kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ashinde au asishinde ndio anapigiwa mizinga 21 na inshaAllah panapo majaliwa 2025 ndio raisi wako tena!Samia hajawahi kushinda Uchaguzi wowote ule kuanzia Dada wa Darasa hadi ubunge , ukibisha namimina ushahidi
HatogombeaAshinde au asishinde ndio anapigiwa mizinga 21 na inshaAllah panapo majaliwa 2025 ndio raisi wako tena!
Hivi Chadema mbona huwa hamsikiiKama tulivyoeleza hapo awali ni kwamba ile kampeni kabambe ya kuelimisha Wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya na ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP WORLD ya Dubai , imeingia Kanda ya Nyasa.
Baada ya kuzinduliwa Jana huko Tunduma, leo imeingia Ileje na kupokelewa kwa kishindo na wananchi wa eneo hilo lenye miundo mbinu duni .
Haya hapa ni Mapokezi tu.
View attachment 2789214View attachment 2789215
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Kasema na ndio tumeanza kuunda dream team huko jokate kule makonda!Hatogombea
Komandoo gani ana Nyash? Hebu tueleze kwa ufafanuzi zaidiuteuzi wa komaandoo wa vita
Lazima wakimbizwe hospitalini kwa presha watakayoipata hawa Machadema.Kasema na ndio tumeanza kuunda dream team huko jokate kule makonda!
Kweli kwahili CCM wamejichanganyaUjumbe huu umfikie NAPE,KINANA,RIDHIWANI NA MAKAMBAS.
Makonda ataendeleza Yale ya mkuu wa Wilaya kuwatuma UVCCM kusaga pili pili na kuwamwagia Chadema, hicho tu ndio anaweza.Alishindwaje wakati mlipotezwa katika majimbo ,kata na vitongoji vyote pale Dar? Wewe leo kapumzishe tu akili pale Desderia au nenda Tunduma pale nyati hotel.
Wametepeta mapemaa!Lazima wakimbizwe hospitalini kwa presha watakayoipata hawa Machadema.
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYEREREHivi Chadema mbona huwa hamsikii
Operesheni hizi ni kupoteza muda wingi wa watu ndio mnafurahia
Mkataba wa Bandari wanesign then what?
Mnaacha kudeal na mambo muhimu Mpo barabarani kila uchwao
Ninyi na wakimbiza Mwenge hamna tofauti..
Usimuamshe aliyelalaKweli kwahili CCM wamejichanganya
Mtu aliye itesa familia ya Jk unamchanganya na wabaya wake
Hapo Mzee Makamba sijamiwazia
Maza pumzi imekata
Sabaya atateuliwa lini ?Kasema na ndio tumeanza kuunda dream team huko jokate kule makonda!
Maskini Mzee mwenzangu Mbowe,Kama tulivyoeleza hapo awali ni kwamba ile kampeni kabambe ya kuelimisha Wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya na ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP WORLD ya Dubai , imeingia Kanda ya Nyasa.
Baada ya kuzinduliwa Jana huko Tunduma, leo imeingia Ileje na kupokelewa kwa kishindo na wananchi wa eneo hilo lenye miundo mbinu duni .
Haya hapa ni Mapokezi tu.
View attachment 2789214View attachment 2789215
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Siasa siyo vita, siasa ni sayansi,Unapoteza muda wako tu hapa maana kwa sasa habari ya mjini na inayoendelea Kuitetemesha nchi ni uteuzi wa komaandoo wa vita,jasusi imara na legendari Paul makonda. Ni lazima mlale na viatu leo maana ndio mwisho wenu.
Unajifanya hujui kilichotokea kwenye ule uchafuzi?Alishindwaje wakati mlipotezwa katika majimbo ,kata na vitongoji vyote pale Dar? Wewe leo kapumzishe tu akili pale Desderia au nenda Tunduma pale nyati hotel.
Utaishia kusifia wenzako tu bwege wewe. Huteuliwi ng'o !!!Nimesema leo kwa uteuzi wa komaandoo Makonda lazima ulale na viatu huku ukitafuna mibangi yako mpaka uwehuke.
Noma sana !