Oparesheni Ahadi ya 3 ya Iran (Operation True Promise 3) imefia wapi?

Oparesheni Ahadi ya 3 ya Iran (Operation True Promise 3) imefia wapi?

Bill

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
9,258
Reaction score
10,014
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu
 
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu
Hawajipendi?
 
World / Middle East


Elon Musk met with Iran’s UN envoy, NYT reports​

By Tara John, CNN
2 minute read
Updated 6:19 PM EST, Thu November 14, 2024





Tesla CEO and X owner Elon Musk listens as US President-elect Donald Trump speaks during a meeting with House Republicans at the Hyatt Regency hotel in Washington, DC, U.S. on November 13, 2024.

Tesla CEO and X owner Elon Musk listens as US President-elect Donald Trump speaks during a meeting with House Republicans at the Hyatt Regency hotel in Washington, DC, U.S. on November 13, 2024.
Allison Robbert/Reuters
New YorkCNN —
Elon Musk, the world’s wealthiest person and close ally of President-elect Donald Trump, met with Iran’s ambassador to the United Nations on Monday, the New York Times reported, citing two Iranian officials.
 
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu
Iko njiani
 
Can Iran come to its senses by abolishing the inept and parochial policies that make her to be isolated and the world's pariah..??
 
Can Iran come to its senses by abolishing the inept and parochial policies that make her to be isolated and the world's pariah..??
Ni lazima wafikie hiyo hatua, vinginevyo wataendelea kuumiza wananchi wao na kudidimoza uchumi wa nchi yao.
 
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu
Ritz huyu dogo huwa anawalisha matango wenzake.akiambiwa kitu na sheikh kitinku. Alijidanganya sana.
 
"Wa Afu Bil Ahd innal Ahada Kana Mas'ula" "Kila ahadi mbele ya mwenyezi Mungu itaulizwa " sisi Iran ni waumini hatutoi ahadi ya uongo , operation true promise 3 ni ahadi tutakayoitekeleza kwa ukali zaidi ya tulivyotekeleza ahadi za awali.

Iran has the right to defend itself 🇮🇷
 
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu
Jibu ni B-52 HAINA Msalie mtume
 
Pia pro Iran wakumbuke Israel aliua panzi wanne 4 kwenye kisasi kilichopita,,na sikumbuki kama ktk hao panzi kulikuwa na wanawake na watoto....Tusubiri sasa tuione Iran ikithubutu tena kwenye wakati huu.
 
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu
Iran hajawahi kuahidi kitu halafu akashindwa kutimiza.
Ninyi tulieni wayahudi wa Songea na Liwale.
 
Back
Top Bottom