Oparesheni Ahadi ya 3 ya Iran (Operation True Promise 3) imefia wapi?

Oparesheni Ahadi ya 3 ya Iran (Operation True Promise 3) imefia wapi?

Ikumbukwe ya Israel kujibu mapigo kwa Iran ilipita siku 25 na siku ya 26 ndipo wakajibu Km sikosei.
Je tangu Israel ashambulie zimepita siku gapi?
Ninasubiri upite mwezi kabisa au hata miezi mitatu halafu ulete takwimu zingine. Nadha ni mwisho utaandika hivi " Msipende kushabikia vita"
 
"Wa Afu Bil Ahd innal Ahada Kana Mas'ula" "Kila ahadi mbele ya mwenyezi Mungu itaulizwa " sisi Iran ni waumini hatutoi ahadi ya uongo , operation true promise 3 ni ahadi tutakayoitekeleza kwa ukali zaidi ya tulivyotekeleza ahadi za awali.

Iran has the right to defend itself 🇮🇷
Tena sio kukacha tu kulipiza kisasa, ila hata nuclear program yao wako tayari kuachana nayo.
 
Mbona aliahidi kuifuta Israel lakini KIKO WAPI SASA
GLBT hii kauli mnapenda sana kuirudia rudia. Lini IRAN au kiongozi wake aliahidi hivyo na kisa au sababu ya kutaka kufanya hivyo?
Intellectual person hakariri kama parrot.
 
Iran hajawahi kuahidi kitu halafu akashindwa kutimiza.
Ninyi tulieni wayahudi wa Songea na Liwale.
Haya mwarabu wa Mchambawima, mimi nimeuliza tu maana hata kipindi Mazayuni yamechelewa kujibu tuliuza sisi waarabu wa Makund uchi
 
Ikumbukwe ya Israel kujibu mapigo kwa Iran ilipita siku 25 na siku ya 26 ndipo wakajibu Km sikosei.
Je tangu Israel ashambulie zimepita siku gapi?
Kwahiyo Irani anasubiri zifike 25?

Haya leo ni tarehe 16/11 jumlisha siku 7 za mwezi Oktoba kukamilika. Jumla ni siku 23 mpaka sasa hajajibu. Tunampa siku 2 atuondolee hii aibu ya Mazayuni kutopigwa kwakweli.

Haiwezekani Ahadi ya 3 sisi wa Mtogole tumeitangaza halafu isitimie au ichelewe kwa zaidi ya siku 25
 
Jibu ni B-52 HAINA Msalie mtume
Walipoambiwa dege linaenda mashariki ya kati walilalamika sana wakidai US ana hatarisha amani ya mashariki ya kati.

Hilo nalo neno, mijidege inatisha
 
"Wa Afu Bil Ahd innal Ahada Kana Mas'ula" "Kila ahadi mbele ya mwenyezi Mungu itaulizwa " sisi Iran ni waumini hatutoi ahadi ya uongo , operation true promise 3 ni ahadi tutakayoitekeleza kwa ukali zaidi ya tulivyotekeleza ahadi za awali.

Iran has the right to defend itself 🇮🇷
Hii kweli itaulizwa, na hata sisi Iran wa kwa bibi Nyau tunaulizwa na wenzetu
 
Dege la 1947
Maneno yako ni kweli kabisa, nani alifikiria Carriers za US mtu anaweza kuzipiga leo US anakiri Al Houth tumewashindwa hawawezekani 😄

Hizo ndege B52 ukubwa wake sawa na Boeing, Iran ashindwa kuzitungua, huyo kichaa utamuweza ana majina 30+ huwa anaota sa zingine huku ana type.
 
Maneno yako ni kweli kabisa, nani alifikiria Carriers za US mtu anaweza kuzipiga leo US anakiri Al Houth tumewashindwa hawawezekani 😄

Hizo ndege B52 ukubwa wake sawa na Boeing, Iran ashindwa kuzitungua, huyo kichaa utamuweza ana majina 30+ huwa anaota sa zingine huku ana type.
Labda ndio unamajina 99 kama Allah na Mtume wenu mudy guy
 
Kwahiyo Irani anasubiri zifike 25?

Haya leo ni tarehe 16/11 jumlisha siku 7 za mwezi Oktoba kukamilika. Jumla ni siku 23 mpaka sasa hajajibu. Tunampa siku 2 atuondolee hii aibu ya Mazayuni kutopigwa kwakweli.

Haiwezekani Ahadi ya 3 sisi wa Mtogole tumeitangaza halafu isitimie au ichelewe kwa zaidi ya siku 25
😂😂😂 Mnampa siku mbili?

Israel inapopigwa nakuwa naumia sijui kwa nini
 
Labda ndio unamajina 99 kama Allah na Mtume wenu mudy guy
Allah hana majina 99 ni sifa zake hizo usiwe mjinga. Mfano akisema Mfalme wa Wafalme ni kweli hakuna mfalme zaidi yake. Akisema Al Rahman mana yake hakuna mwenye iman kama yeye. Akisema Al Shadid Al Aqab pia ni vile hakuna wakutoa adhabu kama yeye na etc.

Hatuna mtume anaitwa mudy tuna Mtume anaitwa Muhammad PBUH

Ungekuwa una akili wewe ungekuwa Muislam, lakini wewe ni kenge tu, utabaki kuwa kenge. Ongeza majina ili upate kupofua macho yako 😄 Mimi hili jina moja tu naogopa nisaharibu macho yangu kuzubaa sana kwenye mtandao. Hivi huna kazi mimi natafuta wafanya kazi wana jua kupika nataka kufungua k restaurant cha kiafrica huku Wellington vipo vipo lakini sio vingi
 
Mnashabikia vita vya mawe wakati wenyewe mnaishi kwenye nyumba za vioo!? Mnadhani wababe wa Dunia wakirushiana makombora ninyi afrika mtakuwa salama?
 
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu

Ila kuna majamaa mnapenda vita, looh!
 
Promis no 3 ipo lkn Iran kupitia satellite zake zinamulika iyo nchi ya Israel kwaiyo kazi inafanyŵa na tim maarum kuchunguza seem muimu kuliko ifadhiwa missile na vi¹u vengene ukiona kimya ujue mshindo utakuwa mkubwa na kambi muimu zinaenda kukaagwa,, lkn upande wa pili faida ya Iran kutokuwai kupiga ipo ona mchezo ulivo Iran anasubilia mzigo mpya kashajua marekani anapeleka zana mpya za kijesh kwa Israel, umesoma mchezo sasa¹kwaiyo Iran anasubilia ajue mizigo inawekwa wapi akija na promis no3 akuna mzigo unabaki zaid wapeleke alaka na ndege apo IRAN atakuwa asaka sababu nyengine yakulalamikia kule UN wakija hm tutasikia promis no 4😛 IRAN kaamua kuonyesha maguvu yake miaka ya nyuma alidhani watamfata nyumbani vile ndio anafadhili vikundi vingi vinavyouwa waIsrael na kuwanyima usalama n amani wao n wajeda w USA lkn awajawai kwenda Iran kinyume na desturi za marekani na washilika wao sijui wameona nini kinawaogopesha😃 kama mafuta wanayo Bwelelee gesi ndio usiseme ni yapili kidunia kuwa na akiba kubwa zaid baada y russia.lkn vinono vyote ivvo visiwavutie kwenda kuwakomboa waIran na kule Demokrasia!!!!!!!!!!!!!! Wazungu kwa Iran wanaonekana kama wanjungu Banyamulenge w congo hii imekaeje embu mnijibu povu ruksa 😅😅😅
 
Back
Top Bottom