Oparesheni +255 yaingia Mkoa wa Katavi, leo ni zamu ya Mpanda Mjini

Oparesheni +255 yaingia Mkoa wa Katavi, leo ni zamu ya Mpanda Mjini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kile chama pekee cha siasa nchini Tanzania chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara, baada ya kumaliza ziara yake Mkoa wa Kigoma kwa mafanikio ya kutukuka, leo kimeingia Mkoa wa Katavi, na kwa kuanzia kitavurumisha mkutano kabambe kwenye Jimbo la Mpanda Mjini.

Kama kawaida Mkufunzi Mkuu wa Idara ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Tundu Lissu, ataongoza mapambano.

FB_IMG_1684836645885.jpg


Usiondoke JF

======
UPDATES

View attachment 2632536View attachment 2632537
 
Tupo hapa Zedigital Mtaa wa Simba ...watu wanafuraha kweli kweli ni kama sherehe mji umechangamka kweli kweli...Kikosi cha Ukombozi kimeingia....

Tuache utani hiki chama Kinapendwa yaani Ikola Kasekese Mwese Maji moto Lugonesi Kayenze Kalema ...Sitelikeee Inyonga hii nyomi yote imekuja yenyewe bila kusombwa na malori

Hapa kwa Sweet Manka ni kutupia tu na miongozo ya Katiba Mpyaa...mtaa wa fisi huko salaam ni Pipozz
 
Tupo hapa Zedigital Mtaa wa Simba ...watu wanafuraha kweli kweli ni kama sherehe mji umechangamka kweli kweli...Kikosi cha Ukombozi kimeingia....

Tuache utani hiki chama Kinapendwa yaani Ikola Kasekese Mwese Maji moto Lugonesi Kayenze Kalema ...Sitelikeee Inyonga hii nyomi yote imekuja yenyewe bila kusombwa na malori

Hapa kwa Sweet Manka ni kutupia tu na miongozo ya Katiba Mpyaa...mtaa wa fisi huko salaam ni Pipozz
Mkuu kama upo hapo Ze Digital niandalie Primus chache , nasogea muda si mrefu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Matumizi ya hovyo kabisa ya kodi za watanzania
Bila kufanya mikutano utawapataje wanachama?
Kwa maana kazi kubwa kabisa ya vyama vya upinzani ni kutafuta uungwaji mkono na kutafuta wanachama kupitia kwenye hiyo mikutano ya hadhara.
Na kazi ya chama kilichoko madarakani ni kutekeleza yote Yale waliyoyaahidi.
 
Lisu wa sasa sidhani atakuwa Kama Yule...

Huyu keshaongea na Hangaya...
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kile chama pekee cha siasa nchini Tanzania chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara, baada ya kumaliza ziara yake Mkoa wa Kigoma kwa mafanikio ya kutukuka, leo kimeingia Mkoa wa Katavi, na kwa kuanzia kitavurumisha mkutano kabambe kwenye Jimbo la Mpanda Mjini.

Kama kawaida Mkufunzi Mkuu wa Idara ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Tundu Lissu, ataongoza mapambano.

View attachment 2632283

Usiondoke JF

======
UPDATES

View attachment 2632536View attachment 2632537
Wawe makini Mzee wa Piga tu yuko huko
 
Back
Top Bottom