya mjini na inayoendelea Kuitetemesha nchi ni uteuzi wa komaandoo wa vita,jasusi imara na legendari Paul makonda. Ni lazima mlale na viatu leo maana ndio mwisho wenu.
Sasa nimeamini Mkuu ni mweupe mno kichwani , yaani huyu akishirikiana na Jiwe na Lazaro Mambosasa walishindwa kuua Chadema , ndio iwe leo !
 
Na naona vitoto vya kuchunga ng'ombe ndio vimejaa hapo baada ya watu wazima kutokuwa na muda na nyie. Tena huko kwa wandali hawanaga muda kabisa na habari za chadema na ndio maana huko huwa mnafanya kazi ya kupoteza muda tu.
 
Sasa nimeamini Mkuu ni mweupe mno kichwani , yaani huyu akishirikiana na Jiwe na Lazaro Mambosasa walishindwa kuua Chadema , ndio iwe leo !
Alishindwaje wakati mlipotezwa katika majimbo ,kata na vitongoji vyote pale Dar? Wewe leo kapumzishe tu akili pale Desderia au nenda Tunduma pale nyati hotel.
 
Na naona vitoto vya kuchunga ng'ombe ndio vimejaa hapo baada ya watu wazima kutokuwa na muda na nyie. Tena huko kwa wandali hawanaga muda kabisa na habari za chadema na ndio maana huko huwa mnafanya kazi ya kupoteza muda tu.
Mmewatia umasikini ili muwatawale lakini sasa Mkombozi Chadema kaingilia kati
 
Sasa nimeamini Mkuu ni mweupe mno kichwani , yaani huyu akishirikiana na Jiwe na Lazaro Mambosasa walishindwa kuua Chadema , ndio iwe leo !
Samia hajawahi kufanya mkutano wa hadhara wa CCM live, yeye husingizia ziara ili serikali yote iwe hapo na watumishi, yeye huenda na gari zaidi ya 100 + polisi
 
A
Kama tulivyoeleza hapo awali ni kwamba ile kampeni kabambe ya kuelimisha Wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya na ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP WORLD ya Dubai , imeingia Kanda ya Nyasa.

Baada ya kuzinduliwa Jana huko Tunduma, leo imeingia Ileje na kupokelewa kwa kishindo na wananchi wa eneo hilo lenye miundo mbinu duni .

Haya hapa ni Mapokezi tu.

View attachment 2789214View attachment 2789215
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
kama kishindo ndio kazi mnayo samia anatangazwa mshindi saa 2 asubuhi kweupe mbuzi wanakula majani!
 
Mmewatia umasikini ili muwatawale lakini sasa Mkombozi Chadema kaingilia kati
Mtawakomboa na nini wakati wapo huru na wanaendelea kufurahia maendeleo yaliyoletwa na CCM? Si umeona mkeka mzuri wa barabara ya lami kutoka hapo mpemba? Au ulilala usingizi wakati unapita humo? Huko hamuwezi kufua dafu maana ni ngome zetu CCM hizo hata tusipopiga kampeni tunapita kwa kishindoo. Si umeiona na stendi ya kisasa hapo mpemba?
 
Unapoteza muda wako tu hapa maana kwa sasa habari ya mjini na inayoendelea Kuitetemesha nchi ni uteuzi wa komaandoo wa vita,jasusi imara na legendari Paul makonda. Ni lazima mlale na viatu leo maana ndio mwisho wenu.
Makonda ana mke,naona umefurahia ulijua umepata danga. Huteuliwi ng'o mshamba mmoja wewe
 
Kumuua Akwilina ndio mafanikio ?
Kwa ushahidi upi? Nyie ni matapeli tu kuleta mtu ambaye watu walikuwa hata hawamfahamu hapo ndio agombee ubunge na ndio maana wananchi waliwafundisha adabu kwenye sanduku la kura kwa kuwakataa.
 
Unapoteza muda wako tu hapa maana kwa sasa habari ya mjini na inayoendelea Kuitetemesha nchi ni uteuzi wa komaandoo wa vita,jasusi imara na legendari Paul makonda. Ni lazima mlale na viatu leo maana ndio mwisho wenu.
Mtaanza tena kuteka wapinzani ?
 
Back
Top Bottom